Mkuu wengine siku hizi wanafanya sijui meditation wanadanganyana huko kwenye mitandao wanafungua third eyes sasa balaa lake ndio km hili hivyo vitu ukiviamsha ujue pia kupambna sio uwe mwepesi alafu unaviamsha utaliwa mzimamzima..
Humu jf pia kulikuwa na manyuzi ya kuopen third eyes sijui nini mm kwakweli hayo mambo ya meditations sio ya kukurupuka utayavagaa..
Pole kwa kuumwa.Habari zenu na pia heri ya Christmas, jaman ndugu yenu nafunga mwaka vibaya; naumwa vitu vinatembea mwilini na mwili unatikisika. Nitumie tiba gani nimehangaika hospital zote sioni tatizo.
Nimeenda kwenye maombi lakini bado kwa anaejua tiba anisaidie nipone. Halafu ajabu ni kuwa watu wengine wanatibiwa wanapona na Masheikh na Wachumgaji lakini mimi siponi sijui shida ni nini.
Au miujiza inachagua jamani, mbona sielewi?
Shukran.
Kwa hiyo sasa afanyeje, mpe mbinuMkuu umepigwa juju na dawa ya moto ni maji.
Nenda kwa mganga Kigoma kwa kina Zitto KabweHabari zenu na pia heri ya Christmas, jaman ndugu yenu nafunga mwaka vibaya; naumwa vitu vinatembea mwilini na mwili unatikisika. Nitumie tiba gani nimehangaika hospital zote sioni tatizo.
Nimeenda kwenye maombi lakini bado kwa anaejua tiba anisaidie nipone. Halafu ajabu ni kuwa watu wengine wanatibiwa wanapona na Masheikh na Wachumgaji lakini mimi siponi sijui shida ni nini.
Au miujiza inachagua jamani, mbona sielewi?
Shukran.
He / she must [emoji3576][emoji396] inbox [emoji392] me or email me hadi nifahamu historia yake vizuri huenda Kuna mtu anataka nyota yake.Kwa hiyo sasa afanyeje, mpe mbinu
Nyunyuzia damu ya YESU kwa imani kwenye mwili wako mpaka pale hivyo vitu vinavyotembea vitaishaHabari zenu na pia heri ya Christmas, jaman ndugu yenu nafunga mwaka vibaya; naumwa vitu vinatembea mwilini na mwili unatikisika. Nitumie tiba gani nimehangaika hospital zote sioni tatizo.
Nimeenda kwenye maombi lakini bado kwa anaejua tiba anisaidie nipone. Halafu ajabu ni kuwa watu wengine wanatibiwa wanapona na Masheikh na Wachumgaji lakini mimi siponi sijui shida ni nini.
Au miujiza inachagua jamani, mbona sielewi?
Shukran.
Vitu ni vingi vinavyoweza kusababisha ,inaweza kuwa matatizo ya moyo, Figo au mishipa ya damu. Utaandikiwa dawa kutokana na diagnosis uliyokutwa nayo. Nenda hospitali kubwa kafanye vipimo vikubwaHuo mzunguko mbaya wa damu unasababishwa na nini na tiba ya hospital huwa ni nini au haipo?
Vitu ni vingi vinavyoweza kusababisha ,inaweza kuwa matatizo ya moyo, Figo au mishipa ya damu. Utaandikiwa dawa kutokana na diagnosis uliyokutwa nayo. Nenda hospitali kubwa kafanye vipimo vikubwa
Mara nyingine hospitali kubwa nao wanabahatisha.Nimetoka muhimbili nimepima siumwi kabisa
Pole sana
Wewe kijana ni tapeli, kila ugonjwa unatibu napata mashaka na tiba zako.Vitu kutembea mwilini ni dalili ya uchawi unao mwilini mwako nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole mkuu.
Weka picha...Habari zenu na pia heri ya Christmas, jaman ndugu yenu nafunga mwaka vibaya; naumwa vitu vinatembea mwilini na mwili unatikisika. Nitumie tiba gani nimehangaika hospital zote sioni tatizo.
Nimeenda kwenye maombi lakini bado kwa anaejua tiba anisaidie nipone. Halafu ajabu ni kuwa watu wengine wanatibiwa wanapona na Masheikh na Wachumgaji lakini mimi siponi sijui shida ni nini.
Au miujiza inachagua jamani, mbona sielewi?
Shukran.
Very true, tactile.Hallucinations hizo aisee
Moja wapo ya dalili za maambukizi ya VVU ni kuhisi Vitu vinatembea Mwilini. Pima Haraka maana ukichelewa vinajitokeza kama Mkanda wa Jeshi, Herpes ZosterHabari zenu na pia heri ya Christmas, jaman ndugu yenu nafunga mwaka vibaya; naumwa vitu vinatembea mwilini na mwili unatikisika. Nitumie tiba gani nimehangaika hospital zote sioni tatizo.
Nimeenda kwenye maombi lakini bado kwa anaejua tiba anisaidie nipone. Halafu ajabu ni kuwa watu wengine wanatibiwa wanapona na Masheikh na Wachumgaji lakini mimi siponi sijui shida ni nini.
Au miujiza inachagua jamani, mbona sielewi?
Shukran.
Moja wapo ya dalili za maambukizi ya VVU ni kuhisi Vitu vinatembea Mwilini. Pima Haraka maana ukichelewa vinajitokeza kama Mkanda wa Jeshi, Herpes Zoster
Hongera ila ni dalili usijedhani nomekutaniaNimepima Niko safi
Hongera ila ni dalili usijedhani nomekutania