Knight rider
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 455
- 685
- Thread starter
-
- #61
Sasa nifanye au nitumie nn mkuu!? Niweze kuponaPole sana.Tatizo lako liko tumboni na wala siyo kinywani.Kama utaendelea kupata dawa za kusafisha kinywa bila kuingia tumboni penye tatizo ni sawa na kazi bure.
Nilikwenda kwa dentist lakini sikuponaUmefanya nini kujisaidia tangu uombe ushauri humu?
Sawa mkuumkuu nione PM
Nipo mkoani(Arusha )mkuuNenda kariakoo sokoni jengo la sandaland the only one shuka ngazi basement kuna mwarabu ana duka pale hutajuta ana dawa ya meno kutoka Indonesia inakata kabisa.
Sawa kakaNilikuwa na tatizo hili kwa miaka kumi ila nimetumia dawa kwa mtaalamu wa tiba asilia na nimeona kabisa. Yupo Nachingwea njoo inbox nikuunganishe nae.
hii inaweza kuwa sababu kama ameshafanya usafi na kutumia mouth wash.... nilishakiwa na dem ananuka mdomo ila ni msafi alikuja kugundua baadae sana kuna vipande vya chakula vinajificha kwenye koo zilipo tonsil aliingiza kidole ndipo akakuta harufu alitibiwa akapona kabisa.Mkuu huenda una Tonsil stones kwenye koo...
Vipande vigumu vinavyotokana na mabaki ya chakula...kama una swaki vizuri bila shaka ulishawahi viona vikitoka.. vya njano na vina harufu mbaya na kali...
Nenda hospital ukacheki..kama ndio sababu au lah..
Ilimgharimu kiasi Gani kupata tiba ndugu yanguhii inaweza kuwa sababu kama ameshafanya usafi na kutumia mouth wash.... nilishakiwa na dem ananuka mdomo ila ni msafi alikuja kugundua baadae sana kuna vipande vya chakula vinajificha kwenye koo zilipo tonsil aliingiza kidole ndipo akakuta harufu alitibiwa akapona kabisa.
Nan mm nasumbuliwa na ilo tangu utotomkuu nione PM
Mkuu linaweza kuwa ni swala la kiroho jaribu kumuomba Mungu au kwenda kansani kwa wachungaji wakuombeeHabari za wakati huu ndugu zangu.
Nimekuja kwenu nikiomba ushauri juu ya kadhia hii inayonikumba mimi mdogo wenu;
Takriban miaka 2 sasa nimekuwa nikitaabika sana na harufu mbaya ya mdomo mithili ya tundu la choo kiasi kwamba nikipishana na mtu anaweza kudhani sijapiga mswaki week nzima.
Nimekua nikijitahidi sana walau kupiga mswaki kila baada ya mlo... Asubuhi, Mchana na Usiku kabla ya kulala. kunywa maji mengi, mboga mboga na matunda kwa wingi pamoja na kutumia mouth-wash.
yote hayo nimefanya lakini hali bado iko palepale.
Mwisho nimekwenda hospitali mara kadhaa na kuonana na Dentist bila mafanikio.
Mahusiano yangu yamevunjika kwa kadhia hiii.
Nahisi kukata tamaa kabisa ukizingatia mara kadhaa nimekua nikitengwa na kunyanyapaliwa na baadhi ya watu kwenye jamii inayonizunguka.
Msaada tafadhali.
Moderator tafadhalini sana nawaombeni msiunganishe uzi wangu huu.