Kaka Mpendwa
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 772
- 415
pouwa Mkuu, nitamweleza ingawa alichonieleza leo ni kuwa kila anapompigia ikitokea akapokea hataki kuongea hata dk 2. Pia kakataa akamtembelee kambini hapo hotelini
ndo ameshukuwa superstar hivyo..Dah, namuonea huruma jamaa, ana haki ya kuchanganyikiwa..