kintakunte
Member
- Apr 21, 2012
- 42
- 8
Mimi ni kijana wa familia, nina dada wawili baba yetu alipofariki aliacha urithi wa nyumba mbili na shamba la viwanja vidogo kama sita ukigawa) nje kidogo ya Dar es Salaam nafanyia kazi mikoani na siishi Dar ila dada zangu wamezaa hawajaolewa wanaishi nyumbani ndani ya hilo shamba kubwa na mama yangu mzazi.
Naomba utaratibu wa kisheria wa kugawana maana kila ninapozungumzia vita huanza baina yao na mimi nahitaji nijenge japo nyumba kati ya kiwanja cha mgao.
Naomba utaratibu wa kisheria wa kugawana maana kila ninapozungumzia vita huanza baina yao na mimi nahitaji nijenge japo nyumba kati ya kiwanja cha mgao.