kuna maswali mengi ya kujiuliza hapa,je kabla ya kufa baba hakuandika wosia?(dying intestate),kama Luna wosia je ni halali?(validity of will),kama hakukua na wosia kabisa je marehemu alifata itikadi gani/life style kati ya kimila,kiislam,kikristo or hakuna kabisa? he hakuna mnufaika au mtu yeyote aliyeomba usimamizi was mirathi? na je mzee wakat anakufa alifia wapi(jurisdictional purpose),mwisho je hakuacha madeni yoyote na iwapo aliacha ukiteuliwa kunufaika kama mrithi utakua tiyari kulipa madeni endapo madeni yatazid thamani ya Mali iloachwa(estate), hayo in baadhi tu,kikazi zaid tutafutane