Msaada tafadhali, napitia wakati mgumu sana

Msaada tafadhali, napitia wakati mgumu sana

Pole sana mkuu.

Sisi wanaume tumeumbwa kukutana na majanga ya hawa jamaa (ke) japokuwa wengine hawajawahi pitia.

Kwa kifupi tu unaumia sana maana ulimpenda ila yeye alikuwa anakutumia. So utakuwa na kipindi kigumu kwa muda tu na baadae utazoea. Achana nae kabisa coz tayari amerudiana na x wake walioishi kwa miaka 10 kama sikosei kwa upande mwengine ulikuwa unachepuka na mke wa mtu.

Jihesabu unaanza maisha mapya kama vile umetoka jela. "K" zipo nyingi sana na maisha ni kupambana. Usijione umefeli maisha ni kipindi cha mpito tu as longer as uko fiti. Chapa kazi tafuta hela.
 
Umepewa lifti unataka kupga na honi acha ubwazaza songa mbele bado kijana utapata wengine wengi t Kama hao
 
Mkuu Ni story. Ndefu nimeacha mengine nkajua ntayakuta kwenye maswli na ufafanuzi!! Mm kuaxhwa nimekubali mbali na huo msaad nliompa pia Kuna vingi tu nimemfanyia kwa huo muda mfupi nilikutana nae,! Kibaya aliniaminisha Hadi nkamtambulisha kwa wazazi na yeye akanitambulisha kwao kumbe alikua na lake moyoni!! Sijamkosea kitu na imekua gafla sana
Waambie wazee huyo demu alishakufa

Kama watakuuliza
How mtuu ndani ya mda mfupi unamtambulisha kwenu

Nb
Umri wako tafahdali kama huto jali
 
Ulivyoanza nikajua uko kwenye matatizo kweli kumbe utopolo tu. Tatizo unapenda kulelewa mkuu.
Achana naye, Jikaze, utazoea utasahau.
 
Sasa wewe mwanaume yuko nje anafanya fujo na wewe humo ndani unajificha na kuchungulia , yani ulionwa bwege kuliko kawaida, ata kama ni uoga sio hvyo, ata bitty tu umeshindwa, kweli wewe fara
 
Sasa wewe mwanaume yuko nje anafanya fujo na wewe humo ndani unajificha na kuchungulia , yani ulionwa bwege kuliko kawaida, ata kama ni uoga sio hvyo, ata bitty tu umeshindwa, kweli wewe fara
😀 😀 😀jamaa demu alimuona falaa snaaaa
 
Huyo we jitahidi tu kuachana nae. Huyo mwanaume alienae ipo siku tu atamletea tena visa na ndo hapo wewe utaibuka mshindi. Just relax
 
Single maza,mwanamke aliyekua kwenye uhusiano na mwanaume zaidi ya miaka 5,hapa na maana kwenye hyo miaka 5 walikua wanachakatana bas usije ukawaweka moyoni hzo type mbili za wanawake,ni rahisi kurudiwa na maex wao!!
 
Back
Top Bottom