Copro mtego
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 619
- 796
Ukisikiliza watu mitandaon unapotea eti aloweke makalio ili yaive au 😂😂Mbavu zangu mie😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisikiliza watu mitandaon unapotea eti aloweke makalio ili yaive au 😂😂Mbavu zangu mie😂
Huenda ikawa kansa, bawasiri au madonda ya tumbo. Aende akapime
😄😄😄😭😭😭Usiombe upate tatizo la namna hiyo aje mtu na conclusion kuwa una kansa, pipo are bad sana!
Mwambie ale mboga za majaniYah kuna nyakati pia anapata choo kigumu il hata akipata choo laini tabu ipo palepale
Kansa damu inatoka fresh Mkuu hii Mimi niliambiwa na daktari wa agakhan nilipata shida hii hii nilipima Kila kitu nikaambia ni amoeba sio kansa nilikuwa nalia Kufa hadi nabebwa naenda kuchukua vipimo nalia na hata hapa jukwaani nililia kufa Cc ephen_What if ni colorectal cancer?
Mshauri aende hospital tu tiba haitilewi online
Mwambie afanye nilivyo kuelekeza hiyo ni anal fissure maumivu lazima mkuu Tena ni balaa sanaYaweza kuwa kwa maana kama ingekuwa bawasiri dalili zinajulikana ila yeye ni damu tu tena niwakati wakujisaidia haja kubwa alafu baada ya hapo hata kukaa kwake inakuwa nishida kwa7bu ya maumivu
Yes I know nothing ni sawa ila unajua etiology zote za mtu kupata nekena? Is it only amoebiasis?
Mzee nenda hospital acha kusikiliza madaktar wanao GoogleI got you 🙏
Una mental caseMzee nenda hospital acha kusikiliza madaktar wanao Google
Unaandika gazeti refu mkuu kwanini roho ikuume Cc ephen_Yes I know nothing ni sawa ila unajua etiology zote za mtu kupata nekena? Is it only amoebiasis?
Huja asses other symptoms hujafanya examination yoyote hamna any Lab investigation halafu unaandika dawa kwa kutumia hisia
Mzee usicheze na afya za watu nimeuliza what if its colorectal cancer au esophageal varices? Huoni kama unamtesa mgonjwa? Yaani hata aina ya damu anayopata kwenye choo hujauliza rangi yake au kama ina clots au ni flesh ww unatoa jibu la ugonjwa?
So what do you know hapo?
Enhe haya tuseme umepatia lakin mgonjwa kashapata anemia umemsaidia nn hapo?
Narudia mshauri mgonjwa aende hospital holela holela itakukost
duu ni hatariYah kuna nyakati pia anapata choo kigumu il hata akipata choo laini tabu ipo palepale