Msaada tafadhali: miaka 2 sasa nateseka na Harufu Mbaya ya Mdomo

Yani pole sana mpendwa..yani mm ninavyochukia vi harufu harufu na niko very sensitive na smell... sipati picha kama unasema unanuka mdomo kama choo...duuh hebu jaribu nilichokwambia vitunguu swaumu maana vyenyewe ni ant bacteria
Vitunguu saumu au maji?
 
Asante kwa ushauri
 
Aiseee hivi vidubwasha ukivibinya huwa vinatoa harufu moja matata sana, unaweza kupata mafua aisee. Vina harufu mbaya mnooo
Vinatokana na nini hasa,kutopiga mswaki au tatizo lingine?
Vilikuwa vikinitokea miaka mingi iliyopita wakati huo nilikuwa napiga mswaki bila dawa (Ukata)
 
Nenda Kwa dentist na uanze na x-ray, waangalie kama una meno mabovu au yaliyotoboka, kama yapo yang'oe yote or piga root canal, ukimaliza zingatia usafi wa mdomo wako, piga mswaki walau mara mbili kabla na baada ya kulala, na ukiwa unapiga mswaki safisha na ulimi na usisahau flossing(kiswahili sijui inaitwaje), kama hujapona harufu inawezekana itakuwa inatokea tumboni au kooni, inawezekana una bacteria wanaosababisha hiyo harufu,inabidi umwone daktari akuangalie
 
Nenda kariakoo sokoni jengo la sandaland the only one shuka ngazi basement kuna mwarabu ana duka pale hutajuta ana dawa ya meno kutoka Indonesia inakata kabisa.
 
Nilikuwa na tatizo hili kwa miaka kumi ila nimetumia dawa kwa mtaalamu wa tiba asilia na nimeona kabisa. Yupo Nachingwea njoo inbox nikuunganishe nae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…