halloperidon
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,096
- 5,254
Oooh kweli nilisoma sehem prolactin hormones zinapotengezwa kwa wingi zinaleta inhibitory effects kwa zile estrogen na progesterone hormones ambazo ni muhimu kwa mimba kuweza kukuaKwa wengi kunyonyesha pia kunazuia mimba isiingie lakini inategemea frequence za unyonyeshaji
Na kuingizwa vidole na madakitari wakati wa kujifungua.Sipendi kuvua nguo
Njia ya kawaida, ila alipata tatizo la pressure na upungufu wa damu tukahangaika kidogo kuirudisha kawaida.Mke kajifungua kwa njiagani? Kama kajifungua kawaida haina shida, mwachishe mtoto kunhonha halakasana,mnunulie maziwa ya watoto lishe juis ya matunda chasing mama asiwe mvivu kumpikia wanakuwa vizuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu.Mi nakushauri utoe.. Kuhusu madhara ya kutoa kwenye maziwa sijui kwakweli.. Ila ninalojua ni kwamba ukiacha hiyo mimba ikue unaweza kumkosa na huyo wa miezi minne..!
Nenda hospitali kwa ajili ya uhakika wa solution zaidi..! Ila pole na hayo matatizo...!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana inabidi mtafute mtu amshauri vizuri asa huko kwa dr dunia ya sasa mkiishi kuangalia watu watawafikiriaje hamtafika kabisa pia mshirikishe Mungu kwa imani yakoHapo kwenye aibu ndio kinacho mtia kihoro, nimemwambia tuishi maishayetu sio maisha ya watu wengine.
Na anakosa amanikabisa ndiomana nawaza kuflashi maana yupokwenye haliambayo sioyakawaida sijuinimwambie nini, nawaza huenda hiihaliyake inaweza ikamuathiri mtoto au yeye mwenyewe maana asubui anasema anasikia ganzi kwenye mikono sijui imemshtua kiasigani.
Wanawake sijui wana moyo mwepesi kiasigani, miminachukulia kawaidatu.
Najua kutoa nidhambi nahapo nabakinjia panda.
Nitampeleka kwa doctor atushauri pamoja kitugani cha kufanya ilimradi awena amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu itakua alikua hanyonyeshi ipasavyoHivi mkuu mimba inaweza kuingia kabla ya menses hazijarudi?
Naona wengine wanakaa hadi miez 6 bila kupata menstruation after child birth..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikushauli utoe nitakua nimehusika kuuwa hichokiumbe, mtoto hawezikufa kama umemwachisha halaka kunhonha anapata maziwa vyakula juisi kwawakati na asilale na mamayake usiku mtoto kama anashibavizulihanashida.kuhusu mamayake anza nae saizi kuna matunda yapo spesho kwajili ya kuongeza damu juisi majani kilasiku asikose matunda kwanzia sasa ondoa wasiwasi ukifanhaivyo achana namaneno ya watakao ongea vibaya mtaani kwako.Njia ya kawaida, ila alipata tatizo la pressure na upungufu wa damu tukahangaika kidogo kuirudisha kawaida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu hapo hakuna cha bahati mbaya coz wakati unasikilizi utamu mpaka ukakojolewa haikuwa bahati mbaya. Hivyo lea hicho kiumbe kwa sababu ukimtoa ujue umetuondolea mtu muhimu sana kwenye taifa hiliWajuzi nishaurini tafadhali, kama nilivyo eleza hapo juu.
Tunamtoto ana miezi minne sasa lakini kwa bahatimbaya mimba imeingia.
Tulikosea timing ya mzunguko sijui imekuwaje sababu sikutegemea kabisa .
Nawaza ninunue kidonge aflash,je itasaidia?.
Kama ndio je, mtoto hatapata madhara akiendelea kunyonya??.
Please.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe sio wa kwanza, wanandoa wapya mara nyingi hilo la 'mapacha' hutokea baina ya watoto wawili wa kwanza.Wajuzi nishaurini tafadhali, kama nilivyo eleza hapo juu.
Tunamtoto ana miezi minne sasa lakini kwa bahatimbaya mimba imeingia.
Tulikosea timing ya mzunguko sijui imekuwaje sababu sikutegemea kabisa .
Nawaza ninunue kidonge aflash,je itasaidia?.
Kama ndio je, mtoto hatapata madhara akiendelea kunyonya??.
Please.
Sent using Jamii Forums mobile app
6months!!!! ulkua inasuuzia wap hlo rungu?Mm nilimpumzisha mama watoto miezi 6 halaf akaenda kuweka vijiti ndio tukaanza kujiachia vzr
Kumbe umeoa na bado unafukuzia mabinti wa JF?Mm nilimpumzisha mama watoto miezi 6 halaf akaenda kuweka vijiti ndio tukaanza kujiachia vzr
Mkuu!!!Wajuzi nishaurini tafadhali, kama nilivyo eleza hapo juu.
Tunamtoto ana miezi minne sasa lakini kwa bahatimbaya mimba imeingia.
Tulikosea timing ya mzunguko sijui imekuwaje sababu sikutegemea kabisa .
Nawaza ninunue kidonge aflash,je itasaidia?.
Kama ndio je, mtoto hatapata madhara akiendelea kunyonya??.
Please.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bahati nzuri tu mkuu mkeo aendelee kumnyonyesha mtoto kama atapenda. Matatizo yanakuja mtoto mpya anapozaliwa au morning sickness zinapozidi mnasahau kuwa huyu bado ni mtoto na anahitaji mapenzi.
Hata kama mkeo anakuhitaji jitahidi kuwa na muda na dogo hata mwingine akizaliwa