mendez-digala
Member
- Sep 13, 2022
- 23
- 48
Habari wanaJF, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24. Kwa sasa ni mwanafunzi wa moja ya chuo kikuu nchini, nilipatwa na tatizo la kupiga makelele au mivumo masikioni mwaka 2016.
Nimesumbuliwa sana tatizo hili la masikio jambo ambalo linanipa shida hata nikiwa darasani kuwa na usikivu hafifu sana. Tafadhalini kwa yeyote anayejua dawa au sehemu ambayo naweza pata matibabu nikapona anisaidie kwani linanitesa sana .
Nitangulize shukrani zangu kwenu na mawazo yenu ni muhimu pia.
Asanteni
Nimesumbuliwa sana tatizo hili la masikio jambo ambalo linanipa shida hata nikiwa darasani kuwa na usikivu hafifu sana. Tafadhalini kwa yeyote anayejua dawa au sehemu ambayo naweza pata matibabu nikapona anisaidie kwani linanitesa sana .
Nitangulize shukrani zangu kwenu na mawazo yenu ni muhimu pia.
Asanteni