dibless marco
Member
- Jul 10, 2016
- 16
- 6
Naomba msaada sheria zinasemaje kuhusu tiketi kutumika kama ushahidi mahakaman. nimeshtaki nimemtishia mtu kumuua wakati tarehe aliyotaja kwenye maelezo yake mimi skuwepo mkoa anaodai nilimtishia yeye anadai nilimtishia tarehe 18 mwezi wa saba na mimi nimefka tar 20 mwezi wa saba tiketi pia ninayo je naweza kuitumia kama ushahid
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app