Msaada TTCL Copper Internet

Msaada TTCL Copper Internet

Hili u-enjoy yapasa kutokuzidi watu wangapi(device ngapi) wanaotumia kwa pamoja !?

Nataka kufungia familia.
Inategemea na matumizi na speed unayotumia, 4mbps watu wawili munaweza tumia kwa mpigo hata kama wote mna stream.
 
TTCL sometimes miyeyusho mkuu sio wakuweka asilimia zote kwa huduma yao ya copper

Majuzi kati mi nimeenda ofisini kwao pale uwanja wa ndege wakanijazisha form wakinilazimisha kuchagua fibre wakati copper mitaa yangu ipo.

Fibre ina gharama installation cost ni mamilion nikawaambia siwezi ku afford hiyo gaharama wakaniambia saizi wamepunguza bei inakaribiana na tu na copper.

Lakini baada ya kujaza form niliambiwa rudi halafu utapigiwa simu tutakuja eneo lako kufanya survey

Nilifikisha wiki bila kupigiwa simu nikawaona hawako serious nikaenda pale kwenye ofisi zao tazara sigara

Pale wakanijazaisha form halafu wakawa wananilazimisha nijaze option ya kampuni nisijaze personal

Baada ya mabishano yaliochukua muda ikabidi waniruhusu kujaza option ya personal.

Kama ilivyo kawaida nao wakaniambia tutakuja kufanya survey.

Hapa napo nilikaa wiki kama mbili hivi mpaka nilipooana uvumilivu umegika mwisho ikabidi nianze kuwasumbua kwenye simu kupitia customer care

Baada ya kama siku tatu wakanipigia wakisema wako mtaani tukaonana lakini walichokisema ndio kinashangaza

Waliniambia kwanza hizi copper za mtaa huu zina leakage kiasi cha kusababisha internet iwe ya ON&OFF

Wakaniambia kuna siku internet utakuwa huipati kuna siku utakuwa unaipata.

Nikawaambia basi mi nitavumilia nyie msinionee huruma niwekeeni hivyo hivyo.

Cha ajabu wakawa hawataki tena kuweka pamoja na kwamba nimeridhia kwa changamoto hiyo, wakawa wanajiuma uma tu wakilalamika kuwa haitakuwa fair ulipie huduma ambayo sio ya uhakika. Mara sijui kwanza hii huduma ya copper tunataka tu terminate isiwepo kabisa

Sasa kilichokuja kunichanganya ni oale walipokjwa wanasema nyaya hizo ni compatible kwa huduma ya voice tu, yani ukiwekewa huduma ya voice hakuna mkwamo wala kizuizi ila nyaya hizo hizo kwenye swala la internet zinakuwa kipengele.

Wakasepa bila kuniwekea, nikawapigia tena customer care nikawaambia mlikuwa na maana gani kuandika copper kwenye form yenu ilihali huduma zake ni za kusua sua

Customer care inaonekana waliwaita wale survey na kuwaambia kuhusu malalamiko yangu maana walinipigia simu wakiniambia watakuja kuniwekea hivyo hivyo
Njoo TTCL mzee baba. Inategemea unataka COPPER au FIBER?
Kama ni Fiber bei ni kama ifuatavyo;
20/10 Mbps ni 55k
40/20 Mbps ni 100k
60/30 Mbps ni 150k
100/50 Mbps ni 200k

COPPER Internet ni nafuu na gharama zake ni kama ifuatavyo;
4Mbps ni 25k
8Mbps ni 50k
12Mbps ni 80k

UFUNDI ni Bure na utafuatwa mpaka hapo ulipo.
Kuhusu vifaa inategemea kama una haraka nunua kwa pesa yako kama unasubiria tukuletee vifaa vya bure uvumilivu wako ni muhimu.
 
Njoo TTCL mzee baba. Inategemea unataka COPPER au FIBER?
Kama ni Fiber bei ni kama ifuatavyo;
20/10 Mbps ni 55k
40/20 Mbps ni 100k
60/30 Mbps ni 150k
100/50 Mbps ni 200k

COPPER Internet ni nafuu na gharama zake ni kama ifuatavyo;
4Mbps ni 25k
8Mbps ni 50k
12Mbps ni 80k

UFUNDI ni Bure na utafuatwa mpaka hapo ulipo.
Kuhusu vifaa inategemea kama una haraka nunua kwa pesa yako kama unasubiria tukuletee vifaa vya bure uvumilivu wako ni muhimu.
Kama wewe ni muhusika wa kampuni basi weka namba ya simu hapa tufanye mambo serious
 
TTCL sometimes miyeyusho mkuu sio wakuweka asilimia zote kwa huduma yao ya copper

Majuzi kati mi nimeenda ofisini kwao pale uwanja wa ndege wakanijazisha form wakinilazimisha kuchagua fibre wakati copper mitaa yangu ipo.

Fibre ina gharama installation cost ni mamilion nikawaambia siwezi ku afford hiyo gaharama wakaniambia saizi wamepunguza bei inakaribiana na tu na copper.

Lakini baada ya kujaza form niliambiwa rudi halafu utapigiwa simu tutakuja eneo lako kufanya survey

Nilifikisha wiki bila kupigiwa simu nikawaona hawako serious nikaenda pale kwenye ofisi zao tazara sigara

Pale wakanijazaisha form halafu wakawa wananilazimisha nijaze option ya kampuni nisijaze personal

Baada ya mabishano yaliochukua muda ikabidi waniruhusu kujaza option ya personal.

Kama ilivyo kawaida nao wakaniambia tutakuja kufanya survey.

Hapa napo nilikaa wiki kama mbili hivi mpaka nilipooana uvumilivu umegika mwisho ikabidi nianze kuwasumbua kwenye simu kupitia customer care

Baada ya kama siku tatu wakanipigia wakisema wako mtaani tukaonana lakini walichokisema ndio kinashangaza

Waliniambia kwanza hizi copper za mtaa huu zina leakage kiasi cha kusababisha internet iwe ya ON&OFF

Wakaniambia kuna siku internet utakuwa huipati kuna siku utakuwa unaipata.

Nikawaambia basi mi nitavumilia nyie msinionee huruma niwekeeni hivyo hivyo.

Cha ajabu wakawa hawataki tena kuweka pamoja na kwamba nimeridhia kwa changamoto hiyo, wakawa wanajiuma uma tu wakilalamika kuwa haitakuwa fair ulipie huduma ambayo sio ya uhakika. Mara sijui kwanza hii huduma ya copper tunataka tu terminate isiwepo kabisa

Sasa kilichokuja kunichanganya ni oale walipokjwa wanasema nyaya hizo ni compatible kwa huduma ya voice tu, yani ukiwekewa huduma ya voice hakuna mkwamo wala kizuizi ila nyaya hizo hizo kwenye swala la internet zinakuwa kipengele.

Wakasepa bila kuniwekea, nikawapigia tena customer care nikawaambia mlikuwa na maana gani kuandika copper kwenye form yenu ilihali huduma zake ni za kusua sua

Customer care inaonekana waliwaita wale survey na kuwaambia kuhusu malalamiko yangu maana walinipigia simu wakiniambia watakuja kuniwekea hivyo hivyo
Ndugu, maelezo uliyo yatia hapo juu ni kweli kabisa. Mimi huku naishi Sinza A opp na Mlimani City, nilikuwa natumia hiyo ya copper ambayo inaitwa Broadband tokea 2012 - 2013 baadaye nikaja tena kuitumia 2018 - 2019.

Hali ilikuwa vile vile inakuwa ON/OFF ilikuwa ina umiza sana unakuta unalipia inakata wiki 2 mpka 3 na nilikuwa nalipia ya BRONZE SILVER cha Tshs 66,500/ cha speed ya 2MBPS.

Nikiwa zangu nyumbani mwezi wa 8 tarehe 04 hivi majira ya mchana natoka nje, nikakutana na mafundi nje wa TTCL wanaweka nyaya za FIBRE nikawauliza mnaweka nn wakasema tunaweka nyaya za FIBRE nikawauliza si nasikia kuwekewa ni mpka uwe na 1Mil wakasema hiyo ilikuwa zamani lakin sasa Mama ameondoa hizo gharama sasa kuwekewa ni bure, na unawekewa popote pale ulipo.

Nikasema, OK basi naomba mnidondoshee basi huo waya kwangu, wakaniwekea tena hadi ndani nyumbani ni waya mnene na mgumu sana kukunjika, na wakaniambia nikalipe makao makuu yangu ambayo ni hapo tu Sayansi KijitoNyama waje mafundi wanifanyie connection nipate huduma.
 
Ndugu, maelezo uliyo yatia hapo juu ni kweli kabisa. Mimi huku naishi Sinza A opp na Mlimani City, nilikuwa natumia hiyo ya copper ambayo inaitwa Broadband tokea 2012 - 2013 baadaye nikaja tena kuitumia 2018 - 2019.

Hali ilikuwa vile vile inakuwa ON/OFF ilikuwa ina umiza sana unakuta unalipia inakata wiki 2 mpka 3 na nilikuwa nalipia ya BRONZE SILVER cha Tshs 66,500/ cha speed ya 2MBPS.

Nikiwa zangu nyumbani mwezi wa 8 tarehe 04 hivi majira ya mchana natoka nje, nikakutana na mafundi nje wa TTCL wanaweka nyaya za FIBRE nikawauliza mnaweka nn wakasema tunaweka nyaya za FIBRE nikawauliza si nasikia kuwekewa ni mpka uwe na 1Mil wakasema hiyo ilikuwa zamani lakin sasa Mama ameondoa hizo gharama sasa kuwekewa ni bure, na unawekewa popote pale ulipo.

Nikasema, OK basi naomba mnidondoshee basi huo waya kwangu, wakaniwekea tena hadi ndani nyumbani ni waya mnene na mgumu sana kukunjika, na wakaniambia nikalipe makao makuu yangu ambayo ni hapo tu Sayansi KijitoNyama waje mafundi wanifanyie connection nipate huduma.
Daah mimi nilifosi yani hata hiyo ya ON/OFF niliona poa tu kuliko daily shit ya mitandao ya simu

Lakini zoezi likashindikana wakanikomalia kuwa hawawezi kufunga huduma ambayo sio ya uhakika.
 
Ndugu, maelezo uliyo yatia hapo juu ni kweli kabisa. Mimi huku naishi Sinza A opp na Mlimani City, nilikuwa natumia hiyo ya copper ambayo inaitwa Broadband tokea 2012 - 2013 baadaye nikaja tena kuitumia 2018 - 2019.

Hali ilikuwa vile vile inakuwa ON/OFF ilikuwa ina umiza sana unakuta unalipia inakata wiki 2 mpka 3 na nilikuwa nalipia ya BRONZE SILVER cha Tshs 66,500/ cha speed ya 2MBPS.

Nikiwa zangu nyumbani mwezi wa 8 tarehe 04 hivi majira ya mchana natoka nje, nikakutana na mafundi nje wa TTCL wanaweka nyaya za FIBRE nikawauliza mnaweka nn wakasema tunaweka nyaya za FIBRE nikawauliza si nasikia kuwekewa ni mpka uwe na 1Mil wakasema hiyo ilikuwa zamani lakin sasa Mama ameondoa hizo gharama sasa kuwekewa ni bure, na unawekewa popote pale ulipo.

Nikasema, OK basi naomba mnidondoshee basi huo waya kwangu, wakaniwekea tena hadi ndani nyumbani ni waya mnene na mgumu sana kukunjika, na wakaniambia nikalipe makao makuu yangu ambayo ni hapo tu Sayansi KijitoNyama waje mafundi wanifanyie connection nipate huduma.

Umefanikiwa kupata huduma?
 
Njoo TTCL mzee baba. Inategemea unataka COPPER au FIBER?
Kama ni Fiber bei ni kama ifuatavyo;
20/10 Mbps ni 55k
40/20 Mbps ni 100k
60/30 Mbps ni 150k
100/50 Mbps ni 200k

COPPER Internet ni nafuu na gharama zake ni kama ifuatavyo;
4Mbps ni 25k
8Mbps ni 50k
12Mbps ni 80k

UFUNDI ni Bure na utafuatwa mpaka hapo ulipo.
Kuhusu vifaa inategemea kama una haraka nunua kwa pesa yako kama unasubiria tukuletee vifaa vya bure uvumilivu wako ni muhimu.
Kigamboni mpo mkuu
 
Njoo TTCL mzee baba. Inategemea unataka COPPER au FIBER?
Kama ni Fiber bei ni kama ifuatavyo;
20/10 Mbps ni 55k
40/20 Mbps ni 100k
60/30 Mbps ni 150k
100/50 Mbps ni 200k

COPPER Internet ni nafuu na gharama zake ni kama ifuatavyo;
4Mbps ni 25k
8Mbps ni 50k
12Mbps ni 80k

UFUNDI ni Bure na utafuatwa mpaka hapo ulipo.
Kuhusu vifaa inategemea kama una haraka nunua kwa pesa yako kama unasubiria tukuletee vifaa vya bure uvumilivu wako ni muhimu.
Mkuu, fiber hii nipo chamazi huku napata ?
 
Back
Top Bottom