NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Nimepimwa macho nikapewa miwani nikaambiwa niivae muda wote.Tatizo nikivaa naona kizungu zungu marue rue badala ya kuona vitu mbele naona mawingu blurred images.Naomba msaada Opticians na Ophthalmologists