Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Mbavu zangu mie😂
Ulivyokazana kuloweka makalio😏Usicheke jamaa kapata choo kigumu kimechuna rectum aisee inabidi aloweke makalio na deto siku mbili tu anapona inabidi aanze kula Dona na matunda matunda
Au Kuna neno amelitafuta amekosa. Alimaanisha kuyakalia maji kama kwenye beseni? Itakua? 😥Halafu anamwambia mwanaume😂
Unakaa kwenye beseni lenye maji ya uvugu vugu unaweka na deto ya maji na unakula matunda mengi ili kupata choo laini na anywe dawa ya bisacodyl anapona ndani ya siku mbili tuVin ma frend, kuloweka makalio ndo ipi?
Aharakishe ili apate majibu ya kitaalamu, ni vigumu kumpima mtu kwa maneno.No hajaenda
Asubuhi na jioni mkuu kalia kwenye beseni na deto ya maji wekaHuko kuloweka makalio nikwamuda gani mkuu namaanisha kutwa mara ngapi na kwasiku ngapi?
AstaghafirullahPicha ya eneo la tukio tafadhali
Ufundishaji wako ni zero . We kuweza kuloweka makalio?
Zul Jalali wal-IkramAstaghafirullah
Kujisaidia choo chenye damu ndo hematemesis kweli?Hematemesis aende hospital
Sijui nani amemletea ugumu😄anapata choo kigumu?
Ukiumwa huu ugonjwa mbona utaloweka tu kwenye beseni 😂😁😁Ufundishaji wako ni zero . We kuweza kuloweka makalio?
Acha kwenda kinyume na mjadala una haribu Uzi mkuuSijui nani amemletea ugumu😄
What if ni colorectal cancer?Ni anal fissure hiyo mwambie ameze dawa hizi bisacodyl mg 5 viwili wiki mbili mfululizi Kila siku usiku na awe anakunywa maji mengi na aununue deto ya maji aloweke makalio kwenye maji ya uvugu vugu ili kidonda kipone Cc ephen_