MSAADA: Tatizo la vitu kutembea mwilini

MSAADA: Tatizo la vitu kutembea mwilini

Sijajua umri wako lkn km ni above 40 kapime kisukar na pressure
 
Sawa lakini mimi niliwaona sio kwa kupenda kwangu iliyokea tuu hivyo halafu ni watu na heshima zao kwenye jamii
Mungu ndiye aliyekupa hayo macho ya kiroho, hata ukawaona. Muombe yeye Mungu huyo huyo akusaidie, akutoe kwenye taabu hiyo.

Pengine baada ya kuwaona ulichukua hatua yoyote bila kumuuliza Mungu!

Msaada wako mkubwa upo kwa Mungu wako kama ni mambo ya kishirikina yamekusababishia.
 
Kwamba wao ni wachawi na uliwaona walipokuwa wakifanya uchawi wao.

Wachawi haohao, ili kukuroga usitoe siri zao wakaamua watumie mganga kukuroga. Unamaanisha warogaji alitumia mganga kukuroga?

Na kama haitoshi, watu uliowashuhudia kwa macho yako mwenyewe wakifanya ulozi, wakakuletea mganga kwa uongo wa kwamba wanakutibu na ukakubali?

Mbona sioni mantiki ya jicho lako la tatu unalosema hapa?

Ok niliowaona ni ndugu zangu. Walitumia mganga kwa kua wao walishindwa kunidhuru
Na nilikua mdogo sana sikua na ufahamu kwa wakati huo
Na sio wao walioniletea mganga direct bali walintumia mtu wakampa picha halisi ilivyokua kwa hiyo huyo mtu alikuja kwangu kama ananisaidia kumbe anaenda kunimalizia kabisa
Kwa hiyo ndivyo ilivyokua ila nilivyoanza kuumwa ndio niligundua nikaacha kwenda kwa huyo mganga
Ninachotafuta sasa ni tiba tuu sio kingine
Nb: usiombe uwaone wachawi watakutesa sana
 
Mwili wote kasoro kichwani leo nimetoka kwenye maombi mwili unawaka moto lakini bado vitu vinatembea au miujiza inachagua watu
Miujiza mingi ni feki.
Badili mindset yako wala hujarogwa...nenda hospitali kama miujuza imeshindikana.
 
Ni nguvu za Giza,ukiamua kuokoka utakuwa sawa Ila ukiitaka kuchukulia makanisa Ni Kama vilinge vya uganga utaendelea kusufer
 
Miujiza mingi ni feki.
Badili mindset yako wala hujarogwa...nenda hospitali kama miujuza imeshindikana.

Hamna hospital sijaenda ndugu halafu sio kwamba hata naumwa ila inatokea muda mwingi hivyo vitu vinatembea mwilini na Niko sawa tuu siumwi na niko physically fit mwaka wa tano huu
Tatizo ni hivyo vitu na sijui vinaishaje
 
Hamna hospital sijaenda ndugu halafu sio kwamba hata naumwa ila inatokea muda mwingi hivyo vitu vinatembea mwilini na Niko sawa tuu siumwi na niko physically fit mwaka wa tano huu
Tatizo ni hivyo vitu na sijui vinaishaje
Inawezekana unaumwa ugonjwa wa kawaida halafu wewe unawaza kutendewa miujiza. nenda kafanye checkup ya mwili wako.
 
Habari zenu na pia heri ya Christmas, jaman ndugu yenu nafunga mwaka vibaya; naumwa vitu vinatembea mwilini na mwili unatikisika. Nitumie tiba gani nimehangaika hospital zote sioni tatizo.

Nimeenda kwenye maombi lakini bado kwa anaejua tiba anisaidie nipone. Halafu ajabu ni kuwa watu wengine wanatibiwa wanapona na Masheikh na Wachumgaji lakini mimi siponi sijui shida ni nini.

Au miujiza inachagua jamani, mbona sielewi?

Shukran.
Kuhusu kwenye maombi usiende kama unaenda Hospital au kwa sheikh.Nenda kama unaenda kukutana na aliyeuumba huo mwili unaokusmbua.Hapa na maanisha weka imani kwanza kwake.
 
Inawezekana unaumwa ugonjwa wa kawaida halafu wewe unawaza kutendewa miujiza. nenda kafanye checkup ya mwili wako.

Nimetoka kufanya check up hata mwezi haujaisha sina tatizo Niko safi kabisa
 
Kama unaota hizo ndoto ,watu wa ajabu ajabu,upo makaburini Ni nguvu za giza

Ndo hivyo jana pia nimeota mtu anataka tufanye mapenzi lakini akashindwa ila nguo ninayokua nimevaa inakua ni chafu inanuka na pia mara nyingine naota Nipo chooni na vyoo ni vichafu balaa [emoji24][emoji24]
 
Hakuna Mtu atakuroga Kama mnavojaribu kujiaminisha that why tunawashauri , msiupe nafasi uchawi, kitendo Cha kuangaika kwenda kwa waganga Ni kosa kubwa sana
 
Jarib kupima sukar

Hakuna kitu sijapima hakuna ni vile siwez kuattach vipimo vyangu hapa nimepima mpak nimechoka ndo nikashauriwa na Doctor nitafute spiritual guidance
 
Ndo hivyo jana pia nimeota mtu anataka tufanye mapenzi lakini akashindwa ila nguo ninayokua nimevaa inakua ni chafu inanuka na pia mara nyingine naota Nipo chooni na vyoo ni vichafu balaa [emoji24][emoji24]
Kwanini unaamini uchawi
Achana na hizo Imani that whay unaota vitu vichafu


Kafanye Deliverance kanisani kwako
Acha UZINZI
Acha uchawi
Sali muombe Mungu

UZINZI ndo kitu hatari Katika Dunia hii
 
Back
Top Bottom