MSAADA: Tatizo la vitu kutembea mwilini


So walikuwa tayari kukuroga ili usitoe siri zao kwa mtu yoyote, lakini hapohapo wakawa tayari kumsimulia mtu mwingine picha halisi ya ilivyokuwa ili atumike kukushawishi ukubali tiba ya mganga?

Ukiwa ulikuwa ni mdogo na kwamba ulikuwa haujitambui wala kuwa na ufahamu wakati huo, ni nani aliyekusimulia?

Twende taratibu tu.
 
Usisaha hili ni muhimu Sana sanaaaa ambalo ni sadaka sadaka sadaka sadaka......

Usikubali kufanya maombi yoyote bila kuambatanisha na sadaka kumbuka hao waliokutupia uchawi wamelipia gharama kubwa mnk kwenye miungu yao ili wakuweze na wewe lazima uingie gharama kwa uponyaji wako kwa njia ya kutoa sadaka...

Pia sadaka ni ulinzi kwa maisha yako na shughuli zako za kila siku, usiache kutoa siku zote ukiwa na uwezo huo uwe unaumwa au ni mzima.
 

Nilikua mdogo kifikra sio kiumri na mtu waliemtuma walimpa pesa kwa ni hujawahi kuona mtu anatumwa akamuue mtu
Au mtu anatumwa akamfanyie mtu mwingine ubaya kubakwa, kutekwa hata kupigwa
Why unapinga kitu nilichokishuhudia mwenywewe kwa macho yangu
Natafuta msaada kama huwezi kunisaidia Asante nashukuru watanisaidia wengine
 
Kuhusu kwenye maombi usiende kama unaenda Hospital au kwa sheikh.Nenda kama unaenda kukutana na aliyeuumba huo mwili unaokusmbua.Hapa na maanisha weka imani kwanza kwake.
Hili ndio kosa kubwa wanalolifanya watu wengi,anaenda kwa nabii kama vile anaenda hospitali,hajui kuwa huyo nabii sio anayeponya,anayeponya pale ni Mungu,kwahiyo ili akuponye inatakiwa uhakikishe una usafi wa kiroho,sio unaenda kuombewa huku una appointment na girlfriend wako mkafanye yenu,hapo utaliwa sana pesa na manabii uchwara ambao hawakufundishi wewe kumjua Mungu bali wanakufundisha kuwa mtumwa wa kusubiri miujiza...
 
Sio kila mtu anaweza kuelewa, relax na pole sana
 
Lakini sheikh yuleyule mimi alikataa kunitibu sasa sijui wachawi wanawapaga rushwa
Hiyo ngoma ngumu kuna kikosi kimeweka kambi kwako sheikh kaona kifo chake kipo njenje kachomoa..

Hapo unatakiwa maombi mwanzo mwisho tena si ya kitoto..
 
Mkuu wengine siku hizi wanafanya sijui meditation wanadanganyana huko kwenye mitandao wanafungua third eyes sasa balaa lake ndio km hili hivyo vitu ukiviamsha ujue pia kupambna sio uwe mwepesi alafu unaviamsha utaliwa mzimamzima..

Humu jf pia kulikuwa na manyuzi ya kuopen third eyes sijui nini mm kwakweli hayo mambo ya meditations sio ya kukurupuka utayavagaa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…