Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmm..nadhan ndan ya huu muda mpango wa kando ulihusikaMm nilimpumzisha mama watoto miezi 6 halaf akaenda kuweka vijiti ndio tukaanza kujiachia vzr
We blow out uone,acha kabisa!! kwan we ndo wa kwanza,cha msingi nenda na mkeo kwa MTU wa counselling maana anaonekana mwogha,na wew usioneshe kucomplement regrets zake maana utaendelea kumtia wasiwasi komaa hivo hivo kuchkulia kawaida,Usiue kijana Ile Utajutia maisha yako yote ni bora ulee.Tatizo hapa mwenzangu anasononeka sana, nimerudi home around saa 2 usiku huu naona mtu kaingia chumbani wakati najiandaa kuingia bafuni ghafla mtu anapigamagoti analia huku ananionyesha kipimo daah, nikachukulia kawaida nikamwambia relax tupange tufanyeje, hanielewi anasema mimi ndio nimesababisha na ninarohongumu sana isiyo ya kibinadamu kwa jinsi ninavyo chukulia kawaida hiliswala.
Nahisi inaweza ikamsumbua sana, kwa mawazo, hana raha kabisa ndio mana nawaza labda nitafute kidonge nii blowout.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika hali kama hiyo, ni bora usionyeshe kutoshtuka japo naamini wanaume tuna roho ngumu kidogo, wakati analia wewe msogelee, mbembeleze, mkumbatie, mlaze kifuani kwako na mfute machozi Utaona anaacha kulia na kuamini kuwa uko katika kipindi hicho anachokiona kigumu.Tatizo hapa mwenzangu anasononeka sana, nimerudi home around saa 2 usiku huu naona mtu kaingia chumbani wakati najiandaa kuingia bafuni ghafla mtu anapigamagoti analia huku ananionyesha kipimo daah, nikachukulia kawaida nikamwambia relax tupange tufanyeje, hanielewi anasema mimi ndio nimesababisha na ninarohongumu sana isiyo ya kibinadamu kwa jinsi ninavyo chukulia kawaida hiliswala.
Nahisi inaweza ikamsumbua sana, kwa mawazo, hana raha kabisa ndio mana nawaza labda nitafute kidonge nii blowout.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hata ikikumbukwa bado umuhimu wake haupo, labda kwa sababu kama za maambukizi!Hivi watu mnaozungumzia Condom ndani ya ndoa Mnadhani ni kitu chepesi eeh! Kwanza hata kukumbukwa huwa haikumbukwi kama ipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapakuwa na tatizilolote?Mkuu cha msingi tafuta misoprotol uflash no way out ili suala hata mm lilinikuta dogo ana miezi 2 kitu kingine kikaingia ni full kupagawa
Right!!.You are a man and she is your wife, don't be ashamed. All the best mkuu.
Asante nduguWe blow out uone,acha kabisa!! kwan we ndo wa kwanza,cha msingi nenda na mkeo kwa MTU wa counselling maana anaonekana mwogha,na wew usioneshe kucomplement regrets zake maana utaendelea kumtia wasiwasi komaa hivo hivo kuchkulia kawaida,Usiue kijana Ile Utajutia maisha yako yote ni bora ulee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umekosea mwanamke akishazaa kizazi chake kinakua bado hakijafunga so mimba ni Dk sifuri tu inaingia,ulitakiwa kujizuia au ungepiga tu nyeto kuliko kumparamia huyo mama mtoto na ulishindwa nn kutumia condom,take care utasababisha matatizo kwa hicho kichanga chenu atanyonya maziwa yenye uchafu mwisho wa siku anadumaa gonga na condom
Asante mkuu nimekuelewa sana.Katika hali kama hiyo, ni bora usionyeshe kutoshtuka japo naamini wanaume tuna roho ngumu kidogo, wakati analia wewe msogelee, mbembeleze, mkumbatie, mlaze kifuani kwako na mfute machozi Utaona anaacha kulia na kuamini kuwa uko katika kipindi hicho anachokiona kigumu.
Inabidi umwelewe kuwa kwa kipindi hiki anaweza kuwaza sana, kuzuia hili tatizo mchukue mwende kwa daktari awashauri wote wawili, hii itamsaidia kisaikolojia kukaa sawa!
Pia na wewe inabidi uwe nae bega kwa bega! Jaribu kubadili hata ratiba yako ya kurudi nyumbani, hiyo habari ya kurudi saa 2 uck iache na urudi mapema iwezekanavyo! Kaa naye mda mwingi! Pia sio mbaya kama baadhi ya vitu vidogo vidogo ukiwa unamsaidia japo si mara kwa mara! (Uwe mwangalifu lakini isije ikajenga mazoea sugu).
Mkimwachisha mtoto nashauri kama wazazi wenu wapo basi mpelekeni huko kwa mda ili kumpunguzia kazi ya kulea mtoto na ujauzito! Pia hii mda mwingine huwa ni njia nzuri ya kupunguza kuugua ugua kwa watoto ( niliwahi kuona hii ikiwasaidia wengine).
Lea tu kaka acha uuajiTatizo hapa mwenzangu anasononeka sana, nimerudi home around saa 2 usiku huu naona mtu kaingia chumbani wakati najiandaa kuingia bafuni ghafla mtu anapigamagoti analia huku ananionyesha kipimo daah, nikachukulia kawaida nikamwambia relax tupange tufanyeje, hanielewi anasema mimi ndio nimesababisha na ninarohongumu sana isiyo ya kibinadamu kwa jinsi ninavyo chukulia kawaida hiliswala.
Nahisi inaweza ikamsumbua sana, kwa mawazo, hana raha kabisa ndio mana nawaza labda nitafute kidonge nii blowout.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajuzi nishaurini tafadhali, kama nilivyo eleza hapo juu.
Tunamtoto ana miezi minne sasa lakini kwa bahatimbaya mimba imeingia.
Tulikosea timing ya mzunguko sijui imekuwaje sababu sikutegemea kabisa .
Nawaza ninunue kidonge aflash,je itasaidia?.
Kama ndio je, mtoto hatapata madhara akiendelea kunyonya??.
Please.
Sent using Jamii Forums mobile app