actually ndoto huwa zinamaana,...kwasisi wafuasi wa Kristo tunaamini ukipata ndoto unamuomba Mungu akupe mafunuo,..exactly iko hivyo na kumuomba MUNGU Pia akufunulie maana,..maana kwahiyio ndoto uliyoipata inaaana kabisa,...kwa ushauri zaidi Kama upo serious na Mungu,..piga goti omba,..la hasha hujiamini nenda kwa kiongozi wako wa kanisa mueleze najua atakusaidia tu coz wachungaji ndio waunganishi wetu na mambo ya kiroho,....,na atakusaidia kumuomba Mungu ili ifunuliwe,..na pia inabidi uchukue hatua haraka coz kma ibilisi kapanga kuku attack ukichelewa ndo unampa mda zaidi wa kukuattack,..,..save yo life,..inaonyesha shetani anakuwinda na adui wako anaeza kuwa ni wanyumbani mwako,..bt amnot sure,...iko hivyo mkuuuu