Ushauri wako , mzuri Ila la kwanza nzuri zaidi, kuhusu kwenda kwake na sio kwangu Ni kwamba kwangu nlimwbiaa twende (ameshafika Mara kibao)tatizo likaja Hanna mtu wa kumwachia amuamgalizie nyumba huyu mama Ana kija mmoja aliyezaa ktk ujana wake na hakuzaa Tena, kijana Ni mkubbwa Yuko chuo , akasema hawezi kutoka kwake Mana kijana wake akifunga chuo atakua anaenda wapi? Au anakaa na nani hapo nyumbani ! Maana kwangu pia Nina watoto wakubwa ikaonekana Basi tupige kambi hapo kwake! Nina uhakika [emoji817] hapo kwake jamaa hakushiriki mchango wowote maana jamaa aliposikia bidada Ana mtu mwingine alikua anapiga simu na kutuma sms kumbembeleza asamehewe vitu vyote nlikua navishuhudia maana alikua ananipa simu Kama X akituma msg , demu akawa anamwambia tuna miaka 2 hatuko pamoja hajawahi kujua nakula Nini umeona nimepata mtu unaanza kuomba msamaha mbona miaka yote hukuwahi kuuomba!! Demu anamuuliza jamaa au Kuna KITU chako chochote hapa kwangu nikurushie?? Jamaa anajibu hakuna