Msaada: Tatizo la kutokwa na damu wakati wa haja kubwa

Msaada: Tatizo la kutokwa na damu wakati wa haja kubwa

Kuna Mahala Amesema Kuwa Choo kwa sasa Kipo vizuri Ila bado anapata The same symptoms..
So nafikiri tyari kashapata Complication ambayo imesababisha Condition aliyonayo
labda nipitie hapa tena kumuuliza condition inaendelea kua worse au kuna improvement. maana kama hari inaendelea kua nzuri atapona tu hamna haja ya kuanza kumtaftia maradhi ambayo ata daw zake pia n za mchongo. hata hio hope inatosha
 
labda nipitie hapa tena kumuuliza condition inaendelea kua worse au kuna improvement. maana kama hari inaendelea kua nzuri atapona tu hamna haja ya kuanza kumtaftia maradhi ambayo ata daw zake pia n za mchongo. hata hio hope inatosha
Mkuu Kuna maradhi hayaponi kwa kuyaacha yaendelee kuwepo..

Samahani kidogo wewe Ni daktari??

Kwamba kama Itakuwa Ni Bawasiri basi itapona kwa kuwa Hana tena Consitapation??

Kama Ni crohn Disease itapona kwa sababu hana Tena Constipation?

Kama Kapata Anal Stenosiss bhasi Itapona kwa sababu Constipation haipo Tena ??

Kama anal Saratani Itapona kwa sababu Constipation haipp tena?

Cha msingi Ndugu yetu aende Hospitali apate uchunguzi na Apatiwe matibabu stahiki

Natamani Kuamini kwamba Unatania na haukuwa Serious..
 
Kama hujapata hili tatizo huwezi elewe stress zake.

Chukua hii kutoka kwangu maana na mimi nilipataga shida hiyo na niliweza kuchomoka

Kwa jinsi ulivyoelezea inaonyesha dhahiri huyo ana tatizo la constipation ambayo ilipelekea kuwa na anal fissues ambayo hupelekeaa anakuwa na blood spots kwenye choo chake..Hzo damu hutokana na eneo la haja kubwa kuwa kavu so anapopitisha choo kigumu huwa kama kuna chanika na kuacha tear ambayo humpa maumivu.

Before hajaanz kujitibu ni lazima ajue nini kilimfanya mpka kuwa na hicho choo kigumu.Binafsi nilipopatwa na hiyo kadhia nilibaini mambo matatu. Kwanza nilikuw sinywi maji mengi ukizingatia naishi sehemu za joto. Cha pili nilichobaini ni kuwa ninapokunywa chai ya maziwa au maziwa kw ujumla inanifanya kuwa na chok kigumu. Cha tatu na cha mwisho kuna dawa za maumivu ambazo nikitumia pia hunipa choo kigumu..remember ilinichukua muda mpk kubaini hivi vitu.

So nilijitibuje..

Nikiri nilitumia dawa nyingi za hovyo ambazo hazikunipa manufaa..Nashkuru nilienda Phamacy moja hv bahati nzuri nilimkuta mshikaj na aka recommend nitumie hz dawa.

1. CASTOR OIL. Hii utakunywa asubh n jion. Kijiko kimoja tu. Ni dawa flan hv inakereketa kwnye mdomo so unawez tanguliza kiasali kidg kwnye kijiko then ukaiweka kw juu ukanywa.

2. ENEMAX. Ni maji flan hivi utakuwa unaweka huko chini. Kila baada ya kujisaidia haja kubwa

3. Mupirocin Ointment. Kama una tear kwnye anus ambayo inakuachia maumivu utatumia hii utapaka hyo sehemu ya tear then hyo tear itafunga

Nilifanya hivi nikapona within a weak

Kingine kula sana matunda..Punguza vyakula vya wanga..Na kunywa sana maji mengi ata least lita 3 kila siku.
Ahsante mkuu kwa ushauri
 
Mkuu Kuna maradhi hayaponi kwa kuyaacha yaendelee kuwepo..

Samahani kidogo wewe Ni daktari??

Kwamba kama Itakuwa Ni Bawasiri basi itapona kwa kuwa Hana tena Consitapation??

Kama Ni crohn Disease itapona kwa sababu hana Tena Constipation?

Kama Kapata Anal Stenosiss bhasi Itapona kwa sababu Constipation haipo Tena ??

Kama anal Saratani Itapona kwa sababu Constipation haipp tena?

Cha msingi Ndugu yetu aende Hospitali apate uchunguzi na Apatiwe matibabu stahiki

Natamani Kuamini kwamba Unatania na haukuwa Serious..
Chief angalia na jina la mjumbe anajiita autocare kama una D mbili utajua ni wale wa dawa za bf suma na wengine kama hao wanajua kila tatizo la gastrointestinal ni bawasili tu 😂😂 na pud hamna kingine wanajua
Naomba msamehe Bure sio yeye ni google na chat gpt zinawadanganya 😂😂
 
Mkuu Kuna maradhi hayaponi kwa kuyaacha yaendelee kuwepo..

Samahani kidogo wewe Ni daktari??

Kwamba kama Itakuwa Ni Bawasiri basi itapona kwa kuwa Hana tena Consitapation??

Kama Ni crohn Disease itapona kwa sababu hana Tena Constipation?

Kama Kapata Anal Stenosiss bhasi Itapona kwa sababu Constipation haipo Tena ??

Kama anal Saratani Itapona kwa sababu Constipation haipp tena?

Natamani Kuamini kwamba Unatania na haukuwa Serious..
mimi ni Doctor ambae sabab moja wapo ya kusomea udactari ni utoaji wa dawa hovyo kutibu symptoms kitu ambacho kimeharibu utoto wangu wote nimekulia hospital. ndio maana nikataka atoe maelezo vizuri, kabla watu hawajaanza kumbambikia magonjwa na kulishwa vitu vya ajabu na kwasabab anashda na huduma hospital za kibongo nahisi unazijua anaweza fuata ushauri wowote kwa kigezo cha kupona.

magonjwa mengi ulio taja yanastory ndefu sana nyuma yake cjui kama umemuuliza hizo story ili kua na kigezo cha kua nayo. story tulionayo alikua na constipation amepona bado haja inatoka na damu. condition inaendelea kua worse kila cku cjui, hapo ndio tuanze sa kuongea

Nivizuri tukisema aongee baada ya vipimo madactari walisemaj sio kutaka kujua kama mimi ni dactari au laa maana hata ninao watibu wengi ninawazidi shida za kiafya nilizonazo.
 
Chief angalia na jina la mjumbe anajiita autocare kama una D mbili utajua ni wale wa dawa za bf suma na wengine kama hao wanajua kila tatizo la gastrointestinal ni bawasili tu 😂😂 na pud hamna kingine wanajua
Naomba msamehe Bure sio yeye ni google na chat gpt zinawadanganya 😂😂
nina profession mbili engineering na doctor baada ya kupata brain fracture zote zikawa ruined at once uctake kujua zaidi tumekutania JF
 
Ni anal fissure hiyo mwambie ameze dawa hizi bisacodyl mg 5 viwili wiki mbili mfululizi Kila siku usiku na awe anakunywa maji mengi na aununue deto ya maji aloweke makalio kwenye maji ya uvugu vugu ili kidonda kipone Cc ephen_
Umemaliza kilakitu,ilinitokea hii nikatumia bisacodyl,nijatumia,nikawa nakula mapapai,maji mengi... ikaisha... Inatesa sana
 
mimi ni Doctor ambae sabab moja wapo ya kusomea udactari ni utoaji wa dawa hovyo kutibu symptoms kitu ambacho kimeharibu utoto wangu wote nimekulia hospital. ndio maana nikataka atoe maelezo vizuri, kabla watu hawajaanza kumbambikia magonjwa na kulishwa vitu vya ajabu na kwasabab anashda na huduma hospital za kibongo nahisi unazijua anaweza fuata ushauri wowote kwa kigezo cha kupona.

magonjwa mengi ulio taja yanastory ndefu sana nyuma yake cjui kama umemuuliza hizo story ili kua na kigezo cha kua nayo. story tulionayo alikua na constipation amepona bado haja inatoka na damu. condition inaendelea kua worse kila cku cjui, hapo ndio tuanze sa kuongea

Nivizuri tukisema aongee baada ya vipimo madactari walisemaj sio kutaka kujua kama mimi ni dactari au laa maana hata ninao watibu wengi ninawazidi shida za kiafya nilizonazo.
This life is so confusing 🙌🙌
 
mimi ni Doctor ambae sabab moja wapo ya kusomea udactari ni utoaji wa dawa hovyo kutibu symptoms kitu ambacho kimeharibu utoto wangu wote nimekulia hospital. ndio maana nikataka atoe maelezo vizuri, kabla watu hawajaanza kumbambikia magonjwa na kulishwa vitu vya ajabu na kwasabab anashda na huduma hospital za kibongo nahisi unazijua anaweza fuata ushauri wowote kwa kigezo cha kupona.

magonjwa mengi ulio taja yanastory ndefu sana nyuma yake cjui kama umemuuliza hizo story ili kua na kigezo cha kua nayo. story tulionayo alikua na constipation amepona bado haja inatoka na damu. condition inaendelea kua worse kila cku cjui, hapo ndio tuanze sa kuongea

Nivizuri tukisema aongee baada ya vipimo madactari walisemaj sio kutaka kujua kama mimi ni dactari au laa maana hata ninao watibu wengi ninawazidi shida za kiafya nilizonazo.
Mkuu Unahabari Kwamba Kuna Baadhi Ya Magonjea Yanaweza Kuinduce Constipation??
Yaani Hysteric Constipation??

Kwa mfano mtu ana Anal Fissure au Anapata Maumivu makali wakati wa Haja huoni kama Lazma Constipation itakuja Automatically hata kama anafata sheria zote?

Kwasababu anaweza Kupata Feacal Impaction na Hata Feacal retention kwa Hofu ya Kuumia aendapo Haja??
 
Umemaliza kilakitu,ilinitokea hii nikatumia bisacodyl,nijatumia,nikawa nakula mapapai,maji mengi... ikaisha... Inatesa sana
Na vp kama kwa sasa hana constipation hiyo basocodyl itamsaidia?
 
Brain fracture ni kitu gan😂 enhe kwa hyo ukifanyiwa brainiotomy au 😂😂
Hii Dunia hii 😂🙌🙌
Is it Brain Fracture Possible au Skull fracture!
Samahani Kidogo kwa kuuliza Maana I'M not Orthopedics mimi Ni Paediatrician Tu..
🥺🥺🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom