Msaada: Tatizo la kutokwa na damu wakati wa haja kubwa

Msaada: Tatizo la kutokwa na damu wakati wa haja kubwa

What if ni colorectal cancer?
Mshauri aende hospital tu tiba haitilewi online
Kansa damu inatoka fresh Mkuu hii Mimi niliambiwa na daktari wa agakhan nilipata shida hii hii nilipima Kila kitu nikaambia ni amoeba sio kansa nilikuwa nalia Kufa hadi nabebwa naenda kuchukua vipimo nalia na hata hapa jukwaani nililia kufa Cc ephen_
 
Yaweza kuwa kwa maana kama ingekuwa bawasiri dalili zinajulikana ila yeye ni damu tu tena niwakati wakujisaidia haja kubwa alafu baada ya hapo hata kukaa kwake inakuwa nishida kwa7bu ya maumivu
Mwambie afanye nilivyo kuelekeza hiyo ni anal fissure maumivu lazima mkuu Tena ni balaa sana
 
you know nothing Mkuu nimetoa elimu na nimerekebisha hapo juu kwa kiswahili fasaha akae kwenye beseni la maji ya uvugu vugu Cc ephen_ Fake P
Yes I know nothing ni sawa ila unajua etiology zote za mtu kupata nekena? Is it only amoebiasis?
Huja asses other symptoms hujafanya examination yoyote hamna any Lab investigation halafu unaandika dawa kwa kutumia hisia
Mzee usicheze na afya za watu nimeuliza what if its colorectal cancer au esophageal varices? Huoni kama unamtesa mgonjwa? Yaani hata aina ya damu anayopata kwenye choo hujauliza rangi yake au kama ina clots au ni flesh ww unatoa jibu la ugonjwa?
So what do you know hapo?
Enhe haya tuseme umepatia lakin mgonjwa kashapata anemia umemsaidia nn hapo?

Narudia mshauri mgonjwa aende hospital holela holela itakukost
 
Yes I know nothing ni sawa ila unajua etiology zote za mtu kupata nekena? Is it only amoebiasis?
Huja asses other symptoms hujafanya examination yoyote hamna any Lab investigation halafu unaandika dawa kwa kutumia hisia
Mzee usicheze na afya za watu nimeuliza what if its colorectal cancer au esophageal varices? Huoni kama unamtesa mgonjwa? Yaani hata aina ya damu anayopata kwenye choo hujauliza rangi yake au kama ina clots au ni flesh ww unatoa jibu la ugonjwa?
So what do you know hapo?
Enhe haya tuseme umepatia lakin mgonjwa kashapata anemia umemsaidia nn hapo?

Narudia mshauri mgonjwa aende hospital holela holela itakukost
Unaandika gazeti refu mkuu kwanini roho ikuume Cc ephen_
 
Back
Top Bottom