handsomezombie12
Member
- Jun 10, 2022
- 73
- 121
Huyo ndio mwenye majibu ya mapito yakoTayar mkuu nimeshampokea
Kuna pahali nataka nikuelekeze kwa mtumishi akuombee utapona hakika, huyo mtumishi sio wa mchongo yeye huombea watu kwa jina la Yesu na hufunguliwa kabisa
Kama upo Dar nijulishe tafadhali nikuelekeze
Kuna kanisa lipo Mbezi kwa msuguri kuna mtumishi hapo anaitwa bishop Manase, yaani ukiombewa na huyo mwamba hivyo vitu vyote vitembeavyo mwilini kwako vitakoma mara moja.Nipo dar nielekeze [emoji120] nitashukuru sana
Kumbe upo vizuri 👏👏Kwakuwa mnapenda uponyaji kuliko kumpenda anayeponya sasa mtageuzwa kuwa birika za kuwatajirisha manabii na mitume.
Vifungo, uchawi, laana na kila hila chafu za Ibilisi huisha pindi tu mtu anapojawa roho Mtakatifu.
Na hutaona hata siku moja nabii wa mchongo anawawekea mikono watu ili wajawe roho Mtakatifu
Kama hospitali tatizo halionekani basi itakuwa ni hayo maagano ya kiroho/mapepo/ulozi/ramli na vifungo mbalimbali vya kishirikina/kichawiNdo hapo sijajua sasa kama ni juju naponaje jmn nateseka sana
Vitu kutembea mwilini ni dalili ya uchawi unao mwilini mwako nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole mkuu.Habari zenu na pia heri ya Christmas jaman ndugu yenu nafunga mwaka vibaya naumwa vitu vinatembea mwilini na mwili unatikisika nitumie tiba gani nimehangaika hospital zote sioni tatizo
Nimeenda kwenye maombi lakini bado kwa anaejua tiba anisaidie nipone
Halafu ajabu ni kua watu wengine wanatibiwa wanapona na masheikh na wachumgaji lakini mimi siponi sijui shida ni nini.
Au miujiza inachagua jamani mbona sielewi
Shukran
aiseeehHapana sipati vichomi ni nyama za mwili zinatingishika kama tetemeko hivi
Tafuta tiba za kizungu kwanza huku ukimpa Mungu Maisha yako,
Pia ili maombi yako yafanikiwe unabidi kuwa mchaMungu wa kweli na sio Uzinzi , uchafu nk hapo hutoboi.
Cha kufanya kuwa Msafi wa Roho , nenda ufanye vipimo sahihi katika hosptali sahii (kubwa) na Mungu yupo Pamoja nawe utapata majibu ya maradhi yako .
Kuangaika kwa Manabii utaendelea kukuza tatizo tu
Mwili wote kasoro kichwani leo nimetoka kwenye maombi mwili unawaka moto lakini bado vitu vinatembea au miujiza inachagua watu
Nenda kwa Mwamposa
Hapana usikate tamaa na usiache kwenda kwenye maombi, endelea kwenda utakutana na uponyaji wako tu.Nimeshaenda lakini bado [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Kuna watu walinipeleka hadi kwa masheikh ambapo wao walipona matatizo yao lakini mimi ndo kwanza hali ipo vile vile
Miujiza inachagua watu jmn
Hapana usikate tamaa na usiache kwenda kwenye maombi, endelea kwenda utakutana na uponyaji wako tu.
Fuata kile utakachokuwa unaelekezwa na watumishi wa Mungu kwa umakini na epuka kuchanganya nuru na giza yaani kwenda kwenye maombi huku kwenye ushirikina upo (japo najua ukibanwa na shida utatafuta kila njia)..
Nakutakia uponyaji mwema na Mungu akukumbuke.
We ni mganga wa kienyeji?Vitu kutembea mwilini ni dalili ya uchawi unao mwilini mwako nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole mkuu.
Mkuu wewe umefanyiwa uchawi, na hao wachawi ukiendelea kuwachekea watakuweka msukule bure na hautakuja kufanikiwa wala kuwa na furaha maisha yako yote. Ushauri wangu wewe jiombee sana kwa M/Mungu lakini la muhimu tafuta tiba kwa njia yeyote(Kwa upande wangu tafuta masheikh wa kweli sio watoto wa mjini) maana kila jambo lina utaalamu wake usifikirie utaumwa jino ukaomba tu ukapona hilo halipo hata kwa hao wachamungu, ila muombe sana mungu akuponye kwa njia yeyote huku ukiwa unaendelea kujihangaikia kote kote.
That's allKumbe upo vizuri 👏👏
Umemaliza Kila kitu Sina Cha kuandika
That's all
Mafuta, keki, vitambaa au maji ya upako ni kama uganga tu maana Yesu hawezi kukaa kwenye mafuta milele na milele. Utaponywa tatizo hili kwa muda litakuja lingine utaenda tena utalishwa mpaka mende wa upako.
Hawa watu hawamtaki Mungu ila wanazitaka kazi za Mungu.