Copro mtego
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 619
- 796
Nimehoji ukasema gazeti kulipitia hilo gazet ukaona mawenge unaona misamiati mipya tu 😂 basi prove kwamba nimekosea kipi pale hauweziSchizophrenia hiyo Mkuu ubishi tu kuhoji aaanh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimehoji ukasema gazeti kulipitia hilo gazet ukaona mawenge unaona misamiati mipya tu 😂 basi prove kwamba nimekosea kipi pale hauweziSchizophrenia hiyo Mkuu ubishi tu kuhoji aaanh
Mkuu nitakutafutia dawa zako za kumeza umeanza kuonesha chukiSasa hapo shida inakuja mtu hajatoa details za kutosha halafu mtu anakuja ame confirm diagnosis moja kwa moja na anamuandikia dawa kabisa 😂
Hawaulizi hata swali la nyongeza 😂
Wewe hoja yangu uliiikataa nimekataa yako roho Ina kuuuma kama sio Schizophrenia inakusumbuaNimehoji ukasema gazeti kulipitia hilo gazet ukaona mawenge unaona misamiati mipya tu 😂 basi prove kwamba nimekosea kipi pale hauwezi
Nikuchukie kisa nn shule huna sasa professionalism zero sasa una nn cha kuchukiwaMkuu nitakutafutia dawa zako za kumeza umeanza kuonesha chuki
Umeona unaandika pumba SchizophreniaNikuchukie kisa nn shule huna sasa professionalism zero sasa una nn cha kuchukiwa
Umepinga hoja yangu ipi mbna sijaona ulichopingaWewe hoja yangu uliiikataa nimekataa yako roho Ina kuuuma kama sio Schizophrenia inakusumbua
Duh Hatari sana Hii!😳😳Kwa maelezo ya muhusika anasema damu inatoka ya kawaida (nyekundu) na choo iwe kigumu ama kilaini shida Iko palepale na baada ya kujisaidia maumivu yanaanza papo hapo hata kukaa inakuwa shida baada ya muda kupita hali inatulia ila ndio hivyo tena boksa inakuwa imechafuka mno kama Binti aliyeingia period (hedhi)
amoeba nimeugua pia na ilikua critical na typhoid hukohuko hamna dalili hizo, mwambie aongee dalili zingine atasaidikaHabari za usiku Wanajamvi,bila yakupoteza muda ndugu zangu nimuda sasa jamaa yangu anasumbuliwa na tatizo lakutokwa na damu Kila akienda kujisaidia haja kubwa.
Tumejaribu kumuuliza ndugu yetu fulani akasema hao ni ameoba so tunaomba na nyinyi msaada wenu I know kuna wataalamu humu.Naomba kuwasilisha.🙏🙏🙏
Leta shule Yako hyposhulemic mkubwa ww 😂😂Umeona unaandika pumba Schizophrenia
Hapo kwenye anal fissure naunga mkono hoja japo Kuna Schizophrenia mmoja anabisha hapaDuh Hatari sana Hii!😳😳
Na Mmerelax Nyumbani?
Fanya haraka Ikiwezekana Mshauri au Mpeleke Hospitali akachunguzwe Pamoja na Kutibiwa ni Htari sana..
Hiyo haiwezi kuwa Amoeba Moja kwa moja ila Inaweza kuwa Maradhi mengine Ikiwemo Bawasiri au Saratani ya Colon au Uvimbe (Polyp),au Anal Fissure ...
Duh wahi sana Hospitali maana kadri unavyodelay Tatizo linazidi Kuongezeka..
Usichukulie Utani, Mkuu!
Kama walimu wako wa sayansi walikufundisha hivi wamepata hasara sana hyposhulemic Schizophrenia hivi dawa zako unaanza kunywa saa ngapiLeta shule Yako hyposhulemic mkubwa ww 😂😂
Inaweza Ikawa Pia Anal fissure..Hapo kwenye anal fissure naunga mkono hoja japo Kuna Schizophrenia mmoja anabisha hapa
Tupe distinctive feature of anal fissure mzeeHapo kwenye anal fissure naunga mkono hoja japo Kuna Schizophrenia mmoja anabisha hapa
Hadi MimiInaweza Ikawa Pia Anal fissure..
Maaana Hiyo kuvuja Damu kama Hedhi inanitatiza sana
Nilisema kuwa Kama unajijua huna akili timamu usiquote hoja zangu.Tupe distinctive feature of anal fissure mzee
Mm sijapinga potential diagnosis ila nilichokataa ni kufanya conclusion hapo unampoteza mgonjwa
Yeah inawezekana lakn kumbka alisema sometimes hapati maumivu wakati wa kujisaidia inakuwa vigum ku relay na hiyo diagnosisInaweza Ikawa Pia Anal fissure..
Maaana Hiyo kuvuja Damu kama Hedhi inanitatiza sana
Sasa unashindwa kujibu kitaalam unaleta matusi basi Tunga matusi mapya maana hayo hayaniingii nishayazoeaNilisema kuwa Kama unajijua huna akili timamu usiquote hoja zangu.
Hadi Mimi
hata kama ni anal fissure hio ni results sa shida nini hadi apate anal fissure. constipation au chronic diarrhea, bado hajasema vizur labda atujibu hmalohInaweza Ikawa Pia Anal fissure..
Maaana Hiyo kuvuja Damu kama Hedhi inanitatiza sana
Umeona mjumbe mmoja alitoa potential diagnosis Zaid ya moja na anal fissure ikiwemo sio kwamba ni conclusion uwe unaelewaHapo kwenye anal fissure naunga mkono hoja japo Kuna Schizophrenia mmoja anabisha hapa
Si ujibu maswali umekariri kitu kimoja huna hata mashiko yakeNilisema kuwa Kama unajijua huna akili timamu usiquote hoja zangu.