Msaada tafadhali

Msaada tafadhali

Naandika hili nikiwa na hasira sana

Msaada mwenye kujua spray yeyote au sawa inayoweza chafua hali ya hewa kwa muda mfupi na kusababisha pasikalike

Au dawa ambayo ukichoma itaharibu hali ya hewa kwa muda mfupi yaani ilimradi pasikalike

Msaada tafadhali kwa anaejua moja kati ya hilo
Kunya hapo hatokaa mtu
 
Pole sana Kuna mti Fran ungeupata unatoa vitunda frani vidogo vidogo sisi tunaita vunja genge nin hatiri ukilipasua Hilo tunda humo ndani mtaanza kunusana mpaka kukimbiana
 
Kama ni majirani wachane tu kuwa hupendi harufu ya.sigara wasivute hapo kwako .

Kesho yake wakirudia basi waloge ndio njia nzuri ila kweli mie nakinukishaga na wazima tusizoeane ache usenge , mnavuta bangi kwani hapa bar ngoja niingie ndani nimkute mtu nje na bangi , oh natokaga na sime yakimasai au rungu
 
Kama ni majirani wachane tu kuwa hupendi harufu ya.sigara wasivute hapo kwako .

Kesho yake wakirudia basi waloge ndio njia nzuri ila kweli mie nakinukishaga na wazima tusizoeane ache usenge , mnavuta bangi kwani hapa bar ngoja niingie ndani nimkute mtu nje na bangi , oh natokaga na sime yakimasai au rungu
Nishawachana zaidi ya mara mbili na wanarudia isitoshe kuna watoto.... apa nmeona kodi yangu iishe kuondoka.... saizi kila mtu anadonoa humu ndani
 
Back
Top Bottom