Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anyway pole sana mkuu,Wahi hospital .
Hapana sili nguruwe, sema ni msomaji mzuri. Huwa sipendi kutowa jibu au majibu yasi na uhakika, mtandao mbona upo waz, kinachosababisha kuwashwa huko ni minyoo na mnyoo mingi ipo kwenye nguruwe kkuliko kwengine kokote, sasa hata ukiitibu minyoo kama unaendelea kula nguruwe, mwasho lazima uendelee.Itakuwa ww ni mlaji mzuri wa 🐷🐷🐖
Umenichekesha, mi mkulima tuSawa daktari
Umeongea kiprofesheno, tena kwa msisitizoUmenichekesha, mi mkulima tu
Dawa za safuraHabari ndugu zangu!!
Ngoja niingie kwenye maada moja kwa moja, kwa muda sasa nimekuwa nikiwashwa sana sehem ya haja kubwa. Nimejaribu kutumia sabun tofaut lakn wapi, nmetumia dawa za minyoo nazo nkizan ni pinworms lakin bado tatizo halijaondoka, naomba mwenye kujua tiba sahihi ya tatizo hili aweze kunisaidia, na kusaidia wengine wenye tatizo kama hili.
Asanten Ndugu zangu, wote mtakao onyesha ushirikiano kwenye hili. [emoji120]
Kama ni mla nguruwe, wacha kula nguruwe.
Kama huli nguruwe bado unahitaji kuondowa minyoo mwilini, nenda hospitali. Kama unakula nguruwe hiyo minyoo haiishi kabisa, utamaliza mahospitali.
Ndio madaktari waliopo jf, waje kumpa mwongozo
Kukata gogo. Kama msumenoenhe, nakusikiliza
nitoe ushamba
Habari ndugu zangu!!
Ngoja niingie kwenye maada moja kwa moja, kwa muda sasa nimekuwa nikiwashwa sana sehem ya haja kubwa. Nimejaribu kutumia sabun tofaut lakn wapi, nmetumia dawa za minyoo nazo nkizan ni pinworms lakin bado tatizo halijaondoka, naomba mwenye kujua tiba sahihi ya tatizo hili aweze kunisaidia, na kusaidia wengine wenye tatizo kama hili.
Asanten Ndugu zangu, wote mtakao onyesha ushirikiano kwenye hili. [emoji120]