Mangi shangali
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 533
- 820
Ndugu zangu kwema,
Nilikuwa naomba msaada tafadhali, maana hili jambo linaniumiza kichwa sana leo.
Kati ya uzi hizi mbili kesho nivae ipi jamani?
Maana hapa nilipo nimepatwa na mkanganyiko sijui nivae ipi.
Naombeni msaada tafadhali.
Nilikuwa naomba msaada tafadhali, maana hili jambo linaniumiza kichwa sana leo.
Kati ya uzi hizi mbili kesho nivae ipi jamani?
Maana hapa nilipo nimepatwa na mkanganyiko sijui nivae ipi.
Naombeni msaada tafadhali.