Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Mkuu Hawa hawajafukuzwa Hawa muda wa ajira umeisha.Mwajiri hajataka kuwaajiri tena.Sasa hapo utadai nini?Kama chanzo ni nyie kufuatilia sheria mkafukuzwa, basi fuatilien tena sheria hukohuko kwa mwanzo mtarudishwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app