Msaada tafadhali: Nina kibamia

Msaada tafadhali: Nina kibamia

Ifanyishe mazoezi; ukitoka kwenye mishe zako, jifunge taulo tu muda mwingi isibanwe banwe, pia jaribu kuifungia kitu kizito kiwe kinaivuta vuta ili kuongeza urefu;fanya mazoezi, kula lishe bora, pamoja na maji ya kutosha
Oyaa aibebeshe chuma[emoji28][emoji28][emoji28]

Daah mkuu nimecheka hadi basi.....
 
Ngoja nikusaidie kitu, ingawa ni jambo la kitamaduni kidogo....tafuta mtaalamu anayejua kutumia muegeya ama jina lingine mvunge kama tiba ya hilo jambo, wengi wamedanganywa kua ni ukichanja tu ila kuna ibada inafanyika ya kitamaduni kidogo, na hii ni uhakika 100% sina cha kukuongopea!

Ama pia kuna dawa za asili za kunywa ila hizi mara nyingi huleta matokeo mazuri zaidi kwa wale ambao uume uliingia ndani kwasababu mbalimbali ikiwemo ngiri!

Ila hata mtu mwenye uume mdogo humpa matokeo ila kwa taratibu sana na unywe kwa muda mrefu sana, maana itakua inasaidia uume kusimama kwa nguvu hii husababisha misuli kujivuta nje na mishipa ya damu kutanuka na hvyo kuongeza mzunguko wa uume, ila matokeo yake ni taratibu sana sana mkuu!!

Mwenye idea zaidi anaweza kukuongezea!!
 
Kwaiyo akisoma kwani hajawahi kufanya ngono mbona unakuwa mpumbavu kuliko mapumbu ya mbwa mkuuu hili sio jukwaa la siasa pita [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Jiulize kwann anatumia kidole na anakojoa na kumaliza kabisa haja yake!?? Je wewe uume wako ni mdogo kuliko kidole hiko!?? Msikuze matatizo kiasi hiko aisee[emoji28]


Hayo mengine ni maumbile tu ya kawaida[emoji112]
Nakazia!
 
Ngoja nikusaidie kitu, ingawa ni jambo la kitamaduni kidogo....tafuta mtaalamu anayejua kutumia muegeya ama jina lingine mvunge kama tiba ya hilo jambo, wengi wamedanganywa kua ni ukichanja tu ila kuna ibada inafanyika ya kitamaduni kidogo, na hii ni uhakika 100% sina cha kukuongopea!

Ama pia kuna dawa za asili za kunywa ila hizi mara nyingi huleta matokeo mazuri zaidi kwa wale ambao uume uliingia ndani kwasababu mbalimbali ikiwemo ngiri!

Ila hata mtu mwenye uume mdogo humpa matokeo ila kwa taratibu sana na unywe kwa muda mrefu sana, maana itakua inasaidia uume kusimama kwa nguvu hii husababisha misuli kujivuta nje na mishipa ya damu kutanuka na hvyo kuongeza mzunguko wa uume, ila matokeo yake ni taratibu sana sana mkuu!!

Mwenye idea zaidi anaweza kukuongezea!!
Mkuu ya kwangu naipigiaga nyeto nahisi imeshapungua urefu naomba hiyo dawa ya kunywa, inaitwaje?
 
Ifanyishe mazoezi; ukitoka kwenye mishe zako, jifunge taulo tu muda mwingi isibanwe banwe, pia jaribu kuifungia kitu kizito kiwe kinaivuta vuta ili kuongeza urefu;fanya mazoezi, kula lishe bora, pamoja na maji ya kutosha
😀 😀 😀 😀 😀hatari san awe anabebesha vyuma.
 
Salama wakuu

Ni hivi,umri unaenda naelekea miaka 30 maumbile yangu (kichakatio) hayaridhi(membamba na mafufupi). Yaani hata sina confidence mbele ya demu nikiwa naked.
Sasa baada ya kutembelea Instagram muda mrefu na kukutana na matangazo ya kukuza mshedede nimevutiwa sana nikaona sio mbaya niagize. Lakin kabla ya kuagiza nikaona ni bora niwashirikishe watu wangu wa familia ya Jf huenda wakanishauri zaidi au kunielekeza dawa nzuri ili nipunguze kujinyanyapaa

Natanguliza shukran
bro sikia ukubwa wa pua sio kupenga makamasi mengi,weer fanya mambo yafuatayo:
1.fanya sana mazoezi ili uwe na nguvu za kwenda muda mrefu
2.jifunze sana romance ili kumlainisha patina wako,kuchezea papuchi kuinyonya sana na kucheza na simi pia
 
Chache sana iyo tafuta vitot 18-22 age, bila ivo utadharaulika
 
Back
Top Bottom