MSAADA TAFADHARI

MSAADA TAFADHARI

FighterOne

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2016
Posts
313
Reaction score
277
Upo kazn kwako unahudumia wateja ofisini au mishemishe zako ghafula unagundua kuna mtu anakurecord kwa camera au anakupiga picha pasipo ridhaa yako na ukadhibitisha kwa ushahidi.
Je hili ni kosa gani na kwa kifungu kipi cha sheria? Asanteni.
 
Back
Top Bottom