Msaada:Tech.College vs High school

Msaada:Tech.College vs High school

Wana JF naombeni msaada wa mawazo yenu,nipo kwenye dilema kama title inavyosema

kama unajiamini kichwani ADVANCE ndo njia sahihi coz ubongo utatanuka ili baadae uweze kupokea fresh masomo ya chuo

lakini kama umri wako ni mkubwa, hujiamini na hupendi kusumbuka nenda tech.college

ila wewe huoni raha wakiuliza wenye cheti cha form six na ww upo...!!hio ya chuo ni shortcut ambayo itakunyima cheti cha form six

We appriciate
-o level sitting (only once)
-a level sitting (only once)
-degree holding ....!
-..............!nk

achana na mambo ya chuo wee nenda a-level...!
over
 
kama unajiamini kichwani
ADVANCE ndo njia sahihi coz ubongo utatanuka ili baadae uweze kupokea
fresh masomo ya chuo

lakini kama umri wako ni mkubwa, hujiamini na hupendi kusumbuka nenda
tech.college

ila wewe huoni raha wakiuliza wenye cheti cha form six na ww upo...!!hio
ya chuo ni shortcut ambayo itakunyima cheti cha form six

We appriciate
-o level sitting (only once)
-a level sitting (only once)
-degree holding ....!
-..............!nk

achana na mambo ya chuo wee nenda a-level...!
over
Ahsante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom