MSAADA: Tatizo la vitu kutembea mwilini

MSAADA: Tatizo la vitu kutembea mwilini

Ni maisha yangu ndiyo na sijapenda kuumwa hivi ila stroke huko umefika mbali
Mama angu hiyo ni dalili ya stroke....wahi hospitali ukatibiwe.
Inaanzaga vitu vinatembea mara unaanza kusikia kama ganzi mwilini mara ndo hivo umepooza
 
Mama angu hiyo ni dalili ya stroke....wahi hospitali ukatibiwe.
Inaanzaga vitu vinatembea mara unaanza kusikia kama ganzi mwilini mara ndo hivo umepooza

Sio kweli ninawafahamu watu waliopooza hawakua na hizi dalili au wewe umepooza
 
Jicho la tatu ninalo tangu nikiwa mtoto kwa hiyo sijui nani kalifungua maana nimezaliwa hivi

Kwa mganga nilipelekwa sio kwamba nilienda mwenyewe

Kuhusu kufanya tendo la ndoa sijumbuki ni lini ila ni muda umepita

Sijawahi kunena kwa lugha ila nikisali kwa imani sana huwa nalia
Naomba nitoe ushuhuda na nikuelekeze jinsi ya kusali kwa kunena kwa lugha..

Nikuambie tu Mungu anaweza na hakuna kinachishindikana kwake ..Mungu akusaidie na akuponye.
 
Jicho la tatu ninalo tangu nikiwa mtoto kwa hiyo sijui nani kalifungua maana nimezaliwa hivi

Kwa mganga nilipelekwa sio kwamba nilienda mwenyewe

Kuhusu kufanya tendo la ndoa sijumbuki ni lini ila ni muda umepita

Sijawahi kunena kwa lugha ila nikisali kwa imani sana huwa nalia
Ngoja nikupe ushuhuda kwanza hata mimi nina Vita sana vya ukoo, toka 2019 ninamiujiza mingi na nimeshuhudia mengi maishani mwangu...

Mimi nilikuwa nasoma makala za watu kukutana na Mungu, basi nikawa naomba na kumjaji Mungu kuwa kama yupo naomba anifanyie kitu nishuhudie ukuu wake(ajifunue kwangu) basi
2022 hii march niliumwa sana, hadi sikumoja nikiwa kitandani, nikawa namuaga mama yangu kuwa nakufa ila najiona nakufa na dhambi, na naumia kwani sijamkosea mtu kiasi cha kunitenda hivo... Baada ya kusema hayo maneno nililala mda mrefu sana hapo ni maumivu na mateso niliamka badae sana.

kuna mengi yalitokea lakini nilipona na hivi juzi tu nikawa naongea na Mungu wangu anipe kiasi cha mil 2, nikawa namwambia haiwezekan wateso wangu wanitese hivi Mungu naomba ujidhihirishe katika baraka yoyote....nimepata mil 1.6 kupitia betting bila kutarajia.
Mungu wetu ni mwema na anatenda miujiza haijalishi wewe ni mwenye dhambi au hapana....anachoangalia yeye ni utayari wako wa wewe kumpokea ndio maana kwenye Mathayo 5:45 anasema
"Kwa maana yeye huwaangazia jua lake watu wabaya na wema, na kuwanyeshea mvua watu wanyofu na waovu"
 
Njoo huku nyanda za juu kusini utatuliwe tatizo lako. Ila uwe tayari kula dawa ya mitishamba ambayo itakusaidia. Dawa ni chungu sana ila tatizo lako litaisha kabisa.
 
Jicho la tatu ninalo tangu nikiwa mtoto kwa hiyo sijui nani kalifungua maana nimezaliwa hivi

Kwa mganga nilipelekwa sio kwamba nilienda mwenyewe

Kuhusu kufanya tendo la ndoa sijumbuki ni lini ila ni muda umepita

Sijawahi kunena kwa lugha ila nikisali kwa imani sana huwa nalia
Pili naomba nikwambie kwenye maombi kuna nguvu nitakuelekeza jinsi ya kumuamsha roho mtakatifu ndani yako uweze kunena kwa lugha (ila usiache na kwenda kanisani)

Ukiwa kwenye kunena kwa lugha Mungu atakuelekeza nini chakufanya.

chukua karatasi lako andika majina 3 pili chini andika unachotaka chini andika andiko utakalosimamia (nimetuka picha chini)

tafuta muda mzuri kukiwa na utulivu,

Jinsi ya kumuamsha roho mtakatifu ndani yako, nakupa njia 2
ya Kwanza play kwenye simu yako wimbo wa kuabudu na uufuate ukiimba kwa Imani (mimi huwa natumia HAUFANANISHWI wa Boaz danken au Tafuta version ya kanisani ya NIGUSE (ukinigusa wewe nitakuwa salama) ya Clorious celebration)

Wakati ukiendelea kuimba katikati wewe sema tu asante Yesu mara nyingi uwezavyo (Asante Yesu, Asante Yesu, Asante Yesu) mara nyingi....utaona unashindwa kusema asante Yesu hapo utaanza Nena Kwa lugha

Njia ya pili search YouTube video ya mwakasege search (Video hii imenitoa machozi ndugu yangu)

Kwenye hiyo video fuatilia kukiwa na utulivu, alafu anapoanza kuomba wewe useme (asante Yesu mara nyingi) utaona unaanza kunena kwa lugha

Ukianza kunena kwa lugha weka hilo karatasi chini na picha katikati uendelee kunena kwa lugha huku unazunguka chumba chako na unazunguka hilo karatasi...

Baada ya muda piga magoti na endelea kuomba Kwa Imani ukiwa unanena Kwa lugha Mungu atakufunulia na kukujibu mahitaji yako..

Mimi nilifunga nilipanga kufunga siku 7, siku ya Kwanza na yapili nilinena Kwa lugha na nilioneshwa vitu vingi, ilikuwa shida kwamaana nilioneshwa nilikuwa natakiwa kufa... so katika maombi nikawa nafukuza hao wachawi baada ya muda nilipata uchungu mkubwa nililia karibu nusu saa kwamaana nilioneshwa hao wachawi wanapanga kurudi kuniua na wakirudi Mungu wangu hatawaruhusu waishi tena nililia Sana na kuomba Mungu awasamehe kwamaana nitaishi kwahatia.
2022 sina ninachomdai Mwneyezi Mungu.
 
lee jack naimani Mungu atakugusa
Kwenye Isaya 59:1 anasema mkono wake sio mzito usiweke kuokoa na sikio lake sio zote lisiweze kusikia.

Akakufanyie muujiza akakuinue na uishi ukimtukuza na kumsifu.

Vijana wengi tuna shida nyingi sana, kuanzia mafanikio ya kiuchumi hadi kimwili,...tumefungwa Sana na pepo za uzinzi, tumeshikiriwa sana fahamu zetu na tunafanya maagano mazito sana bila kujua....natamani niandike mengi lakini naomba miishie hapa Mungu ni mwema akakuguse.
 
lee jack naimani Mungu atakugusa
Kwenye Isaya 59:1 anasema mkono wake sio mzito usiweke kuokoa na sikio lake sio zote lisiweze kusikia.

Akakufanyie muujiza akakuinue na uishi ukimtukuza na kumsifu.

Vijana wengi tuna shida nyingi sana, kuanzia mafanikio ya kiuchumi hadi kimwili,...tumefungwa Sana na pepo za uzinzi, tumeshikiriwa sana fahamu zetu na tunafanya maagano mazito sana bila kujua....natamani niandike mengi lakini naomba miishie hapa Mungu ni mwema akakuguse.

Sawa nashukuru sana
 
Niliwahi kununua msaka uchawi na wala sio ghali maduka ya asili kijiko wanaanza miatano ni chungu sana sijawahi kuona ukinywa nyingi unatapika
Basi nilipokunywa kwa mara ya kwanza kabisa nikiwa nimejipumzisha ghafla mbele yangu nikamuona mtu mwanaume mfupi mnene kiasi amenisimamia kwa mbele nilipiga kelele akapotea kuanzia siku hiyo sikunywa tena msaka uchawi
Usiache. Endelea kutumia.
 
Back
Top Bottom