Msaada tafadhali: miaka 2 sasa nateseka na Harufu Mbaya ya Mdomo

Pole sana.Tatizo lako liko tumboni na wala siyo kinywani.Kama utaendelea kupata dawa za kusafisha kinywa bila kuingia tumboni penye tatizo ni sawa na kazi bure.
Sasa nifanye au nitumie nn mkuu!? Niweze kupona
 
Nenda kariakoo sokoni jengo la sandaland the only one shuka ngazi basement kuna mwarabu ana duka pale hutajuta ana dawa ya meno kutoka Indonesia inakata kabisa.
Nipo mkoani(Arusha )mkuu
 
Nahisi kutengwa na watu nafkiri kujiua

Najiona Sina thaman kabisa hata kuongea na mtu ni shida Sasa nitakua mgeni wa nani mimi jamani[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kila siku nazidi kukonda hata chakula ninachokula sijui kinakwenda Wapi

Nakonda kwa msongo wa mawazo
 
Ndugu zanguni msiwe mnawasimanga watu wananuka mdomo.

Siyo wote wachafu, wengine tuna magonjwa.

hata nikipiga mswaki mara kumi kwa saa, kama vile sijapiga mswaki week mzima


[emoji24][emoji24][emoji24]
 
hii inaweza kuwa sababu kama ameshafanya usafi na kutumia mouth wash.... nilishakiwa na dem ananuka mdomo ila ni msafi alikuja kugundua baadae sana kuna vipande vya chakula vinajificha kwenye koo zilipo tonsil aliingiza kidole ndipo akakuta harufu alitibiwa akapona kabisa.
 
Ilimgharimu kiasi Gani kupata tiba ndugu yangu
 
Ilimgharimu kiasi Gani kupata tiba ndugu yangu
 
Mkuu linaweza kuwa ni swala la kiroho jaribu kumuomba Mungu au kwenda kansani kwa wachungaji wakuombee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…