Msaada tafadhali, napitia wakati mgumu sana

Msaada tafadhali, napitia wakati mgumu sana

UPDATE YA KILICHOJILI BAADA YA USHAURI WENU:::

Kama mtakumbuka vizuri Mara ya mwisho nlisema yule mwanamke aliyeniumiza roho na nafsi alienda polisi kuripoti kuwa namtishia maisha na nkapigiwa simu na Askari kuhitajika kituoni Mara moja,!! Mm nkaona nkijipeleka kituoni wananiweka ndani nkatengeneza safari (fake)ya gafla , afu jioni yake nkampigia nkamuuliza kwa hiyo unataka kunifunga??

Akasema hapana sihitaji Hilo litokee Ila nataka wakupe onyo uache kunifuatilia na kunitishia , nkamwambia Basi sikufuatilii Tena na sikutishii nenda kaondoe lalamiko lako!! Akasema hadi twende wote mm nkamwambia Basi wewe acha kwenda kituoni hakuna Askari atakayenisumbua ukiacha kuonekana pale , akasema sawa siendi

Kuanzia hapo nkafuta namba zake na za jamaa zake wa karibu nkasema acha nitafute hela afu nije nimuonyeshe nguvu ya pesa!! (Jamaa yake Ana familia ya wake 2 na huyu Sasa anakua wa 3 na kazi yake Ni ya mshahara )nkajua tu njaa itamkimbiza aliyesema adui muombee njaa alimaanisha , Basi mm nimepiga kimya Kama wiki hivi siku moja asubuhi nasikia simu inaita kuangalia namba yake akaniambia Kuna hizi document zako ukiacha hapa utazipataje nkamwambia Niko Safari nkirudi ntakuambia baada ya siku tatu akapiga Tena usharudi nkamwambia ndio Basi akasema tukutane sehem nkaenda kufika anasema document amesahau nyumbani alikuja kutengeneza simu yake , Basi nkaomba kuongea nae akakataa akasema Ana haraka yule bwana yake amempimia muda wa kurudi nyumbani na unakaribia kufika !! Akaniambia yaani namuogopa Kama Simba akisema kitu au akinituma hata sokoni naenda nakimbia njiani yaani nimekua mtumwa wake na naishi kwa wasi wasi kila nkikuona moyo unalipuka paaa

Nkaema hapa Sasa ndio natumia style deepPond ya kupandikiza chuki ili wakagombane vizuri , nkamwambia sikiza mm Kuna sehem nlienda (kamati ya kufundi) kuangalia KILICHOJILI Hadi tukaachana gafla nliyoyakuta huko siwezi kukwambia , akapata hamu eti we niambie tu nkamwambia si umesema una haraka tafuta siku nyingine akasema siwezi kupata nafasi Kama hii maana kila napoenda lazima nimuage na ajue Niko wapi nafamya Nini na hazipiti dk 5 keshafika nilipomwambia nipo yaani kifupi nimekua mtumwa Wala ndani hatuishi kwa upendo ni full kununiana!! Basi mm nkamwambia yule jamaa amerudi hapo baada ya kwenda kwa waganga so unakumbuka aliwahi kukwambia atarudi kwa vyovyote kwako??

Akasema ndio nakumbuka Basi nkamwambia amekufamyia madawa hata jinsi ulivyojikuta unakubali kurudiana nae haikua akili yako ya kawaida akasema ni kweli kabisa maana nimekua Kama zezeta hata hua najiuliza hivi ilikuaje Hadi nimemrudisha wkt nimekaa nae miaka 10 hakuwahi hata kuninunulia chupi!! Nkamuuliza zamani ulikua unamuogopa hivyo akasema hapana nlikua na uwezo wa kumfokea na akamyamaza kimya ! Nkachomeka Sasa why unakimbia kila akikutuma badala ya kutembea??

Akipiga simu hata uko bafuni unatoka ma mapovu unafikiri Ni akili yako ya kawaida au umewekewa (nsamba)!Basi nkachomekea na mermgine ya kuchomeka ambayo kwa kiasi flani ilikua Ni kweli !! Tukaagana akaenda zake,!! Siku ya Pili nkajaribu kupiga simu akawa mkali usiwe unanipigia simu Wala msg usitume mbona wewe hausikii , hii simu hua anakaa nayo hata siku 2 anaichunguza kwa hiyo sitaki mawasiliano yako ,!

Nkaona hapa Sasa Ni zaidi ya noma Basi bana Kuna jamaa yangu akaniambia Kuna mtaalamu sehem anaweza kutegua mabomu ya huyo jamaa yake Basi tukaenda kufika mtaalamu Yuko simpo tu akasema chukua hiki na hiki nenda kwako kafanya hivi!! Huyu mwanamke asipokutafuta ndani ya siku 3 njoo uchukue laki moja kwangu!! Kumbuka hapo ushapita karibu wiki 2 hakuna mawasiliano Mimi naugulia maumivu tu mapenzi ! Sili chakula Wala usingizi hauji !

Nakesha nakula mitungi tu Basi bhana Ile nafanya yale manjonjo ya kalumanzila hata sijamaliza nasikia simu sebuleni inaita hiyo Ni mida ya kama saa 4 usiku kwenda kucheki ni yeye!! Baada ya Salam akaniambia nimekupigia usiku huu sababu nateseka Sina amani na huyu bwna nkamuuliza nikusaidieje akasema nlitaka tuonane kesho tuongee , yeye kesho atashinda kazini Basi tunapanga hiyo kesho yake tukakutana sehem tukawa tunakunywa na ananipa story anavyoishi na huyo jamaa yake kibabe Ile kinywaji hata hakijakolea jamaa akapiga simu uko wapi !! Duuh kweli duniani hapa Kuna madawa demu hata hakuniaga aliacha kinywaji mezani akachomoka faster kwenda home anasema hivi nimemuambia Niko nyumbani tayari ameshachukua boda anakuja nyumbani kuhakikisha! Nkamuuliza kwni asipokukuta atakupiga akasema wala hawezi kunipiga Ila namuogopa tu , nkaona Hili Ni tatizo lazima nilishugulikie

Basi kesho yake nkarudi kwa mtaalam wangu nkamulezea akanipa dawa flani akaniambia umpe awe anaogea huku akimkataa yule jamaa (ananuiza)Basi nkampa nkamwambia jinsi ya kufanya siku hiyo nimetoka kdg mwanamke ananipigia uko wapi nkamzuga Niko twn kwenye mishe zangu akaniambia jama yupo Ila ameenda chooni nimepata muda wa kukupigia amerudi mchana huu anataka mapenzi nimemwambia Niko bleed Ila siumwi nataka tu nikutane na wewe uichakate mbususu Hadi iombe poo!!

Nkasema kijukuu Cha mtume nyota ya Jah imekubali leo Kama jamaa yupo na demu anajilipua kupiga simu wkt hata hayupo hua hathubutu kupiga akijua anaweza kutokea gafla akamkutiliza , Basi tunapanga siku tukakutana Cha kwanza tunapima afya afu tukaenda room ilikua saa tano asubhi Hadi saa moja jioni kwa huo muda wote jamaa alipiga simu Kama sasa kumi namoja hivi demu hakupokea nkamuuliza mbona leo haukimbii kama siku ile akasema kwanza simuogopi Tena Ile dawa nayoogea naona imenitoa hofu nlimwambia juzi sitaki uwe unanipigia simu kuniuliza Niko wapi au nafanya Nini ndo Mana unaona mud wote tumekaa pamoja hajapiga hata hii nkitoka hapo nje namuuliza kwa Nini kapiga !!!! Basi bhana story isiwe ndefu Sana maana huu Ni mrejesho tumeongea mengi na kupanga mengi ya kufanya , jamaa hataki kutoka na anaishi pale kiubabe kila siku Ni ugomvi kisa mwanmke hataki kutoa mbususu juzi Kati demu kashind njaa namuuliza kisa Nini anasema jamaa kaondoka siku tatu leo haachi hela ya kula ! Akasema nampigia simu au hata kuongea nae kdg kdg sababu namtegemea kwa hicho kdg anachonipa nkamuuliza nkiwa nakupa ya kula utafanyaje na yeye akanihakikishia ntageuka niwe bubu ndani hata sikua sauti yangu hata siku moja namsemesha au kuniomba kitu Basi nkamuambia naanza kutoa Kodi ya meza simamia msimamo wako

TULICHO AFIKIANA ::sababu jamaa hataki kutoka japo anajua analazimisha penzi (hua anamtakia mwanamke najua hapa nalazimisha tu Ila moyo wako uko kwa yule bwana uliyekua nae) 1:itafutwe kamati ya ufundi apigwe pale apasahau kabisa 2:nimchukue mwanamke niwe naenda nae kwenye shuguli zangu nae nimpe kianzio awe anaingiza siku (hua nafanya shuguli za uvuvi ambapo 3/4 ya muda wangu hua Niko huko shamba) jamaa sababu pale anamfuata mwanamke akija akikuta hayupo ataondoka na ataenda kwa wake zake na 3: tumekubaliana njia ya kumtoa pale niende nimlipie mahali na tufunge ndoa ya kiserikali afu taarifa zitamfikia jamaa kuwa mwanamke ameolewa rasmi kwa hiyo hawezi kusogea pale nyumbani!!

Hivi tumepanga tarehe moja tunaondoka kwenda shamba kimya kimya !!

Mwisho wa mrejesho naombeni maoni na ushauri
 
Huyo ni malaya tu ndoo maana yuko peke na alikuingiza hapo nyumbani kwasababu laki 5. Hana mwanaume hata aliyefanya fujo alimpanga afanye hivyo.shida zake zimeisha hana muda na wewe ndoo anajifanya kaludiana mme wake.nikushauli acha naye angalia maisha mengine japo umeumia
 
Mnatoaga wapi ujasiri wa kuthubutu kuingia sembuse kulala nyumba ya mwanamke?
😅 😅 nilienda kulala kwa dem chanikaaaaaa.

Alafu nilivyo kuwa mjinga usafiri wangu nikaacha yard, nikatumia usafiri wake mbaka kwake chanika daaah.
Usiku wa manane baada ya kumchachua nikawanajiuliza ivi mimi ninaakili kweli ama ni kichaa, yani hataikitokea lolote siwezi hata kukimbia maana hata usafiri sina alafu sehem yenyewe nimbali kidogo na main road duuh.
Wanaume tukimpenda dem mpya akili yote inakuwa ndani ya sketi yake.

Hilo swali limenifikirisha sana mkuu daah.
 
😅 😅 nilienda kulala kwa dem chanikaaaaaa.

Alafu nilivyo kuwa mjinga usafiri wangu nikaacha yard, nikatumia usafiri wake mbaka kwake chanika daaah.
Usiku wa manane baada ya kumchachua nikawanajiuliza ivi mimi ninaakili kweli ama ni kichaa, yani hataikitokea lolote siwezi hata kukimbia maana hata usafiri sina alafu sehem yenyewe nimbali kidogo na main road duuh.
Wanaume tukimpenda dem mpya akili yote inakuwa ndani ya sketi yake.

Hilo swali limenifikirisha sana mkuu daah.
Ujinga huo mimi sina. Niliwahi kumkataa binti kwa kulazimisha kwenda kwake. Hii mimi kamwe siwezi.
 
Ujinga huo mimi sina. Niliwahi kumkataa binti kwa kulazimisha kwenda kwake. Hii mimi kamwe siwezi.
Mkuu siku ukikutana na chuma kikali alafu moyo ukigoma kusarenda, utasahau kama JF paliwahi kuwa na mada kama hii, akili zitarudi badae sana ukisha mwaga zege.

Believe me!.
 
Bahati mbaya huwa nakutana na chuma za hatari


😀😀 basi kama ulikutana na mazingira kama hayo na ukajidhibiti hongera sana mkuu, wengi tuna potezaga network kwanza.
Hatari sana.
 
Mkuu kumbe umeamua kuweka hapo na kaushirikina kadogo. Aseee na huyo mwamba naye akitafta mkubwa zaid ya huyo wako.... SEMA KITAUMANA
 
Alichonifanyia huyu mwanamke sijui kwa kweli, na alivyokua ananiambia alichofanyiw na yule X wake sijui kwa kweli yaani nimekubali mwanamke sio mtu wa kuamimi hata siku moja
Pole Kaka binadamu tuko tofauti na wengi wako kimaslai zaidi na hawana Hofu ya Mungu pili sio wanawake wote ni wabaya Mimi nakataa.Songa mbele ingawa inauma lkn jaribu usimruhusu shetani ukapoteza mwelekeo.
 
Wazee nakuja kwenu nikiomba ushauri,

Kama kichwa cha habari kinavyosema japo mimi sio mtaalamu sana wa kuandika nitajitahidi kuandika machache na ya muhimu, mwaka 2018 nikiwa kwenye safari zangu za kibiashara nilikutana na mwanamke mmoja tukiwa tumekaa siti moja kwenye bus tulilokua tunasafiria pamoja!!

Tulipofika kwenye kizuizi sehemu flan gari ikasimamishwa kwa ukaguzi, kumbe yule mwanamke alikua na mzigo wa magamu(magendo) na akatelemshwa hapo beria.

By then tulikua tushapeana namba za simu na nikataka kujua kulikoni ndipo aliponisimulia mkasa wake na akaniomba nifikishe taarifa kwa ndugu ambaye alinipa namba yake na maelekezo yote!!!

Hata nilipomtafuta yule bwana hakua tayari kuonyesha ushirikiano na yule mdada akawa Hana namna ila kuomba msaada wangu Kama naweza kumsaidia, baada ya michakato yote kufanyika ikawa inahitajika laki 5 ambayo alikua amepungukiwa ili amalize tatizo lake.

Mimi nkaamua kumsaidia kiroho Safi na akatoka ndani , mwanzonii mwa 2020 nkapata kesi ya uhujumu uchumi iliyoniweka gerezani mwaka mmoja na miezi Saba, yule dada nlimpa taarifa siku nakamatwa(alishakua rafiki yangu lakini sio kimapenzi) katika mwanzo wa kesi yangu Hadi natoka gerezani nlikua nae bega kwa bega na hakuna siku hata moja alikosa Kuja kunisalimia nkiwa gerezani (NB gerezani wanasalimiwa siku za wikend tu)

Mungu akasaidia kesi ikaisha na nkatoka, yule dada akanikaribisha nyumbani kwake na katika muda huo wote nlikua sijawahi kufika nyumbani kwake!! Nkakuta anaishi mwenyewe na akaniambia Ana miaka 2 hayuko kwenye mahusiano na pale anapoishi Ni nyumbani
kwake hajapanga

Basi nkatumia nafasi Ile kumuomba awe mwenzangu na akakubali !! Tumekaa kwa upendo na furaha nkiwa naenda kwake kila napohitaji hata Kama Ni usiku wa manane namkuta Yuko peke yake!!

Lakini alishaniambia huko nyuma alikua kwenye mahusiano na mtu japo waliachana sababu ya changamoto za maisha ya hapa na pale Basi kidume nkashika usukani

Yule X wake anasema waliishi pamoja miaka 10 lakini hawakua kwenye ndoa , waliishikimada tu, na walikua wameachana miaka imepita 2 Sasa Hadi mm nakutana nae kimapenzi

Siku moja yule X akapiga simu , akamwambia nasikia una mwanaume hapo nyumbani, Sasa Leo nakunywa KVANT nakuja kukufanyia fujo hapo kwako!! Nkamwambia yule mwanamke huyu X wako Kuna kitu anakudai hapa au alikusaidia kujenga hii nyumba?? akaniambia hajawahi hata kuninunulia glass hapa ndani, vitu vyote Ni jasho langu, Basi nkamwambia Kama Ni hivyo hawezi Kuja Ni mikwara tu!!

Ilipofika saa 5 usiku yule bwana akaja, kumbe alimaanisha, akafanya fujo anapiga madirisha na milango ikawa fujo kubwa wakati huo sisi tuko ndani tumefunga mlango

Asubuhi nkamtaka akaripot police akasema hawezi kumuweka ndani maana Kuna mazuri alimfamyia wakiwa pamoja Ila atamuonya asirudie! Jioni yake akanipigia simu akaniambia nimepata ushauri kwa watu wazima wamesema hapa kwangu nisilete mwanaume, kwa hiyo kuanzia leo usije hapa labda Kama Ni kukutana tukutane juu kwa juu!!

Nkasema sawa sitakuja Wala usiwe na Shaka kuhusu Hilo!!! Nkamuuliza au ndo unamrudisha x wako akasema yule siwezi kurudiana nae maana aliyonifanyia Ni makubwa!! Ntakua na wewe tu Ila nyumbani ndio usije maana namuogopa akisikia Tena uko hapa atakuja kunifamyia kitendo kibaya maana namfahamu Ni mkorofi.

Basi mm nkaamua kukaa kimya Ila Mara kwa mara akawa ananichokonoa kwa msg na simu akitaka tuonane, na mm nkajaa maana niwe mkweli nlijikuta nampenda Sana huyu mwanamke!! Juzi nkampigia simu hakupokea na sio kawaida yake , meseji hajibu nkasema huyu labda atakua na mwanaume ndani !

Nkaenda kwake kufika dirishani nkakuta anaongea na Yule x wake kwa simu ananisengenya na kuniongelea vibaya!! Nkamwambia fungua mlango na kweli akafungua tukiwa ndani nkamuhoji Kama anataka kuendelea na mm au anarudi kwa x wake akasema ananitaka Mimi!!

Basi ukatokea ugomvi Kati yangu na yeye na asubuhi akaita watu wazima tukasuluhisha , jioni hii Nimempigia simu kapokea yule x wake Ila kaongea kistaraabu tukamaliza , baadae nlipopiga Tena akapokea mwanamke akasema bwana yangu ameenda kazini ,namsubiria aje tulale Mimi nlikua na wewe sababu ya shida tu!

Nikihesabu garama na muda ambao nimeuwekeza kwake afu Leo anakuja kunilipa jeuri nakosa Raha kabisa hapa najiuliza nimfamye Nini huyu mwanamke?? Na nitoke vipi kwenye hii Hali niliyonayo maana roho Inaumia Sana , nahisi nlikutana nae naweza kufanya tukio baya maana amenifanyia usaliti mkubwa Sana.

Nawasilisha wakuu naombeni ushauri wenu


Ndugu yangu, achana na yote chapa lapa, utapata mwingine
 
Wazee nakuja kwenu nikiomba ushauri,

Kama kichwa cha habari kinavyosema japo mimi sio mtaalamu sana wa kuandika nitajitahidi kuandika machache na ya muhimu, mwaka 2018 nikiwa kwenye safari zangu za kibiashara nilikutana na mwanamke mmoja tukiwa tumekaa siti moja kwenye bus tulilokua tunasafiria pamoja!!

Tulipofika kwenye kizuizi sehemu flan gari ikasimamishwa kwa ukaguzi, kumbe yule mwanamke alikua na mzigo wa magamu(magendo) na akatelemshwa hapo beria.

By then tulikua tushapeana namba za simu na nikataka kujua kulikoni ndipo aliponisimulia mkasa wake na akaniomba nifikishe taarifa kwa ndugu ambaye alinipa namba yake na maelekezo yote!!!

Hata nilipomtafuta yule bwana hakua tayari kuonyesha ushirikiano na yule mdada akawa Hana namna ila kuomba msaada wangu Kama naweza kumsaidia, baada ya michakato yote kufanyika ikawa inahitajika laki 5 ambayo alikua amepungukiwa ili amalize tatizo lake.

Mimi nkaamua kumsaidia kiroho Safi na akatoka ndani , mwanzonii mwa 2020 nkapata kesi ya uhujumu uchumi iliyoniweka gerezani mwaka mmoja na miezi Saba, yule dada nlimpa taarifa siku nakamatwa(alishakua rafiki yangu lakini sio kimapenzi) katika mwanzo wa kesi yangu Hadi natoka gerezani nlikua nae bega kwa bega na hakuna siku hata moja alikosa Kuja kunisalimia nkiwa gerezani (NB gerezani wanasalimiwa siku za wikend tu)

Mungu akasaidia kesi ikaisha na nkatoka, yule dada akanikaribisha nyumbani kwake na katika muda huo wote nlikua sijawahi kufika nyumbani kwake!! Nkakuta anaishi mwenyewe na akaniambia Ana miaka 2 hayuko kwenye mahusiano na pale anapoishi Ni nyumbani
kwake hajapanga

Basi nkatumia nafasi Ile kumuomba awe mwenzangu na akakubali !! Tumekaa kwa upendo na furaha nkiwa naenda kwake kila napohitaji hata Kama Ni usiku wa manane namkuta Yuko peke yake!!

Lakini alishaniambia huko nyuma alikua kwenye mahusiano na mtu japo waliachana sababu ya changamoto za maisha ya hapa na pale Basi kidume nkashika usukani

Yule X wake anasema waliishi pamoja miaka 10 lakini hawakua kwenye ndoa , waliishikimada tu, na walikua wameachana miaka imepita 2 Sasa Hadi mm nakutana nae kimapenzi

Siku moja yule X akapiga simu , akamwambia nasikia una mwanaume hapo nyumbani, Sasa Leo nakunywa KVANT nakuja kukufanyia fujo hapo kwako!! Nkamwambia yule mwanamke huyu X wako Kuna kitu anakudai hapa au alikusaidia kujenga hii nyumba?? akaniambia hajawahi hata kuninunulia glass hapa ndani, vitu vyote Ni jasho langu, Basi nkamwambia Kama Ni hivyo hawezi Kuja Ni mikwara tu!!

Ilipofika saa 5 usiku yule bwana akaja, kumbe alimaanisha, akafanya fujo anapiga madirisha na milango ikawa fujo kubwa wakati huo sisi tuko ndani tumefunga mlango

Asubuhi nkamtaka akaripot police akasema hawezi kumuweka ndani maana Kuna mazuri alimfamyia wakiwa pamoja Ila atamuonya asirudie! Jioni yake akanipigia simu akaniambia nimepata ushauri kwa watu wazima wamesema hapa kwangu nisilete mwanaume, kwa hiyo kuanzia leo usije hapa labda Kama Ni kukutana tukutane juu kwa juu!!

Nkasema sawa sitakuja Wala usiwe na Shaka kuhusu Hilo!!! Nkamuuliza au ndo unamrudisha x wako akasema yule siwezi kurudiana nae maana aliyonifanyia Ni makubwa!! Ntakua na wewe tu Ila nyumbani ndio usije maana namuogopa akisikia Tena uko hapa atakuja kunifamyia kitendo kibaya maana namfahamu Ni mkorofi.

Basi mm nkaamua kukaa kimya Ila Mara kwa mara akawa ananichokonoa kwa msg na simu akitaka tuonane, na mm nkajaa maana niwe mkweli nlijikuta nampenda Sana huyu mwanamke!! Juzi nkampigia simu hakupokea na sio kawaida yake , meseji hajibu nkasema huyu labda atakua na mwanaume ndani !

Nkaenda kwake kufika dirishani nkakuta anaongea na Yule x wake kwa simu ananisengenya na kuniongelea vibaya!! Nkamwambia fungua mlango na kweli akafungua tukiwa ndani nkamuhoji Kama anataka kuendelea na mm au anarudi kwa x wake akasema ananitaka Mimi!!

Basi ukatokea ugomvi Kati yangu na yeye na asubuhi akaita watu wazima tukasuluhisha , jioni hii Nimempigia simu kapokea yule x wake Ila kaongea kistaraabu tukamaliza , baadae nlipopiga Tena akapokea mwanamke akasema bwana yangu ameenda kazini ,namsubiria aje tulale Mimi nlikua na wewe sababu ya shida tu!

Nikihesabu garama na muda ambao nimeuwekeza kwake afu Leo anakuja kunilipa jeuri nakosa Raha kabisa hapa najiuliza nimfamye Nini huyu mwanamke?? Na nitoke vipi kwenye hii Hali niliyonayo maana roho Inaumia Sana , nahisi nlikutana nae naweza kufanya tukio baya maana amenifanyia usaliti mkubwa Sana.

Nawasilisha wakuu naombeni ushauri wenu
Chagua mafuta ya taa na kiberiti ama bastola na risasi (itategemea na idadi ya simu ambazo hajapokea. kila missed calls 6 risasi moja) uwanja ni wako
 
achana naye baba,fanya mambo yako kuw bize na yako...maisha mafupi sana haya ENJOY UHAI BRO
 
Halafu next time USIWAAMINI WANAWAKE ACHA MAMBO YA KIFILIPINO MTAKUJA KUFARIKI KABLA YA MUDA WENU OHOOOO
 
Back
Top Bottom