Hiyo ilikuwa ndoto uhalisia bali alikushindwa kwakuwa kuna nguvu ilikuwa inakulinda ilimzidi maarifaAhsante sana mkuu ila kwa kawaida niliwahi ota ndoto ambayo ilijirudia mara 2 tu na hii ilikuwa niya kumbukumbu ambayo pia imeingua kwenye ushirikina ila niliipotezea tu na hii ilikuwa namjua nani anafanya hivo vitu ila mara zote niliota kama anataka kunikamata ila nikawa namkwepa mara zote hii ilikuwa ndoto naota niko kwenye nyumba yake akawa anataka kunishika mie nikawa nainama ananikosa
Hapa nakubaliana na wewe hasa kwenye ndoto za kujirudia rudia ni kweli kabisa.Kuna kitu unakuwa unaonyeshwa lakini jinsi unavyopuuzia ndivyo inavyojirudia mpaka ukweli utakapojionyesha wenyewe....hii imeshanitokea kabisa.Pole kwa kukuacha njia panda. Mimi sio mtaalam wa ndoto. Ila haya yanawezekana;
1. Kama ndoto itajirudia rudia inawezekana Mungu anakupa onyo.
2. Kama yule mama uliona sura yake na unamfahamu basi muombe Mungu ili akupe ufafanuzi zaidi
3. Muulize mdogo wako kama kuna ndoto ameota hivi karibuni na unganisha dots.....
4. Mara nyingi utakuta mtu hata hajawahi kwenda kwa mganga na wala hapendi kusikia ushirikina. Lakini anatumika kwenye ushirikina kwa njia moja au nyingine. Inawekana ukiwa mdogo ndugu zake mama au baba au hata bibi/babu au hata mashangazi walichomeka mambo kwako.
MY TAKE: kutokujihusisha na ushirikina wala imani zao kama hujafunikwa na damu inenayo mambo mema (damu ya Yesu) ni bure. utatumika na kutumikishwa. Kumbuka dhambi zetu ndo huwa zinafanya tutumikishwe. Hata ukitumia damu ya yesu na bado kuna sehemu wanapata chance ya kuingia kwa sababu ya dhambi unazofanya watakutumia tu. Na dhambi sio kuzini tu hata kukasirikia na kuwa na chuki.
Ok fine ahsante sanaMkuu hongera,Kama hauombi basi huyo mchawi hakuwezi na atajaribu tena!!mdogo wako huyo alitakiwa akuingize hadi huko chumbani ikashjndikana ukabaki nje!!ukiendelea kufuatilia ulichopigwa nacho kifuani sio mkaa!!baada ya hilo jaribio kushindikana ameamua kukuekea kitu kwa njia ya huo mkaa!!
Ilikuwa ni usiku wa jana kuamkia leo nilipojikuta naingia kwenye ndoto ambayo mpaka sasa sijapata kujua ikomaanisha nini.
Ndoto Yenyewe:
Tulikuwa watu wawili yaani nimimi na mdogo wangu, mdogo wangu aliniomba nimsindikize mahala fulani ambaki mpaka sasa sipajua palikuwa wapi…!! Tulifika kwenye hiyo nyumba tukaingia ndani ile nyumba ilikuwa haijaisha kwa kujengwa, yaani mithili ya mtu akiejenga alikuwa kaishindwa so watu wakapangishwa, mdogo wangu alikuwa mbele yangu maana ye ndio alijua wapi tunaenda, katika hiyo nyumba ilikuwa ina milango kama nane yote ilikuwa inaangaliana tukapita katika hadi kwenye mlango wa mwisho wa kushoto wa mkono wetu mule kwenye kile chumba hakukuwa na mtu yeyote na mdogo wangu aliingia mpaka ndani na akatoka haraka mie nikiishia mlangoni pasi kuona ni nini alikiona mule ndani au ndani kulikuwa na nini.
Niliona kitanda tu ambacho kilikuwa na shuka jeupe nilipoona mdogo wangu katoka nami niligeuza paleplale, wakati tunatoka kabla hatujaimaliza ile nyumba kutoka yule mwenye chumba ambacho tuliingia akawa anaingia ndani nayeye, yule mdogo wangu alipomuona alikuwa anacheka na akakimbia huku akiniacha nyuma nikipigwa na butwaa…!! Yule mama alisimama akaniangalia akaingia chumban kwake na akarudi tena, aliporudi alinikuta mimi nikitoka pale akanifuata akasimama mbele yangu huku akinitazama kwa hasira…!! Akachukua mikaa mitatu akanipiganayo kifuani alafu akanisonya na kunibia "ole wenu mukasimulie…!!" hapa ndipo nilipochanganikiwa kabisa mpaka sasa na sijajua nyumba ambayo tuliingia ikowap na yule mama alienichimbia mkwala simjui tu.
Naomba msaada wa tafsiri wa ndoto hii waungwana
cc: Mshana Jr
cc: MziziMkavu
Mkuu mimi habari za ushirikina sina kabisa wala sijawahi ata kuchanjwa au kwenda kwa mganga kufanya jambo lolote lile na isitoshe huu mkwala tumepigwa wote kwa maana alisema "OLE WENU MUKASIMULIE"
Usimtishe mwenzako wewe!Jiaandae kuwa mshirikina nambari moja kwenye familia yenu maana hata ndoto yenyewe inatafsiri hivyo
Amgesimulia ndotoni ndo msalaUmeambiwa ole wenu msimulie, wewe umeshakuja kusimulia.
Amgesimulia ndotoni ndo msala
mkuu hujaota umeona,ni mtu anayekufatilia sana ila kiuchawi humhusisha nduguyo na kabla hajafanikiwa umemgundua.sasa kakasirika anakutisha.una malaika wakali sanaAhsante sana mkuu ila kwa kawaida niliwahi ota ndoto ambayo ilijirudia mara 2 tu na hii ilikuwa niya kumbukumbu ambayo pia imeingua kwenye ushirikina ila niliipotezea tu na hii ilikuwa namjua nani anafanya hivo vitu ila mara zote niliota kama anataka kunikamata ila nikawa namkwepa mara zote hii ilikuwa ndoto naota niko kwenye nyumba yake akawa anataka kunishika mie nikawa nainama ananikosa
Hapa mkuu umeniacha mdomo wazi…!! Yani nilithi mikoba mimi…!!?? Aaaah hiko hakitawezekana kama ndio nia yao nitapamba nao ila tu nilivyopigwa mikaa sikuumia wala sikuhisi maumivu yoyote yale.Pole sana Mkuu, ngoja nikutafsirie kidogo.
-Kwanza kabisa Mkuu wewe huwa unachukuliwa usiku na unapelekwa sehemu za kichawi ila kuanza kukutumikisha moja kwa moja hapo sijajua.
- Pili, anayekupeleka huko sio mdogo wako kama wengi walivyosema. Siraha kubwa kwa uchawi ni usiri. Anayekuchezea hawezi akaleta sura yake ili umjue, ukimtambua ile nguvu yake hupungua kwa kasi sana. Kuonesha kwamba upo na mdogo wako inakuashiria kwamba ni mtu wako wa karibu kama mzazi, jirani, ndugu, jamaa n.k
-Umesema kwamba umetupiwa mikaa mitatu, baada ya kutupiwa ulipata maumivu au kujeruhika sehemu yoyote?
- Kuna mtu wako wa karibu anataka akuunganishe na Uchawi. Na hizo process zimeshaanza na hivyo ulivyotupiwa ni uchawi dhahiri, na ulipoambiwa usiseme ni kama upo ktk training ya kichawi kwamba usiwe mtoaji siri kwa yote yanayotendeka huko.
Wachawi wanapoanza kumtumikisha mtu ktk uchawi wanaanzaga na ndoto kisha ndo wanakuja kukudhihirisha moja kwa moja.
TAFSIRI YA PILI
-Tafsiri ya pili ya hii ndoto yaweza kuwa kwamba kuna sehemu mtu wako wa karibu atafanya jambo ila wewe ndo utahusishwa kama mtendaji wa hilo kosa.
Kuwa makini!
actually ndoto huwa zinamaana,...kwasisi wafuasi wa Kristo tunaamini ukipata ndoto unamuomba Mungu akupe mafunuo,..exactly iko hivyo na kumuomba MUNGU Pia akufunulie maana,..maana kwahiyio ndoto uliyoipata inaaana kabisa,...kwa ushauri zaidi Kama upo serious na Mungu,..piga goti omba,..la hasha hujiamini nenda kwa kiongozi wako wa kanisa mueleze najua atakusaidia tu coz wachungaji ndio waunganishi wetu na mambo ya kiroho,....,na atakusaidia kumuomba Mungu ili ifunuliwe,..na pia inabidi uchukue hatua haraka coz kma ibilisi kapanga kuku attack ukichelewa ndo unampa mda zaidi wa kukuattack,..,..save yo life,..inaonyesha shetani anakuwinda na adui wako anaeza kuwa ni wanyumbani mwako,..bt amnot sure,...iko hivyo mkuuuuChristian