ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
Ninashida ya kukosa hamu ya kula kwa muda mrefu,njaa ninayo lakini sitaki chakula chochote nikila kinakuwa kichungu na ninatafuna kwa muda mrefu kabla ya kumeza,ninalazimika kutumia pilipili nyingi ili kukabiliana na uchungu,nifanyeje wakuu?