Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Achana nae binam yanguuuUyu Anatuhisia tu vibaya cousin[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana nae binam yanguuuUyu Anatuhisia tu vibaya cousin[emoji4]
Kumbe ndio mnajipa umuhimu hivyo!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Hakuna mafanikio ya mwanamke yasiyokuwa na Mkono wa mwanaume
wakati mwingine hua viashiria vinajitokeza ila huwa tunavipuuza hivi kweli mtu mlishaachana naye halafu aseme nakunywa k_van nakuja kufanya fujo halafu uanripoti polisi mkuu no wonder karudi kwa mshkaji maana yeye ni bad boy wanvo ia wewe ni nice guy any ways yameshakukuta piga chini papuchi zipo kila kona ila umepata fundisho kuwa mtata na usi sacrifice chochote katika maisha yako kwa sababu ya mapenzi ila sexual desires kizazi hiki ni balaa...halafu badilikaWazee nakuja kwenu nikiomba ushauri,
Kama kichwa cha habari kinavyosema japo mimi sio mtaalamu sana wa kuandika nitajitahidi kuandika machache na ya muhimu, mwaka 2018 nikiwa kwenye safari zangu za kibiashara nilikutana na mwanamke mmoja tukiwa tumekaa siti moja kwenye bus tulilokua tunasafiria pamoja!!
Tulipofika kwenye kizuizi sehemu flan gari ikasimamishwa kwa ukaguzi, kumbe yule mwanamke alikua na mzigo wa magamu(magendo) na akatelemshwa hapo beria.
By then tulikua tushapeana namba za simu na nikataka kujua kulikoni ndipo aliponisimulia mkasa wake na akaniomba nifikishe taarifa kwa ndugu ambaye alinipa namba yake na maelekezo yote!!!
Hata nilipomtafuta yule bwana hakua tayari kuonyesha ushirikiano na yule mdada akawa Hana namna ila kuomba msaada wangu Kama naweza kumsaidia, baada ya michakato yote kufanyika ikawa inahitajika laki 5 ambayo alikua amepungukiwa ili amalize tatizo lake.
Mimi nkaamua kumsaidia kiroho Safi na akatoka ndani , mwanzonii mwa 2020 nkapata kesi ya uhujumu uchumi iliyoniweka gerezani mwaka mmoja na miezi Saba, yule dada nlimpa taarifa siku nakamatwa(alishakua rafiki yangu lakini sio kimapenzi) katika mwanzo wa kesi yangu Hadi natoka gerezani nlikua nae bega kwa bega na hakuna siku hata moja alikosa Kuja kunisalimia nkiwa gerezani (NB gerezani wanasalimiwa siku za wikend tu)
Mungu akasaidia kesi ikaisha na nkatoka, yule dada akanikaribisha nyumbani kwake na katika muda huo wote nlikua sijawahi kufika nyumbani kwake!! Nkakuta anaishi mwenyewe na akaniambia Ana miaka 2 hayuko kwenye mahusiano na pale anapoishi Ni nyumbani
kwake hajapanga
Basi nkatumia nafasi Ile kumuomba awe mwenzangu na akakubali !! Tumekaa kwa upendo na furaha nkiwa naenda kwake kila napohitaji hata Kama Ni usiku wa manane namkuta Yuko peke yake!!
Lakini alishaniambia huko nyuma alikua kwenye mahusiano na mtu japo waliachana sababu ya changamoto za maisha ya hapa na pale Basi kidume nkashika usukani
Yule X wake anasema waliishi pamoja miaka 10 lakini hawakua kwenye ndoa , waliishikimada tu, na walikua wameachana miaka imepita 2 Sasa Hadi mm nakutana nae kimapenzi
Siku moja yule X akapiga simu , akamwambia nasikia una mwanaume hapo nyumbani, Sasa Leo nakunywa KVANT nakuja kukufanyia fujo hapo kwako!! Nkamwambia yule mwanamke huyu X wako Kuna kitu anakudai hapa au alikusaidia kujenga hii nyumba?? akaniambia hajawahi hata kuninunulia glass hapa ndani, vitu vyote Ni jasho langu, Basi nkamwambia Kama Ni hivyo hawezi Kuja Ni mikwara tu!!
Ilipofika saa 5 usiku yule bwana akaja, kumbe alimaanisha, akafanya fujo anapiga madirisha na milango ikawa fujo kubwa wakati huo sisi tuko ndani tumefunga mlango
Asubuhi nkamtaka akaripot police akasema hawezi kumuweka ndani maana Kuna mazuri alimfamyia wakiwa pamoja Ila atamuonya asirudie! Jioni yake akanipigia simu akaniambia nimepata ushauri kwa watu wazima wamesema hapa kwangu nisilete mwanaume, kwa hiyo kuanzia leo usije hapa labda Kama Ni kukutana tukutane juu kwa juu!!
Nkasema sawa sitakuja Wala usiwe na Shaka kuhusu Hilo!!! Nkamuuliza au ndo unamrudisha x wako akasema yule siwezi kurudiana nae maana aliyonifanyia Ni makubwa!! Ntakua na wewe tu Ila nyumbani ndio usije maana namuogopa akisikia Tena uko hapa atakuja kunifamyia kitendo kibaya maana namfahamu Ni mkorofi.
Basi mm nkaamua kukaa kimya Ila Mara kwa mara akawa ananichokonoa kwa msg na simu akitaka tuonane, na mm nkajaa maana niwe mkweli nlijikuta nampenda Sana huyu mwanamke!! Juzi nkampigia simu hakupokea na sio kawaida yake , meseji hajibu nkasema huyu labda atakua na mwanaume ndani !
Nkaenda kwake kufika dirishani nkakuta anaongea na Yule x wake kwa simu ananisengenya na kuniongelea vibaya!! Nkamwambia fungua mlango na kweli akafungua tukiwa ndani nkamuhoji Kama anataka kuendelea na mm au anarudi kwa x wake akasema ananitaka Mimi!!
Basi ukatokea ugomvi Kati yangu na yeye na asubuhi akaita watu wazima tukasuluhisha , jioni hii Nimempigia simu kapokea yule x wake Ila kaongea kistaraabu tukamaliza , baadae nlipopiga Tena akapokea mwanamke akasema bwana yangu ameenda kazini ,namsubiria aje tulale Mimi nlikua na wewe sababu ya shida tu!
Nikihesabu garama na muda ambao nimeuwekeza kwake afu Leo anakuja kunilipa jeuri nakosa Raha kabisa hapa najiuliza nimfamye Nini huyu mwanamke?? Na nitoke vipi kwenye hii Hali niliyonayo maana roho Inaumia Sana , nahisi nlikutana nae naweza kufanya tukio baya maana amenifanyia usaliti mkubwa Sana.
Nawasilisha wakuu naombeni ushauri wenu
Sawa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Sasa weww miezi 11 unalalamika Mwenzio kakaa nae miaka 10 na ukamuona anazingua kuja kuletaa balaaa.. Hakuna mafanikio ya mwanamke yasiyokuwa na Mkono wa mwanaume so usijipe umuhimu katika maisha ya huyo mwanamke kumzidi Ex wake kakuacha maana Ex wake ni bora zaidi ya wew..
Ni sawa Ila hawajaishi Ila wako kwenye mahusiano miaka hiyo!! Huyo X Ana wake zake rasmikwanza ushukuru hujatolewa koromeo usirudie Tena upumbavu huo,wameshaishi miaka 10 hao nimume na mke tayari ,kasome Sheria yandoa kwenye katiba yenu ya tanzania
Sawa mkuu ntazingatia , eti kwa ubwege wmg toka Jana Niko nakunywa ! Sijala Wala Nini huu so ujuha huu!! Ila sababu nafahamu Hali ya kiuchumi ya yule mwanamke na huyo X wake , acha nipige kazi hela ikae vizuri kwenye account afu siku moja ntakuja kuleta mrejesho humuwakati mwingine hua viashiria vinajitokeza ila huwa tunavipuuza hivi kweli mtu mlishaachana naye halafu aseme nakunywa k_van nakuja kufanya fujo halafu uanripoti polisi mkuu no wonder karudi kwa mshkaji maana yeye ni bad boy wanvo ia wewe ni nice guy any ways yameshakukuta piga chini papuchi zipo kila kona ila umepata fundisho kuwa mtata na usi sacrifice chochote katika maisha yako kwa sababu ya mapenzi ila sexual desires kizazi hiki ni balaa...halafu badilika
Wazee nakuja kwenu nikiomba ushauri,
Kama kichwa cha habari kinavyosema japo mimi sio mtaalamu sana wa kuandika nitajitahidi kuandika machache na ya muhimu, mwaka 2018 nikiwa kwenye safari zangu za kibiashara nilikutana na mwanamke mmoja tukiwa tumekaa siti moja kwenye bus tulilokua tunasafiria pamoja!!
Tulipofika kwenye kizuizi sehemu flan gari ikasimamishwa kwa ukaguzi, kumbe yule mwanamke alikua na mzigo wa magamu(magendo) na akatelemshwa hapo beria.
By then tulikua tushapeana namba za simu na nikataka kujua kulikoni ndipo aliponisimulia mkasa wake na akaniomba nifikishe taarifa kwa ndugu ambaye alinipa namba yake na maelekezo yote!!!
Hata nilipomtafuta yule bwana hakua tayari kuonyesha ushirikiano na yule mdada akawa Hana namna ila kuomba msaada wangu Kama naweza kumsaidia, baada ya michakato yote kufanyika ikawa inahitajika laki 5 ambayo alikua amepungukiwa ili amalize tatizo lake.
Mimi nkaamua kumsaidia kiroho Safi na akatoka ndani , mwanzonii mwa 2020 nkapata kesi ya uhujumu uchumi iliyoniweka gerezani mwaka mmoja na miezi Saba, yule dada nlimpa taarifa siku nakamatwa(alishakua rafiki yangu lakini sio kimapenzi) katika mwanzo wa kesi yangu Hadi natoka gerezani nlikua nae bega kwa bega na hakuna siku hata moja alikosa Kuja kunisalimia nkiwa gerezani (NB gerezani wanasalimiwa siku za wikend tu)
Mungu akasaidia kesi ikaisha na nkatoka, yule dada akanikaribisha nyumbani kwake na katika muda huo wote nlikua sijawahi kufika nyumbani kwake!! Nkakuta anaishi mwenyewe na akaniambia Ana miaka 2 hayuko kwenye mahusiano na pale anapoishi Ni nyumbani
kwake hajapanga
Basi nkatumia nafasi Ile kumuomba awe mwenzangu na akakubali !! Tumekaa kwa upendo na furaha nkiwa naenda kwake kila napohitaji hata Kama Ni usiku wa manane namkuta Yuko peke yake!!
Lakini alishaniambia huko nyuma alikua kwenye mahusiano na mtu japo waliachana sababu ya changamoto za maisha ya hapa na pale Basi kidume nkashika usukani
Yule X wake anasema waliishi pamoja miaka 10 lakini hawakua kwenye ndoa , waliishikimada tu, na walikua wameachana miaka imepita 2 Sasa Hadi mm nakutana nae kimapenzi
Siku moja yule X akapiga simu , akamwambia nasikia una mwanaume hapo nyumbani, Sasa Leo nakunywa KVANT nakuja kukufanyia fujo hapo kwako!! Nkamwambia yule mwanamke huyu X wako Kuna kitu anakudai hapa au alikusaidia kujenga hii nyumba?? akaniambia hajawahi hata kuninunulia glass hapa ndani, vitu vyote Ni jasho langu, Basi nkamwambia Kama Ni hivyo hawezi Kuja Ni mikwara tu!!
Ilipofika saa 5 usiku yule bwana akaja, kumbe alimaanisha, akafanya fujo anapiga madirisha na milango ikawa fujo kubwa wakati huo sisi tuko ndani tumefunga mlango
Asubuhi nkamtaka akaripot police akasema hawezi kumuweka ndani maana Kuna mazuri alimfamyia wakiwa pamoja Ila atamuonya asirudie! Jioni yake akanipigia simu akaniambia nimepata ushauri kwa watu wazima wamesema hapa kwangu nisilete mwanaume, kwa hiyo kuanzia leo usije hapa labda Kama Ni kukutana tukutane juu kwa juu!!
Nkasema sawa sitakuja Wala usiwe na Shaka kuhusu Hilo!!! Nkamuuliza au ndo unamrudisha x wako akasema yule siwezi kurudiana nae maana aliyonifanyia Ni makubwa!! Ntakua na wewe tu Ila nyumbani ndio usije maana namuogopa akisikia Tena uko hapa atakuja kunifamyia kitendo kibaya maana namfahamu Ni mkorofi.
Basi mm nkaamua kukaa kimya Ila Mara kwa mara akawa ananichokonoa kwa msg na simu akitaka tuonane, na mm nkajaa maana niwe mkweli nlijikuta nampenda Sana huyu mwanamke!! Juzi nkampigia simu hakupokea na sio kawaida yake , meseji hajibu nkasema huyu labda atakua na mwanaume ndani !
Nkaenda kwake kufika dirishani nkakuta anaongea na Yule x wake kwa simu ananisengenya na kuniongelea vibaya!! Nkamwambia fungua mlango na kweli akafungua tukiwa ndani nkamuhoji Kama anataka kuendelea na mm au anarudi kwa x wake akasema ananitaka Mimi!!
Basi ukatokea ugomvi Kati yangu na yeye na asubuhi akaita watu wazima tukasuluhisha , jioni hii Nimempigia simu kapokea yule x wake Ila kaongea kistaraabu tukamaliza , baadae nlipopiga Tena akapokea mwanamke akasema bwana yangu ameenda kazini ,namsubiria aje tulale Mimi nlikua na wewe sababu ya shida tu!
Nikihesabu garama na muda ambao nimeuwekeza kwake afu Leo anakuja kunilipa jeuri nakosa Raha kabisa hapa najiuliza nimfamye Nini huyu mwanamke?? Na nitoke vipi kwenye hii Hali niliyonayo maana roho Inaumia Sana , nahisi nlikutana nae naweza kufanya tukio baya maana amenifanyia usaliti mkubwa Sana.
Nawasilisha wakuu naombeni ushauri wenu
Nitakuja kucoment baadae based on this comment.Sio MKE wa mtu bro, huyo X Ana wake wawili nyumbani kwake hapa Ni Kama mchepuko wake japo wamekaa kwenye mahusiano kwa muda wote huo
Yaan so mm ni kitoweo ?sawa bwana. Ila uliwazalo silooHahah...mzee wa kutupia kamba huyu, halafu anaacha kitoweo kijipimie urefu chenyewe
nayahisi maumivu uliyonayo, pole mkuu wangu, uwe makini na ufuate utaratibu wakati mwingine..Mkuu Ni story. Ndefu nimeacha mengine nkajua ntayakuta kwenye maswli na ufafanuzi!! Mm kuaxhwa nimekubali mbali na huo msaad nliompa pia Kuna vingi tu nimemfanyia kwa huo muda mfupi nilikutana nae,! Kibaya aliniaminisha Hadi nkamtambulisha kwa wazazi na yeye akanitambulisha kwao kumbe alikua na lake moyoni!! Sijamkosea kitu na imekua gafla sana
Asante ntazingatia!! Ila mm sio poyoyo kwenye mapenzi Ila kwa hili linalonikuta Hilo jina linanifaa kabisaKifupi bro wewe kwa huyo mwanamke ni mchanga na mdogo mno ... Kimawazo na kifikra yupo mbele yako hatua 100 ...so hata umkimbize vipi humpati.
Siku alio Anza kuja huyo jamaa yake ndio siku ambayo ulitakiwa uanze kurudisha gharama zako ikiwezekana ili takiwa umkope Kama milioni hivi na utulie kimya akikupa ... Na siku ambayo kakupiga burn kwenda kwake ndio siku ambayo ulitakiwa umkatie mawasiliano mazima bila chembe ya huruma hata Kama moyo ungekuuma.
Ila kwa sababu wewe bado poyoyo kwenye mapenzi nikuambie tu hauna utakacho mfanya huyo mwanamke usijulikane labda mfe wote ....kwa Sasa tuliza kijambio kuwa mpole tu yataisha maumivu .
NB
Ukijifanya kumbembeleza ndio utawapa topic ya kunogesha mapenzi yao na yatanoga ukweli na yatakuchoma haswaaa....kaa kimya Kama kitu hakija tokea vile na usinitafute itakusaidia kumrudisha chap na kuwa slave wako
Huu ushauri unaweza kua Ni ushauri Bora niliouona ! Wengine pia mmeshauri vzr lakini huu naona kitu kinaingia kwenye ubongoMleta mada huu sasa ni ushauri wangu. Kuwa kwenye mahusiano na mwanamke kwa miaka 10 ni jambo ambalo unatakiwa ulitafakari kwa kina. Hili swala ni zito sana kwenye mapenzi, unaweza kuongea yote kama vile waliachana na blah blah zingine lakini ukweli utabaki kuwa hawa watu wanapendana. Na ukitaka uthibitisho zaidi kuwa hawa watu wanapendana ni ile hali ya mwanaume kuwa na wake wawili lakini bado bidada halioni hilo kama ni tatizo ndio maana wamedumu for 10 years. Ninachotaka kukuambia ni kwamba hao watu hawawezi kuachanishwa na mtu yeyote, kuachana kwao ni mmoja wapo aamuae kumwacha mwenzie kitu ambacho sio rahisi.
Ushauri wangu ni huu "achana na huyo mwanamke atakuharibia mipango yako ya kiuchumi maana ukiendelea kumng'ang'ania atakuvuruga sana mpaka utatoka kwenye reli. Huyo sio wako ni wa huyo jamaa mwenye wake wawili. Huyo mwanamke anampenda jamaa, kwako alikuwepo kwa sababu walizinguana na jamaa, sasa washaweka tofauti zao pembeni wamerudi kufurahia penzi lao"