KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,816
Sijui kwanini hujampeleka hospitali mpaka sasa.Nina mpenzi wangu hii ni siku ya saba bleed haijaacha, na tumbo linamuuma sana likiambatana na homa mpaka namuonea huruma
Kuna dawa niliulizia nikampa ila haikuleta mafanikio yoyote yale msaada wenu wajuzi
Daktari wa wanawake hawapatikani mida ya jioni
Ndo hiyo hamna daktari wa kike mida hiiHamna hospital iliyokaribu na wewe mkuu
Yuko mitaa ya mbeziHamna hospital iliyokaribu na wewe mkuu
Kinachomsumbua sana ni tumbo mkuuSijui kwanini hujampeleka hospitali mpaka sasa.
Jaribu kuhakikisha joto la mwili (homa) iko chini kwa kumpa dawa za kushusha homa, wakati ukisubiria kukuche umpeleke hospitali.
Inawezekana alikuwa mjamzito sasa imeharibika na hakujua hilo.
Muhimu umepeleke kwa wataalam.
Kiaje mkuuFamily planning sio
Mbezi ipi. .mbona hospitali Za 24hrs zimejaa DSMYuko mitaa ya mbezi
Huwezi kupata majibu hapa bila vipimo huu muda uko unaulizia hapa ungejitahidi kutafuta hospitali, sababu anapoteza damu na hatuna uhakika ni damu ya period au ana internal bleeding.Kinachomsumbua sana ni tumbo mkuu
Tatizo ni madaktari wa wanawake hutoka mapemaMbezi ipi. .mbona hospitali za 24hrs zimejaa DSM
Fanya uwahi asubuhi basi.Tatizo ni madaktar wa wanawake hutoka mapema
YeahFanya uwahi asubuhi basi.
Painkillers kupunguza maumivu siwezi kusema nyingine maana sijui tatizoYeah
Ila nilkuwa nataka kama kuna wanaojua dawa nimpe kama first aid
Wakiweka njiti kuna uwezekano wakableed sana au wasibleed kabisa...Kiaje mkuu
Mwambie abuye jivu ama achukue jivu kijiko kimoja akoroge kwenye maji anyweNina mpenzi wangu hii ni siku ya saba bleed haijaacha, na tumbo linamuuma sana likiambatana na homa mpaka namuonea huruma
Kuna dawa niliulizia nikampa ila haikuleta mafanikio yoyote yale
Msaada wenu wajuzi
Daktari wa wanawake hawapatikani mida ya jioni
Asante mamyPainkillers kupunguza maumivu siwezi kusema nyingine maana sijui tatizo