Msaada tafadhari wanaojua kiingereza naomba mnitafsirie haya kuhusu huyu Balthazar ili nijifunze mwanamke ni kiumbe gani?

Msaada tafadhari wanaojua kiingereza naomba mnitafsirie haya kuhusu huyu Balthazar ili nijifunze mwanamke ni kiumbe gani?

Balthazar’s videos are a nest of teachings. From these videos, I learned five important lessons about women:

1- A woman's faithfulness is just an illusion. She doesn't exist. At her place, we have to talk about "presumption of fidelity".

2- Marriage does not guarantee loyalty or fidelity.

3- In the face of money, women deny all moral values. Only their interests prevail.

4- When they want to get something without putting in effort, they are ready for the worst compromises.

5- She's beautiful to be married, she'll always hope to meet a man who's nicer than her husband. And if by misfortune she meets him, she will cheat on you without mercy or remorse.View attachment 3145992
next time download App inaitwa chatGpt,uwe unapeleka huko unaomba itafsiri kwa lugha unayotaka
 
Pamoja na yote mlioandika, ila nahitimisha hoja kwamba;

Baada ya Mfalme Suleiman, anayemfuatia Kwa kupiga mbususu nyingi ni huyu Mwamba Balthazar Engonga

Nilidhani Mfalme Mswati ni kama alikuwa anajitahidi kumkaribia, kumbe ameachwa mbali kabisa hata na Balthazar 🙌
 
1-Uaminifu wa mwanamke ni udanganyifu tu. Yeye hayupo. Katika nafasi yake, tunapaswa kuzungumza juu ya "dhana ya uaminifu".

2- Ndoa haihakikishi uaminifu.

3- Mbele ya pesa, wanawake wanakanusha maadili yote. Maslahi yao tu ndio yanatawala.

4- Wanapotaka kupata kitu bila kuweka juhudi wanakuwa tayari kwa maelewano mabaya zaidi.

5- Ni mrembo wa kuolewa, huwa na matumaini ya kukutana na mwanaume ambaye ni mzuri kuliko mumewe. Na ikiwa atakutana naye kwa bahati mbaya, atakudanganya bila huruma au majuto.
Ahasnte mkuu , kumbe duh!
 
Unajipa tabu ya bure, jamaa anakula wake za watu na wake anàliwa vilevíle.

Tupo kwenye zama lazima utumie akili siyo hisia, kwanza mwanamke siyo ndugu yako, wala síyo property yako bali ni sex partner tu.

Msipojuwa mnaishi zama zipi ukawapa kipaumbele wanawake hóyo ni shida yako.

Maisha ya sasa ishi kimjini kimjini ilimradi mkeo analiwa kimyakimya hujui lolote na wewe watafune kimyakimya mpe heshima mkeo asijuwe.

Zama hizi mchawi pesa asikudanganye mtu yeyote, wanaoliwa asilimia kubwa ni tamaa hawaridhiki issue wala siyo nyege au eti hawakojoleshwi si kweli.
Hu ni mtizamo wako mkuu? au ndo tafeeri ulio fanya?
 
Balthazar’s videos are a nest of teachings. From these videos, I learned five important lessons about women:

1- A woman's faithfulness is just an illusion. She doesn't exist. At her place, we have to talk about "presumption of fidelity".

2- Marriage does not guarantee loyalty or fidelity.

3- In the face of money, women deny all moral values. Only their interests prevail.

4- When they want to get something without putting in effort, they are ready for the worst compromises.

5- She's beautiful to be married, she'll always hope to meet a man who's nicer than her husband. And if by misfortune she meets him, she will cheat on you without mercy or remorse.

= tafadhali.
 
Pamoja na yote mlioandika, ila nahitimisha hoja kwamba;

Baada ya Mfalme Suleiman, anayemfuatia Kwa kupiga mbususu nyingi ni huyu Mwamba Balthazar Engonga

Nilidhani Mfalme Mswati ni kama alikuwa anajitahidi kumkaribia, kumbe ameachwa mbali kabisa hata na Balthazar 🙌
Mkuu,
Kwani wewe hujahit 500+ bado?
 
Kusoma hujui Hata picha tu nayo unaona Giza??
 
1-Uaminifu wa mwanamke ni udanganyifu tu. Yeye hayupo. Katika nafasi yake, tunapaswa kuzungumza juu ya "dhana ya uaminifu".

2- Ndoa haihakikishi uaminifu.

3- Mbele ya pesa, wanawake wanakanusha maadili yote. Maslahi yao tu ndio yanatawala.

4- Wanapotaka kupata kitu bila kuweka juhudi wanakuwa tayari kwa maelewano mabaya zaidi.

5- Ni mrembo wa kuolewa, huwa na matumaini ya kukutana na mwanaume ambaye ni mzuri kuliko mumewe. Na ikiwa atakutana naye kwa bahati mbaya, atakudanganya bila huruma au majuto.
Mkuu hi ana maanisha nini........marriage does not guaratee "loyalty or fidelity"
 
Unajipa tabu ya bure, jamaa anakula wake za watu na wake anàliwa vilevíle.

Tupo kwenye zama lazima utumie akili siyo hisia, kwanza mwanamke siyo ndugu yako, wala síyo property yako bali ni sex partner tu.

Msipojuwa mnaishi zama zipi ukawapa kipaumbele wanawake hóyo ni shida yako.

Maisha ya sasa ishi kimjini kimjini ilimradi mkeo analiwa kimyakimya hujui lolote na wewe watafune kimyakimya mpe heshima mkeo asijuwe.

Zama hizi mchawi pesa asikudanganye mtu yeyote, wanaoliwa asilimia kubwa ni tamaa hawaridhiki issue wala siyo nyege au eti hawakojoleshwi si kweli.
Kwa hili jamaa mitazamo ya wengi itabadilika na kuona dhahiri kuwa pesa sio kila kitu kwa binadamu
Angalia wanawake aliotembea nao wote hakuna hata mmoja alieomba vocha au tuma na ya kutolea, bali wote ni wazito kifedha na nguvu pia kwenye serikali yao

Mimi mhenga nalijua hili miaka na miaka
Nakumbuka kuna msichana wa geti kali na mtoto wa tajiri mkubwa alimpenda muuza mboga mboga
Baba akataka amuuwe yule muuza mchicha ila msichana akasema muuwe na mimi najiua
Ikabidi ampe sharti la kuhama nchi
 
Mkuu hi ana maanisha nini........marriage does not guaratee "loyalty or fidelity"
Ndoa haikupi uhakika wa uaminifu, maana yake ni kwamba kuoa/kuolewa hakukuhakikishii wewe/mwenza wako mtakuwa waaminifu, mmoja au wote mnaweza kuwa kwenye ndoa na msiwe waaminifu, mkawa mnachapisha nje ya ndoa.
 
Kwa hili jamaa mitazamo ya wengi itabadilika na kuona dhahiri kuwa pesa sio kila kitu kwa binadamu
Angalia wanawake aliotembea nao wote hakuna hata mmoja alieomba vocha au tuma na ya kutolea, bali wote ni wazito kifedha na nguvu pia kwenye serikali yao

Mimi mhenga nalijua hili miaka na miaka
Nakumbuka kuna msichana wa geti kali na mtoto wa tajiri mkubwa alimpenda muuza mboga mboga
Baba akataka amuuwe yule muuza mchicha ila msichana akasema muuwe na mimi najiua
Ikabidi ampe sharti la kuhama nchi
Nimesha jifunza how to handle a woman........never put more trust in her.
 
Back
Top Bottom