Knight rider
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 455
- 685
- Thread starter
-
- #21
Asante kwa ushauri ila sijawahi mkuuMkuu kama unakawaida ya kuzama chumvini tumia hii itakusaidia sana nishawahi kuzama hilo eneo nilijuta and saiz dem nitamuuliza ushawahi kunyinywa chumvi akisema tu alishanyonywa, hata denda langu simpi coz najua atakuwa na maambukizi tu. Ukisukutua umeze usitemeView attachment 2725447
Mkuu nimekwenda ila sina hizo tonsesMkuu huenda una Tonsil stones kwenye koo...
Vipande vigumu vinavyotokana na mabaki ya chakula...kama una swaki vizuri bila shaka ulishawahi viona vikitoka.. vya njano na vina harufu mbaya na kali...
Nenda hospital ukacheki..kama ndio sababu au lah..
Sawa mkuuTafuta chanzo cha tatizo ni nini.
Kunuka mdomo mara nyingine ni dalili ya matatizo makubwa zaidi kama kisukari.
Hata Mimi mkuuu nnahyo shida.Mkuu pole sana kwa hayo maradhi yako ya mdomo kutoa harufu mbaya nitafute kwa wakati ili nipate kukutibia upate kupona maradhi yaheko uguwa pole.
Yaskiage tu kwamwenzako kaka?duuuuuh
Yapata miaka 6 Sasa.Hii hali imeanza lini utotoni au miaka ya sasa
Halafu ukishapona urudi utoe ushuhuda. Sawa kiongozi?Asanteni ndugu zangu
Sawa ndugu tuombe mungu nipate dawaHalafu ukishapona urudi utoe ushuhuda. Sawa kiongozi?
Utakuwa umepata bakteria ya mdomo ambayo hukupa harufu mbaya dawa yake ni ndogo sana ila sijui kama kwako inapatikana sukutua na karafu fresh kwanza kwa wiki 2 na baada ya hapo kila asubuhi unapiga mswaki na mti dawa kama utapata inasaidia sana baada ya hapo cheki kama unanuka penda chai ya tangawizi nayo huimarisha meno kuwa masafi na kutoa hiyo kituYapata miaka 6 Sasa.
Sawa mkuu Ila nahisi inatokea ndani kabisaUtakuwa umepata bakteria ya mdomo ambayo hukupa harufu mbaya dawa yake ni ndogo sana ila sijui kama kwako inapatikana sukutua na karafu fresh kwanza kwa wiki 2 na baada ya hapo kila asubuhi unapiga mswaki na mti dawa kama utapata inasaidia sana baada ya hapo cheki kama unanuka penda chai ya tangawizi nayo huimarisha meno kuwa masafi na kutoa hiyo kitu