sibbonnobo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 722
- 885
Pole sana mkuu.
Sisi wanaume tumeumbwa kukutana na majanga ya hawa jamaa (ke) japokuwa wengine hawajawahi pitia.
Kwa kifupi tu unaumia sana maana ulimpenda ila yeye alikuwa anakutumia. So utakuwa na kipindi kigumu kwa muda tu na baadae utazoea. Achana nae kabisa coz tayari amerudiana na x wake walioishi kwa miaka 10 kama sikosei kwa upande mwengine ulikuwa unachepuka na mke wa mtu.
Jihesabu unaanza maisha mapya kama vile umetoka jela. "K" zipo nyingi sana na maisha ni kupambana. Usijione umefeli maisha ni kipindi cha mpito tu as longer as uko fiti. Chapa kazi tafuta hela.
Sisi wanaume tumeumbwa kukutana na majanga ya hawa jamaa (ke) japokuwa wengine hawajawahi pitia.
Kwa kifupi tu unaumia sana maana ulimpenda ila yeye alikuwa anakutumia. So utakuwa na kipindi kigumu kwa muda tu na baadae utazoea. Achana nae kabisa coz tayari amerudiana na x wake walioishi kwa miaka 10 kama sikosei kwa upande mwengine ulikuwa unachepuka na mke wa mtu.
Jihesabu unaanza maisha mapya kama vile umetoka jela. "K" zipo nyingi sana na maisha ni kupambana. Usijione umefeli maisha ni kipindi cha mpito tu as longer as uko fiti. Chapa kazi tafuta hela.