Msaada: Tumepoteza kazi baada ya kudai haki zetu

Msaada: Tumepoteza kazi baada ya kudai haki zetu

kumbuka amasemea mwajir alipewa barua asiwafikuze kisa kudai haki zao hapo mazingira yanambana mwajir bora angemwongezea mkataba then ukiisha Ndo amfire

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkataba ukiisha mwajiri una hiari ya kumuongezea mkataba au kutomuongezea mkataba mwajiriwa hakuna sheria inayomfunga mwajiriwa kukuongezea mkataba hata Kama wewe ni mgogo kazini.
Kwanza huyu jamaa anaonekana mkorofi ingekuwa Mimi ningemlipa stahiki zake zote nikavunja mkataba stakagi usumbufu umeomba kazi vizuri kwa heshima kesho unaanza kuleta kero eti watu wagome

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkataba ukiisha mwajiri una hiari ya kumuongezea mkataba au kutomuongezea mkataba mwajiriwa hakuna sheria inayomfunga mwajiriwa kukuongezea mkataba hata Kama wewe ni mgogo kazini.
Kwanza huyu jamaa anaonekana mkorofi ingekuwa Mimi ningemlipa stahiki zake zote nikavunja mkataba stakagi usumbufu umeomba kazi vizuri kwa heshima kesho unaanza kuleta kero eti watu wagome

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa hiyo wewe unaona vyema makampuni ya kigeni kuja na kutunyonya kutufanyisha kazi Kama watumwa??
 
Kama chanzo ni nyie kufuatilia sheria mkafukuzwa, basi fuatilien tena sheria hukohuko kwa mwanzo mtarudishwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Hawajafukuzwa mkataba umeisha,sasa swali anauliza kwann wengine ambao hawakufatilia haki zao kisheria kupata madai yao wamepewa mikataba mipya,wao wakawa mbuzi wa kafara kwa kisingizio mkataba kuisha?
 
Wewe mbona umeng'ang'ania neno "kufukuzwa"? Unajua tofauti ya kufukuzwa au kuachishwa kazi na mkataba kuisha? Huyu mkataba umeisha, hajafukuzwa. Mwajiri ana haki ya kumuongezea mkataba au kutokumuongezea kutegemeana na mahitaji yake ya wafanyakazi. Kama mkataba umeisha na umelipwa stahiki zako zote, usijisumbue kwa kingine zaidi ya kutafuta kazi nyingine. Angesitisha mkataba au angekufukuza hapo ungekuwa na haki ya kwenda kwenye vyombo vya sheria.
Wenye kujua zaidi watakuelewesha, labda mimi ndo sielewi.
kumbuka amasemea mwajir alipewa barua asiwafikuze kisa kudai haki zao hapo mazingira yanambana mwajir bora angemwongezea mkataba then ukiisha Ndo amfire

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tz INA sheria za maandishi tuu ukweli kupata haki itabidi mjiongezeze sana
Heri ya mwaka mpya wadau,!! Mimi na mwenzangu Tumepoteza kazi baada ya kudai haki na stahiki zetu zilizokuwa zinabinywa na mwajiri, baada ya kufatilia sheria zinasemaje katika misingi ya kisheria na mwajiri wetu kuamriwa kurekebisha.

Mwajiri hakufanya hivyo Bali akasubiri mwisho wa mkataba akatupa barua za kumalizika kwa mkataba.

Je, wajuzi wa sheria ni namna gani sheria zinatulinda kwa namna yoyote kupoteza kwetu kazi kwa kudai haki zetu? Naombeni msaada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulivyokuwa unaleta migomo kwenye kampuni za watu hukujua mkataba wako unakaribia kuisha? Mtu umeajiriwa afu unajitia mjuaji hizo ndo effects sasa za kujifanya unajua sana sheria wakati mfukoni ni kapuku. Unasema unanyonywa kazini lakini bado unaililia hiohio kazi . Vijana wapo wengi sana mtaani hawana kazi afu wewe unajiona msumbufu kwenye ofisi za watu. Kakae sasa mtaani ujifunze ujue uliokosea wapi ujipange upya


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ukiwa private sectors inakubidi uwe mnyenyekevu kweli kweli!

Contract yako imeexpire hawajakudischarge from office tofautisha hapo so huna chako asee!

Hizo stahiki zako zingepata mashiko kama ungekuwa job.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa hiyo wewe unaona vyema makampuni ya kigeni kuja na kutunyonya kutufanyisha kazi Kama watumwa??
Siyo kutunyonya Mimi kila mara nashindwana na wafanyakazi wa Tanzania ni wavivu Sana kuna kazi nafanya Rwanda unamlipa mtu mshahara wa Fra-150,000 sawa 175,000 za Tanzania na ni mtaalamu anajituma kwelikweli.
Lakini kazi hiyo hiyo Tanzania mtu analipwa mshahara tsh 600,000 na utendaji ni wa hovyo Bora kwa mshahara huo uajiri wakenya 2 au waganda 2 ambao hawaleti migomo na ufanisi kiutendaji upo juu
Wa Tanzania tuna shida ni wavivu sana tunataka kazi lakini tukipata hatufanyi kazi ni kuanzisha migogoro tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ningekuwa Mimi ningewatimua tu,duniani hakuna haki,amino hivyo,kama unataka haki kaidai kwenye familia yako na si kwenye kazi za watu,hapa kazi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mbona umeng'ang'ania neno "kufukuzwa"? Unajua tofauti ya kufukuzwa au kuachishwa kazi na mkataba kuisha? Huyu mkataba umeisha, hajafukuzwa. Mwajiri ana haki ya kumuongezea mkataba au kutokumuongezea kutegemeana na mahitaji yake ya wafanyakazi. Kama mkataba umeisha na umelipwa stahiki zako zote, usijisumbue kwa kingine zaidi ya kutafuta kazi nyingine. Angesitisha mkataba au angekufukuza hapo ungekuwa na haki ya kwenda kwenye vyombo vya sheria.
Wenye kujua zaidi watakuelewesha, labda mimi ndo sielewi.
Uko right mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakushauri tu tumia huo muda kufanya mambo yako mengine ikiwemo kutafuta ajira nyingine, maana ukisema umpeleke kwenye sheria naona utakua unapoteza time yako bure
 
Heri ya mwaka mpya wadau,!! Mimi na mwenzangu Tumepoteza kazi baada ya kudai haki na stahiki zetu zilizokuwa zinabinywa na mwajiri, baada ya kufatilia sheria zinasemaje katika misingi ya kisheria na mwajiri wetu kuamriwa kurekebisha.

Mwajiri hakufanya hivyo Bali akasubiri mwisho wa mkataba akatupa barua za kumalizika kwa mkataba.

Je, wajuzi wa sheria ni namna gani sheria zinatulinda kwa namna yoyote kupoteza kwetu kazi kwa kudai haki zetu? Naombeni msaada
Yaani mmepewa tu barua bila kulipwa skahiki zenu????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swala Sio kampun ya Wat sheria za utumish zinagusa kote kote Huwez mwachisha mt kaz all over suddenly lazma umwandalie stahik zake pia umpe taarifa mapema ili ajiandae wewe wapeleke ulipowapeleka mwazo state vizur

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkataba uahaisha kurenew ni matakwa ya mwajir na sio sheria lasivyo akajiliwe mahakaman

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom