Msaada!!. Tuna mtoto wa miezi minne, unfortunately imenasa.

Msaada!!. Tuna mtoto wa miezi minne, unfortunately imenasa.

Hapo kwenye aibu ndio kinacho mtia kihoro, nimemwambia tuishi maishayetu sio maisha ya watu wengine.
Na anakosa amanikabisa ndiomana nawaza kuflashi maana yupokwenye haliambayo sioyakawaida sijuinimwambie nini, nawaza huenda hiihaliyake inaweza ikamuathiri mtoto au yeye mwenyewe maana asubui anasema anasikia ganzi kwenye mikono sijui imemshtua kiasigani.
Wanawake sijui wana moyo mwepesi kiasigani, miminachukulia kawaidatu.


Najua kutoa nidhambi nahapo nabakinjia panda.
Nitampeleka kwa doctor atushauri pamoja kitugani cha kufanya ilimradi awena amani.




Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana inabidi mtafute mtu amshauri vizuri asa huko kwa dr dunia ya sasa mkiishi kuangalia watu watawafikiriaje hamtafika kabisa pia mshirikishe Mungu kwa imani yako
 
tuwe wawazi wanandoa kama una mtoto weka kitanzi au tumia condom tuhurumiane na kumhurumia kichanga kilichozaliwa pls
 
Njia ya kawaida, ila alipata tatizo la pressure na upungufu wa damu tukahangaika kidogo kuirudisha kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikushauli utoe nitakua nimehusika kuuwa hichokiumbe, mtoto hawezikufa kama umemwachisha halaka kunhonha anapata maziwa vyakula juisi kwawakati na asilale na mamayake usiku mtoto kama anashibavizulihanashida.kuhusu mamayake anza nae saizi kuna matunda yapo spesho kwajili ya kuongeza damu juisi majani kilasiku asikose matunda kwanzia sasa ondoa wasiwasi ukifanhaivyo achana namaneno ya watakao ongea vibaya mtaani kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo mama kama atakuwa na mpango wa kuzaa inabidi aache kumnyonyesha mtoto mara moja Kwan maziwa yashaanza kuwa machafu lkn kama ni wanandoa kwa situation kama hiyo ni common sana ila utabid usikilize ushauri wa dk kwan ukiamua kutoa mimba kwa situation kama hiyo na isitoshe ni wanandoa hosptalini unaruhusiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajuzi nishaurini tafadhali, kama nilivyo eleza hapo juu.
Tunamtoto ana miezi minne sasa lakini kwa bahatimbaya mimba imeingia.
Tulikosea timing ya mzunguko sijui imekuwaje sababu sikutegemea kabisa .

Nawaza ninunue kidonge aflash,je itasaidia?.
Kama ndio je, mtoto hatapata madhara akiendelea kunyonya??.

Please.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu hapo hakuna cha bahati mbaya coz wakati unasikilizi utamu mpaka ukakojolewa haikuwa bahati mbaya. Hivyo lea hicho kiumbe kwa sababu ukimtoa ujue umetuondolea mtu muhimu sana kwenye taifa hili
 
Wajuzi nishaurini tafadhali, kama nilivyo eleza hapo juu.
Tunamtoto ana miezi minne sasa lakini kwa bahatimbaya mimba imeingia.
Tulikosea timing ya mzunguko sijui imekuwaje sababu sikutegemea kabisa .

Nawaza ninunue kidonge aflash,je itasaidia?.
Kama ndio je, mtoto hatapata madhara akiendelea kunyonya??.

Please.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe sio wa kwanza, wanandoa wapya mara nyingi hilo la 'mapacha' hutokea baina ya watoto wawili wa kwanza.
Mwoneni daktari kwa ushari na umtie moyo mkeo mzae tu, hakuna kosa, hatoa wala dhambi yoyote, ni sehemu ya kupata uzoefu.

Vv
 
Wala usiwaze mkuu, hao ni mapacha wa nje... Usiumize kichwa watu watakuchukuliaje... Tengenezeni furaha na mfarijiane nyinyi kwa nyinyi, muendelee na maisha yenu, yatapita na hapo kesho mtafurahi saaana....
 
Wajuzi nishaurini tafadhali, kama nilivyo eleza hapo juu.
Tunamtoto ana miezi minne sasa lakini kwa bahatimbaya mimba imeingia.
Tulikosea timing ya mzunguko sijui imekuwaje sababu sikutegemea kabisa .

Nawaza ninunue kidonge aflash,je itasaidia?.
Kama ndio je, mtoto hatapata madhara akiendelea kunyonya??.

Please.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu!!!

Acha kutoa hicho kiumbe kisicho na hatia
Mungu asije akakupiga bure

Kinachozaliwa kwa Roho ni Roho
Na kilichozaliwa na mwili ni mwili

Usifanye hivyo tafadhali
Ni bahati nzuri tu mkuu mkeo aendelee kumnyonyesha mtoto kama atapenda. Matatizo yanakuja mtoto mpya anapozaliwa au morning sickness zinapozidi mnasahau kuwa huyu bado ni mtoto na anahitaji mapenzi.
Hata kama mkeo anakuhitaji jitahidi kuwa na muda na dogo hata mwingine akizaliwa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Take simple!. Endelea kumnyonyesha hadi afunge kumi then anza kumpa maziwa. Pia mwanzishie maziwa rasmi alifunga saba ikiwezekana then na ziwa aache.
Uwe na upendo na mkeo ni wakati mgumu sana kwake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom