Msaada tutani: 2grfse (Crown Athlete), inalia knock kwa mbali sometime hailii kabisa na iko fresh, engine power haipungui.

Msaada tutani: 2grfse (Crown Athlete), inalia knock kwa mbali sometime hailii kabisa na iko fresh, engine power haipungui.

Mimi inaniudhi mkwaruzo fulani nikiwasha gari mara kwanza asubuhi. Kama engine haina oil vile. Au timing chain sijajua solution yake.

Hata mimi imenisumbua kweli nilisafiri kwa mda mrefu nimekuja kuiwasha sisikii tena huo mkwaruzo nilikuwa nahisi labda ni starter ina shida lakini wapi.
 
Weka diagnosis mashine kubwa mkuu huenda kuna codes zimekuwa set ila hazijawasha MIL (check engine)

Kuhusu mlio unahitaji sikio la fundi mechanic, akiskia atang'amua ni nini.

Anzia kwa autoelectrician mzuri mmoja yupo humu then atakups recommendation za kwenda mechanical
Nimezifuatilia izi codes. Nilichogundua, kuwa kuna vvti fikter bank 1 ilikuwa na uchafu kama pamba (bila shaka oil filter za karatasi ndio chanzo) nikaisafisha, nikafungua oil pan, nikakuta mwengine. Nikasafisha. Hadi sasa leo ni ya nne, nimejaribu kuendesha kwa speed kubwa na ndogo mlio sijausikia tena ukirudi.

Nimekuja ku conclude kuwa ni uchafu uliblock oil kupita inavotakiwa
 
Back
Top Bottom