Msaada: Tumepoteza kazi baada ya kudai haki zetu

Msaada: Tumepoteza kazi baada ya kudai haki zetu

Mnajitiaga ujuaj kwenye makampuni ya watu sheria mnazijua sa mjiajir jaman na ujuaj wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah jamaa kawanyoosha, hii ni sawa na chuoni ukijifanya mjuaji ukagombana na management ya chuo hawakusemeshi, wanakutumia mwalimu mmoja tu kimya kimya anakuvizia end of semester anakunyonga na Sapu. Ukienda kusapua anakutia tena nyavuni hahah una carry over anakufagia tena, unajikuta mwisho wa siku unarudia semester ama una disco bila umbeya yani.
 
hapo wewe tafuta kazi nyingine tu acha kuoteza muda kufatilia hiyo issue.
 
Shida ya haya mambo , ukijifanya mjuaji sana wa haki mwisho wa ke ndo huo, mi yaliwahi kunikuta hayo.....mwisho wa siku nikaamua kuachana nao
 
Na kwenye kupunguza watu si lazima Kuna taratibu kisheria uwa zinatumika?? Kwanini sisi na siyo wengine??
Kazi ya mkataba, mkataba ukiisha ni bye bye...hakuna cha taratibu wala nn...hao jamaa imekula kwao na ujinga wao
 
Heri ya mwaka mpya wadau,!! Mimi na mwenzangu Tumepoteza kazi baada ya kudai haki na stahiki zetu zilizokuwa zinabinywa na mwajiri, baada ya kufatilia sheria zinasemaje katika misingi ya kisheria na mwajiri wetu kuamriwa kurekebisha.

Mwajiri hakufanya hivyo Bali akasubiri mwisho wa mkataba akatupa barua za kumalizika kwa mkataba.

Je, wajuzi wa sheria ni namna gani sheria zinatulinda kwa namna yoyote kupoteza kwetu kazi kwa kudai haki zetu? Naombeni msaada
pole Mkuu hapo una haki kama alikujulisha miez 3 kabla kua anakushukur na mkatab ukiisha hata kuongeza,lkn kama alifanya hizo yuko sawa we nenda kachukue Fedha zako kwenye mfuko Wa ifadhi ya jamii uendelee na maisha
 
Kama una marupurupu yako hukupewa fuatilia hayo ukafanye mishe zingine,.nadhani kuwa na mikataba ya hali bora mahali pa kazi ni muhimu sana hasa hizi sehemu binafsi...
 
Yaani
Nikuajiri Mimi, Nikulipe Mshahara Mimi, Alafu Ukanishtaki.

Wallahi Lazima NIKUTIMUE

Huwezi kuleta KIBESI na UJUAJI kwenye investment ya MTU.

Kiuhalisia,
Ukishakua Mwajiliwa, maana yake wee ni MTUMWA tayari kwa Boss wako.

Na sifa kuu ya Mfanyakazi bora Duniani kote ni UTIIFU.

Yaani uwe kama Kondoo.

Nikuchane Tu UKWELI,
Kamwe huwezi ipata haki dhidi ya BOSS wako.

Ukishakua Mwajiliwa,
Utaishi na Kutenda kotokana na Maagizo ya Boss wako.

OTHERWISE,
Fungua tu investment YAKO Uishi na Kutenda Utakavyo.

**Ukweli mchungu**

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani
Nikuajiri Mimi, Nikulipe Mshahara Mimi, Alafu Ukanishtaki.

Wallahi Lazima NIKUTIMUE

Huwezi kuleta KIBESI na UJUAJI kwenye investment ya MTU.

Kiuhalisia,
Ukishakua Mwajiliwa, maana yake wee ni MTUMWA tayari kwa Boss wako.

Kamwe huwezi ipata haki dhidi ya BOSS wako.

Ukishakua Mwajiliwa,
Utaishi na Kutenda kotokana na Maagizo ya Boss wako.

OTHERWISE,
Fungua tu investment YAKO Uishi na Kutenda Utakavyo.

**Ukweli mchungu**

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bahati mbaya mkataba wenyewe mungeuona mngekubaliana nami kulikuwa na haha ya kufatilia hili Jambo
 
Ni bahati mbaya mkataba wenyewe mungeuona mngekubaliana nami kulikuwa na haha ya kufatilia hili Jambo
Solution ni Kujiajiri tu.

Hata Uende wapi, Huwezi kuipata haki yako.

Mwenye pesa ndio Mfalme.

WAONE WENZIO WAAJIRIWA WA SERIKALIN WANAVYOBEMBELEZA NYONGEZA YA MSHAHARA na Madaraja KWA MAGU.

Wakati ni haki yao kimsingi.

Ila hakuna hata mmoja anaweza thubutu Kwenda Mahakamani.

Jiwe Alishawahi kuwaambia hadharani,
"Kama unaona Mshahara Nnaokupa ni mdogo, Acha kazi"

Kama Huwezi Kujiajiri, Mwombe sana Mungu akupe Boss Mwenye Hekima na Hofu ya Mungu.

Otherwise,
Fanya maamuzi ujiajiri mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajitia mjuaji kwenye kampuni ya mtu.. Sasa nenda ukaajiriwe na hiyo sheria iliyokutia ujuaji..!! Ujifunze, next time uwe na adabu..
Na mm nishamwambia,
Huwezi kuleta Ujuaji kwenye Kampuni ya MTU.

Hakuna mwajiri yoyote Anaependa Kukaa na Mfanyakazi MUCH KNOW

Mfano:
Unamwajiri MTU, Mnakubaliana Mshahara.

afu Wanasiasa wanapita mlango wa nyuma,

Wanamkoki kua kwa MUJIBU WA SHERIA unatakiwa Ulipwe Mshahara Mkubwa zaidi ya hapo.

Kesho yake asbuh, Jamaa Anakuja Ofsini na Makabrasha Anasema
"Boss, Unatunyonya
Kwa Mujibu wa Sheria ya Kazi na Ajira Namba 62 ya mwaka 1960.
Unatakiwa kisheria Kunilipa Millioni 2 kwa mwezi. USIPONILIPA nakupeleka Mahakamani."

JUST IMAGINE,
MFANYAKAZI KAMA HUYU UNAMSUBIRISHA NINI OFSINI KWAKO.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni bahati mbaya ukawa hujui kwenye sector binafsi Kuna unyonyaji kiasi gani
Sio sekta binafsi tu,
Hata Umma nako ni vilio Tu.

Kama Hupendi Unyonjaji, Jiajiri tu mkuu.

Mkuu,
Kuna watu humu wanakutia Ujinga Ukamshtaki Mwajiri.

Hizo gharama Utakazotumia kuweka mawakili, kusimamisha na kuendesha hizo kesi

Ni bora Ungetumia kama Mtaji Ukawataftie wanao Ugali.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Case yako kama ipo hivyo ni very simple nenda bila kuogopa sema kwanzia mwanzo mambo yalivyokuwa Mpka mnafukuzwa simamia hak yako bro no one will stand for you. Unajua mt anaweza ona simple coz haijamtokea but unakuta mt unategemewa na unafukuzwa kaz gafla shuka nae jumla jumla hakuna KS mwajir wala mafi apaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hajafukuzwa huyo, Mkataba wake umeisha.

Mwajiri Kaamua kutokumwongezea mkataba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa hiyo wewe unaona vyema makampuni ya kigeni kuja na kutunyonya kutufanyisha kazi Kama watumwa??
Hakuna Unyonyaji hapo mkuu,

Kwanza Hujatuambia ni Haki zipi ambazo Ulzokua unazidai mpaka Mkaingia mgogoro na Boss wako.

Uenda Tatizo likawa hapo kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom