Msaada: Tangazo la scholarship za China 2015/16 kutoka Wizara ya Elimu

Msaada: Tangazo la scholarship za China 2015/16 kutoka Wizara ya Elimu

Habari.

Naomba mwenye Tangazo tajwa hapo juu lililotoka kwenye magazeti siku ya Jumatano(hii/wiki iliyopita sina hakika sana) atuwekee hapa kwa faida ya wengine!

Website ya wizara ipo katika matengenezo kwa hiyo ni ngumu kulipata online.

Asante




Mimi pia nahitaji kuluona hilo tangazo kama limetoka maana numekua nikilifuatilia naambiwa bado. Mwenye taarifa atuweke hapa tafadhalini
 
Tangazo lilitoka kwenye gazeti gani? Maana magazeti yote nnayo lkn hamna habari hiyo.Ni tetesi tu hiyo.
 
Tangazo likitoka basi wakuu tuwekeeni hapa.
 
Tangazo limeshatoka nendeni wizara ya elimu mtalikuta. Alafu mtubandikie hapa maana wengine tuko mikoani. Website yao bado iko down.
 
xiexie ni xiang huiqu Zhongguo ma?

Jaribu kupita kwa website ya China Scholarships...
 
Last edited by a moderator:
Tangazo kweli nimeambiwa limeshatoka lipo kwenye mbao za matangazo wizara ya elimu. Website yao ipo down hivo mwenye kuweza kufika pale wizarani tafadhali atusaidie alibandke hapa.
 
Tangazo lilitoka kwenye gazeti gani? Maana magazeti yote nnayo lkn hamna habari hiyo.Ni tetesi tu hiyo.

Sio tetesi mkuu ni kweli tangazo lilitoka na mimi nimelishuhudia kwenye gazeti la Mwananchi la tarehe 6 Feb if am not mistaken
 
Tangazo lilitoka kwenye gazeti gani? Maana magazeti yote nnayo lkn hamna habari hiyo.Ni tetesi tu hiyo.
Lilitoka kwenye Mwananchi ya wiki iliyopita. Nililiona ila nimemisplace gazeti lenyewe.

Tangazo lilitaka waombaji waombe online kwenye website hii http://laihua.csc.edu.cn. Ukiingia humo utakutana na program nyingi lakini wao walitangaza scholaship za Masters na PhD kwenye Agriculture, Medicine, Nursing, Pharmacy, Engineering (sikumbuki specialization) na Rural Development.

Ila kwenye hiyo website unaweza kuomba scholarships kutoka Vyuo hadi vitano hasa kwenye MBA, International Relations, Public Administration, Educational Management n.k

Kama kuna mtu ana swali zaidi aulize hapa
 
Nimeliona hilo gazeti ni la tarehe 4/2/2015..Field of study;Pediatrics,Nursing, ICT,Electronic Engineering, Mechanical,Environmental Science,Pharmacy,Medicine, rural Development,Agriculture, Oil and Gas for Masters degree.
Qualifications; Age below 35 and GPA of not less than 3.5 at Undergraduate.

Apply online Study In China or Study In China

Submit 2 hard copies of application forms to Permanent Secretary Moe

Not later than 4th March 2015
 
Mwihadisa

Mkuu asante kwa infor. Ila hio stage ya online hua ni ya pili ukishakua umechaguliwa na wizara. Kama umeingia ukacheki hio website kuna sehem kabisa ya kwanza unatakiwa kujaza Nominating agency number ambayo kwa case hii ni number wanayo wizara hua wanatoa kwa wale waliowapendekeza wao.

Kwa navojua mimi kwa sasa unatakiwa kuandika barua tu ya maombi pamoja na vyeti vyako then watachagua watu hao ndio watakaoomba ile online.

Hio naongea from experience na baada yakuona hilo tangazo. Ila nashauri kama kuna mtu yupo dar aende wizarani akaukizie vizuri tupate uhakika zaidi maana hicho nachosema ndio hua utaratibu wa miaka yote.
 
Last edited by a moderator:
Follow scholarshipposition.com then register email yako hapo utapata updates zote!!!
 
Mwihadisa

Mkuu application form inapatikana vipi..ntacheki ofisi za mwananchi kama naeza pata hilo gazeti
 
Last edited by a moderator:
Mkuu application form inapatikana vipi..ntacheki ofisi za mwananchi kama naeza pata hilo gazeti
Tangazo linasema...Recommended candidates are required personally to conduct online applications. Utaingia kwenye links zilizopo hapo juu. Maana yake lazima uwe recommended na Wizara.

Hope nimefafanua kidogo
 
Back
Top Bottom