Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Jamaa yako eeh?
Mpe pole mkuu
Mpe pole mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna sababu nyingi zinazoweza kusababisha hii hali. Hapa ni vigumu kabisa kujua tatizo ni nini. Atalazimka kwenda hospital na kufanyiwa vipimo ili kujua.Habari za usiku Wanajamvi,bila yakupoteza muda ndugu zangu nimuda sasa jamaa yangu anasumbuliwa na tatizo lakutokwa na damu Kila akienda kujisaidia haja kubwa.
Tumejaribu kumuuliza ndugu yetu fulani akasema hao ni ameoba so tunaomba na nyinyi msaada wenu I know kuna wataalamu humu.Naomba kuwasilisha.🙏🙏🙏
Ilianza constipation kwa mujibu wa maelezo yakehata kama ni anal fissure hio ni results sa shida nini hadi apate anal fissure. constipation au chronic diarrhea, bado hajasema vizur labda atujibu hmaloh[/USE
[/QUOTE]
Yeah ni Kweli ila Moja ya Symp.. Ya Chronic Anal fissure ni Kuwashwa kwenye Haja kubwa..Yeah inawezekana lakn kumbka alisema sometimes hapati maumivu wakati wa kujisaidia inakuwa vigum ku relay na hiyo diagnosis
then ahangaike na hio constipation hayo mengine yataisha kama source ikitibika. deal done case closedIlianza constipation kwa mujibu wa maelezo yake
Samahani kidogo nimesahau Hivi huwa tunaanza Kutibu Complication Ndo tunakuja Causative au tunaanza Causative Tunafuata Complication...then ahangaike na hio constipation hayo mengine yataisha kama source ikitibika. deal done case closed
Ngoja mtu ambae hana akiki akupe shule sasaNilisema kuwa Kama unajijua huna akili timamu usiquote hoja zangu.
aongeze vyakula vyenye nyuzi nyuzi, kunywa maji mengi kwa siku na apunguze ulaji wa vyakula vyenye mafuta na sukari nyingi hadi apo constipation itakua imeisha baada ya mdaIlianza constipation kwa mujibu wa maelezo yake
mi naona causative ya constipation hua ni maisha yetu wenyewe ya hovyo na ndio tiba pia kuyaboreshaSamahani kidogo nimesahau Hivi huwa tunaanza Kutibu Complication Ndo tunakuja Causative au tunaanza Causative Tunafuata Complication...
Mimi nimesoma Zamani Mnisaidie..
Inategemea na clinical prentation ya mgonjwa yaani mtu ana hypotension due to anaphylactic shock ww unaanza kutafuta antihistamine kabla ya noradrenaline maana ake utakuta mtu ashafariki so cha msingi ni ku stabilize mgonjwa wakati unatafuta au unatibu tatizoSamahani kidogo nimesahau Hivi huwa tunaanza Kutibu Complication Ndo tunakuja Causative au tunaanza Causative Tunafuata Complication...
Mimi nimesoma Zamani Mnisaidie..
Ongeza na hizi..Ngoja mtu ambae hana akiki akupe shule sasa
Anal fissure results from cracking of anal membranes (kama ulikuwa hujui)
Mostly anal fissure is caused by hard stool, tightening or spasms of anal sphincter
Tunakuja kwenye distinctive feature of anal fissure
Painful egestion
Bleeding during egestion -hapo ndo pa kuwa makini sana maana damu itakuwa light red halafu inakuwa inatokea hadi mwisho akimaliza kujisaidia kama atatumia tissue kujisafisha dam itaonekana kwenye tissue
Hizi hasa ndo zinakuwa most distinctive feature zake pamoja na nyingine zinazosuppot ila kama mgonjwa hana hizi huwezi kusema ana anal fissure
NilishatoaTupe distinctive feature of anal fissure mzee
Mm sijapinga potential diagnosis ila nilichokataa ni kufanya conclusion hapo unampoteza mgonjwa
Mkuu mbona nilishaeleza Toka huko juu au soma 👇Ngoja mtu ambae hana akiki akupe shule sasa
Anal fissure results from cracking of anal membranes (kama ulikuwa hujui)
Mostly anal fissure is caused by hard stool, tightening or spasms of anal sphincter
Tunakuja kwenye distinctive feature of anal fissure
Painful egestion
Bleeding during egestion -hapo ndo pa kuwa makini sana maana damu itakuwa light red halafu inakuwa inatokea hadi mwisho akimaliza kujisaidia kama atatumia tissue kujisafisha dam itaonekana kwenye tissue
Hizi hasa ndo zinakuwa most distinctive feature zake pamoja na nyingine zinazosuppot ila kama mgonjwa hana hizi huwezi kusema ana anal fissure
Naunga mkono hojaOngeza na hizi..
- Maumivu yanakuwa Sharp sana..Maana kuna tifauti ya Maumivu ya Haemmorrhoids na Anal fissure..
- kuhisi Kuchoma choma kama Moto au Muwasho kipindi cha Kutoa haja
- Kwenye Damu inaweza ikawa Bright au Ikawa fresh
Hili Jibu ndo nilikuwa nalitaka Ili mwenzetu hapo juu akumbuke kitu..Inategemea na clinical prentation ya mgonjwa yaani mtu ana hypotension due to anaphylactic shock ww unaanza kutafuta antihistamine kabla ya noradrenaline maana ake utakuta mtu ashafariki so cha msingi ni ku stabilize mgonjwa wakati unatafuta au unatibu tatizo
Vema sana mtaalam ndo maana mm nikapendekeza anal fissure iwe kama differential diagnosis hadi pale itakapokuwa imethibitishwa au imepatikana diagnosis nyingineYeah ni Kweli ila Moja ya Symp.. Ya Chronic Anal fissure ni Kuwashwa kwenye Haja kubwa..
Ila kuna Post Moja hapo.Juu ameelezea Akiwa anatoa haja kubwa anapata maumivu hata kukaa anashindwa thats Cyclone pain..
Unajua Cyclone pain inaweza Kutupa DDx zipi kwa mtu mwenye Damu kwenye haja kubwa??
Kingine huo mzunguko wa Maumivu Muwasho maumivu Ni hatari sna..
Labda tuulize Risk factors Maybe zitatupeleka Kwenye Hizo dx na Ku R/O zingine..
Lengo ni kumsaidia Ndugu yetu awe sawa..
Huyu Itakuwa ni constipationhata kama ni anal fissure hio ni results sa shida nini hadi apate anal fissure. constipation au chronic diarrhea, bado hajasema vizur labda atujibu hmaloh
Kuna Mahala Amesema Kuwa Choo kwa sasa Kipo vizuri Ila bado anapata The same symptoms..mi naona causative ya constipation hua ni maisha yetu wenyewe ya hovyo na ndio tiba pia kuyaboresha