Msaada: Tumepoteza kazi baada ya kudai haki zetu

Msaada: Tumepoteza kazi baada ya kudai haki zetu

Nsumba ntale tz

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2016
Posts
713
Reaction score
762
Heri ya mwaka mpya wadau,!! Mimi na mwenzangu Tumepoteza kazi baada ya kudai haki na stahiki zetu zilizokuwa zinabinywa na mwajiri, baada ya kufatilia sheria zinasemaje katika misingi ya kisheria na mwajiri wetu kuamriwa kurekebisha.

Mwajiri hakufanya hivyo Bali akasubiri mwisho wa mkataba akatupa barua za kumalizika kwa mkataba.

Je, wajuzi wa sheria ni namna gani sheria zinatulinda kwa namna yoyote kupoteza kwetu kazi kwa kudai haki zetu? Naombeni msaada
 
Heri ya mwaka mpya wadau,!! Mimi na mwenzangu Tumepoteza kazi baada ya kudai haki na stahiki zetu zilizokuwa zinabinywa na mwajiri, baada ya kufatilia sheria zinasemaje katika misingi ya kisheria na mwajiri wetu kuamriwa kurekebisha.

Mwajiri hakufanya hivyo Bali akasubiri mwisho wa mkataba akatupa barua za kumalizika kwa mkataba.

Je, wajuzi wa sheria ni namna gani sheria zinatulinda kwa namna yoyote kupoteza kwetu kazi kwa kudai haki zetu? Naombeni msaada
Kudai haki yako hakumzuii mwajiri kutokukuongezea mkataba, unapodai haki yako unatakiwa uwe makini sana hasa kama hauna mkataba wa kudumu maana kama una mkataba wa mda mfupi hayo ndio majanga yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kudai haki yako hakumzuii mwajiri kutokukuongezea mkataba, unapodai haki yako unatakiwa uwe makini sana hasa kama hauna mkataba wa kudumu maana kama una mkataba wa mda mfupi hayo ndio majanga yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, pamoja na yote mwajiri alipewa barua ya kutopunguza au kufukuza wafanyakazi kutokana kitendo Cha wafanyakazi kudai haki zetu
 
Back
Top Bottom