Msaada: Tumepoteza kazi baada ya kudai haki zetu

Msaada: Tumepoteza kazi baada ya kudai haki zetu

Mmezidi porojo. Mleta mada anaomba msaada wa ushauri kuhusu sheria mnakomalia mkataba. Nyinyi wala vumbi bana!

Bora kubeba boksi tu
Mkataba ukiisha mwajiri au mwajiriwa wote wana haki ya kuongeza au kutoongeza. Tofautisha kati ya kuvunja mkataba na kuongezewa mkataba. After all mwajiri gani kiazi ataongeza mkataba kwa mtu mkorofi na msumbufu? Aende CMA wampe msaada na si kupewa mkataba mpya
 
Mkataba ukiisha mwajiri au mwajiriwa wote wana haki ya kuongeza au kutoongeza. Tofautisha kati ya kuvunja mkataba na kuongezewa mkataba. After all mwajiri gani kiazi ataongeza mkataba kwa mtu mkorofi na msumbufu? Aende CMA wampe msaada na si kupewa mkataba mpya
Msaada gani wanaweza Nipa mkuu??
 
Umeonaeeee hata mm Naona Wat hawamsaidii bali wanafurahia watanzania tuna roho mbaya sana yan unafiki umetujaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo hakuna suala la kisheria sababu amesema mkataba umekwisha na mwajiri ameamua kutomuongezea,sidhan kama kuna Sheria inayomlazimisha muajiri kumpa MTU mkataba,sababu yy ndiye anayelipa mishahara kama bajet yake imeshake mtamsaidia kulipa?? Kama hajaridhika na utendaji wao WA kazi mnamlazimisha Vipi akae nao?? Kinachodetermine MTU kuendelea kukaa kampuni fulani ukiachilia mbali performance pia nidhamu na tabia (attitude),suala la kusema mmempeleka mwajiri wenu kwenye mamlaka husika inaonesha tayari mlishindwa kuelewana ndani,hakuna mwajiri anayependa kukaa na wanaharakati ,hata we nyumbani kwako sidhan kama unaweza kukaa na mke au mtoto mwanaharakati,ukimpiga kiboko anaenda polisi kushtaki umekiuka haki za watoto,cha msingi mjitafakar namna gani mlipaswa kufuata kudai haki zenu in a win win situation

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaada gani wanaweza Nipa mkuu??
Kuangalia kama katika mkataba wako wa awali kama kuna kifungu mwajili hakukitekeleza. Ila ushauri wangu, achana naye tafuta kwingine ila iwe fundisho kwako na wengine ambao hamjui kesho itakuwaje. Nikiwa na maana kuwa usiwe kama abunwasi ambaye alikuwa anakata tawi ambalo amekalia.

Ndugu yangu makeke mengine hayafai kazini angalia nini unakitafuta na kama unadai haki dai kwa akili na staha. vyama vya wafanyakazi wakati mwingine vinapotosha, angalia huyo aliyekuwa anakushauri na kuwaweka moto, yeye si anapokea chake na yupo kazini? Acheni kupambana na anayeshika faili lako la siri. Ukitaka kuondokana na adha hizi karibu kwetu kwa wajasiriamali
 
Pole mkuu ila hapo kwenye mkataba kuisha ndo kamaliza kabisa ingekuwa kwa sababu nyingine hapo barua zenu zingepata kazi,Ni haki ya Mwajiri kutokutaka kuongeza mkataba mara baada ya uliopo kuisha especially akiwa na sababu ambazo wengi wanasema hawana uwezo wa kuendelea kulipa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo hakuna suala la kisheria sababu amesema mkataba umekwisha na mwajiri ameamua kutomuongezea,sidhan kama kuna Sheria inayomlazimisha muajiri kumpa MTU mkataba,sababu yy ndiye anayelipa mishahara kama bajet yake imeshake mtamsaidia kulipa?? Kama hajaridhika na utendaji wao WA kazi mnamlazimisha Vipi akae nao?? Kinachodetermine MTU kuendelea kukaa kampuni fulani ukiachilia mbali performance pia nidhamu na tabia (attitude),suala la kusema mmempeleka mwajiri wenu kwenye mamlaka husika inaonesha tayari mlishindwa kuelewana ndani,hakuna mwajiri anayependa kukaa na wanaharakati ,hata we nyumbani kwako sidhan kama unaweza kukaa na mke au mtoto mwanaharakati,ukimpiga kiboko anaenda polisi kushtaki umekiuka haki za watoto,cha msingi mjitafakar namna gani mlipaswa kufuata kudai haki zenu in a win win situation

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kuna watu (hasa wapo nje ya nchi kama Jon Stephano ) hawajakuelewa hao their head must be examined! Ndiyo maana sie ni wajasiriamali, naye tunamkaribisha hana wito wa kuajiriwa akaendelee na uanaharakati.
 
Ila nyie mnaosema kuwa kaleta ujuaji kama alinyimwa haki yake angenyamaza tu ? Mkuu nakupongeza sana kama kweli ulikuwa unapigania haki yako uliyostahili japo haikuwa na matokea mazuri Who knows Mungu kakuandalia nini mbeleni.
Ifike sehemu kama tunatendewa visivyo tusiogope kusema.Maisha ni vita na hyo ni moja ya vita unaweza kushinda au kushindwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila nyie mnaosema kuwa kaleta ujuaji kama alinyimwa haki yake angenyamaza tu ? Mkuu nakupongeza sana kama kweli ulikuwa unapigania haki yako uliyostahili japo haikuwa na matokea mazuri Who knows Mungu kakuandalia nini mbeleni.
Ifike sehemu kama tunatendewa visivyo tusiogope kusema.Maisha ni vita na hyo ni moja ya vita unaweza kushinda au kushindwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Amina mkuu!!
 
Mkataba ukiisha mwajiri au mwajiriwa wote wana haki ya kuongeza au kutoongeza. Tofautisha kati ya kuvunja mkataba na kuongezewa mkataba. After all mwajiri gani kiazi ataongeza mkataba kwa mtu mkorofi na msumbufu? Aende CMA wampe msaada na si kupewa mkataba mpya
Pia kwenye unions kama unemployment unions wanapotetea haki za wafanyakazi
 
Leo hii nimemfukuza mmoja kwagu nimemwambia asirud

Makubaliano siku za ibada kwa maana ya jumapili kwake na sikukuu za dini hatokuwa anakuja Leo kaota mbawa kila sikuu anataka mapumziko na Mimi nategemea siku kama za Leo kuvuna hela nikamwambia usipokuja Leo usirud tena kaona poa kasepa nikasema good

Nshamtafta wa kumbadili ujinga sio hela ngumu saiv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo hata zile order za serikali hazina nguvu yoyote??
Kwa hiyo ukirudishwa kazini na serikali kwa nguvu utafanya kazi kwa amani? Kikubwa ulipigania haki kuwakomboa wengine. Hao uliowaacha au wanaofata hapo kazini ndio watanufaika na kile ulichopambania. Upo kwenye kivuli kwa sababu kuna MTU aaliupanda huo mti miaka hyo nawe umepanda mti watatumia kivuli chake wengine. Kikubwa kama una 55yrs pita pale nssf ukaprocess chako. Otherwise subiri FAO LA kutokuwa na ajira.
 
H
Kwa hiyo ukirudishwa kazini na serikali kwa nguvu utafanya kazi kwa amani? Kikubwa ulipigania haki kuwakomboa wengine. Hao uliowaacha au wanaofata hapo kazini ndio watanufaika na kile ulichopambania. Upo kwenye kivuli kwa sababu kuna MTU aaliupanda huo mti miaka hyo nawe umepanda mti watatumia kivuli chake wengine. Kikubwa kama una 55yrs pita pale nssf ukaprocess chako. Otherwise subiri FAO LA kutokuwa na ajira.
Fao la kujitoa wanatoa siku hizi ?
Nina 10 mill na umri wangu ni under 35 waligoma kunipa
 
Kwa hiyo ukirudishwa kazini na serikali kwa nguvu utafanya kazi kwa amani? Kikubwa ulipigania haki kuwakomboa wengine. Hao uliowaacha au wanaofata hapo kazini ndio watanufaika na kile ulichopambania. Upo kwenye kivuli kwa sababu kuna MTU aaliupanda huo mti miaka hyo nawe umepanda mti watatumia kivuli chake wengine. Kikubwa kama una 55yrs pita pale nssf ukaprocess chako. Otherwise subiri FAO LA kutokuwa na ajira.
Ahsante mkuu kwa ushauri
 
Back
Top Bottom