hmaloh Senior Member Joined Nov 22, 2018 Posts 162 Reaction score 314 Sep 2, 2024 Thread starter #161 Thanks guys nashukuru kwa michango yenu ya ushauri jamaa yangu alipata solution na hivi sasa yupo fresh kabisa
Thanks guys nashukuru kwa michango yenu ya ushauri jamaa yangu alipata solution na hivi sasa yupo fresh kabisa
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 32,603 Reaction score 62,269 Sep 2, 2024 #162 Vincenzo Jr said: Usicheke jamaa kapata choo kigumu kimechuna rectum aisee inabidi aloweke makalio na deto siku mbili tu anapona inabidi aanze kula Dona na matunda matunda Click to expand... Huko kuloweka inabidi umwambie ahakikishe maji yanapenya kwny mlango wa choo....
Vincenzo Jr said: Usicheke jamaa kapata choo kigumu kimechuna rectum aisee inabidi aloweke makalio na deto siku mbili tu anapona inabidi aanze kula Dona na matunda matunda Click to expand... Huko kuloweka inabidi umwambie ahakikishe maji yanapenya kwny mlango wa choo....
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 24,262 Reaction score 58,728 Sep 2, 2024 #163 Kalpana said: Huko kuloweka inabidi umwambie ahakikishe maji yanapenya kwny mlango wa choo.... Click to expand... Yeah nilishamuelekeza πππππ€£
Kalpana said: Huko kuloweka inabidi umwambie ahakikishe maji yanapenya kwny mlango wa choo.... Click to expand... Yeah nilishamuelekeza πππππ€£