Copro mtego
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 619
- 796
Umelisoma kwanza au umeona maneno ambayo hujawahi kuskia😂Unaandika gazeti refu mkuu kwanini roho ikuume Cc ephen_
Okay jibu hata hoja mojawapo bas tuone nan anajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umelisoma kwanza au umeona maneno ambayo hujawahi kuskia😂Unaandika gazeti refu mkuu kwanini roho ikuume Cc ephen_
Yeah ila ww una paranoid percecutory delusions 😂😂😂Una mental case
Hauna unachojua nduguUmelisoma kwanza au umeona maneno ambayo hujawahi kuskia😂
Okay jibu hata hoja mojawapo bas tuone nan anajua
Wewe ndugu yangu una Schizophrenia Cc ephen_Yeah ila ww una paranoid percecutory delusions 😂😂😂
Uko serious Mkuu..?Hematemesis aende hospital
Kuna maswali mengi sana na yanahitaji Uchunguzi..
Sasa hapa ndo amepatikana mtaalamu sio hawa wa googleKuna maswali mengi sana na yanahitaji Uchunguzi..
Kuna Nyama Zimeota huko Chini??
Damu inakuwaje? Je Ni Nyeusi Na ina malenda malenda (Melena)? Je Ni nyekundu kama Damu ya kawaida? Au ni Pinki??
Damu zinaambatana na Constipation au Choo Kigumu?
Damu zinaambatana na maumivu ya Tumbo au Sehemu ya Haja kubwa?
Au ni painless?
Damu ni nyingi kwa kiasi gani?
Maswali hayo yatatupa Mwanga kujua Tatizo liko sehemu Gani kama ni Uper GI (tumbo la juu) au Tumbo la Chini (Lowe GI) au Kujua aina ya Tatizo ..
Shukrani
CC hmaloh
Ongezea with severe featuresWewe ndugu yangu una Schizophrenia Cc ephen_
Kama unajijua huna akili timamu usiquote hoja zangu. Cc ephen_Ongezea with severe features
Maana naona ww una schizoaffective disorder
Okay sijui kitu pangua hoja mojawapo hapo tushindanishe shule zetuHauna unachojua ndugu
Mbona Ni madaktari na Wanajua, 😅Sasa hapa ndo amepatikana mtaalamu sio hawa wa google
Mkuu naomba unisaidie huku watu wa chat gpt wanataka kunimaliza
Kwa maelezo ya muhusika anasema damu inatoka ya kawaida (nyekundu) na choo iwe kigumu ama kilaini shida Iko palepale na baada ya kujisaidia maumivu yanaanza papo hapo hata kukaa inakuwa shida baada ya muda kupita hali inatulia ila ndio hivyo tena boksa inakuwa imechafuka mno kama Binti aliyeingia period (hedhi)Kuna maswali mengi sana na yanahitaji Uchunguzi..
Kuna Nyama Zimeota huko Chini??
Damu inakuwaje? Je Ni Nyeusi Na ina malenda malenda (Melena)? Je Ni nyekundu kama Damu ya kawaida? Au ni Pinki??
Damu zinaambatana na Constipation au Choo Kigumu?
Damu zinaambatana na maumivu ya Tumbo au Sehemu ya Haja kubwa?
Au ni painless?
Damu ni nyingi kwa kiasi gani?
Maswali hayo yatatupa Mwanga kujua Tatizo liko sehemu Gani kama ni Uper GI (tumbo la juu) au Tumbo la Chini (Lowe GI) au Kujua aina ya Tatizo ..
Shukrani
CC hmaloh
Schizophrenia hiyo Mkuu ubishi tu kuhoji aaanhOkay sijui kitu pangua hoja mojawapo hapo tushindanishe shule zetu
Sasa hapo shida inakuja mtu hajatoa details za kutosha halafu mtu anakuja ame confirm diagnosis moja kwa moja na anamuandikia dawa kabisa 😂Mbona Ni madaktari na Wanajua, 😅
Sema tu Mgonjwa Ameficha Baadhi ya Features
Kwa uoga au Kwa kuhisi Atadhalilika, kwahyo ukiwa haraka haraka Unaweza ukadhani ni amoeba au ugonjwa Mwingine wa kawaida..
Ila ukisoma Vizuri unagundua Sio Tatizo la Muda Mfupi, Maana ni la Muda mrefu so Linahitaji Close Examination na Investigation..
Ulimpeleka hospital wanasema tatizo ? Hiyo ni hatari msiendelee kukaa nae home huyo Cc ephen_Kwa maelezo ya muhusika anasema damu inatoka ya kawaida (nyekundu) na choo iwe kigumu ama kilaini shida Iko palepale na baada ya kujisaidia maumivu yanaanza papo hapo hata kukaa inakuwa shida baada ya muda kupita hali inatulia ila ndio hivyo tena boksa inakuwa imechafuka mno kama Binti aliyeingia period (hedhi)
Mkuu nitakutafutia dawa zako za kumeza umeanza kuonesha chukiSasa hapo shida inakuja mtu hajatoa details za kutosha halafu mtu anakuja ame confirm diagnosis moja kwa moja na anamuandikia dawa kabisa 😂
Hawaulizi hata swali la nyongeza 😂