Msaada tutani: 2grfse (Crown Athlete), inalia knock kwa mbali sometime hailii kabisa na iko fresh, engine power haipungui.

Mimi inaniudhi mkwaruzo fulani nikiwasha gari mara kwanza asubuhi. Kama engine haina oil vile. Au timing chain sijajua solution yake.

Hata mimi imenisumbua kweli nilisafiri kwa mda mrefu nimekuja kuiwasha sisikii tena huo mkwaruzo nilikuwa nahisi labda ni starter ina shida lakini wapi.
 
Nimezifuatilia izi codes. Nilichogundua, kuwa kuna vvti fikter bank 1 ilikuwa na uchafu kama pamba (bila shaka oil filter za karatasi ndio chanzo) nikaisafisha, nikafungua oil pan, nikakuta mwengine. Nikasafisha. Hadi sasa leo ni ya nne, nimejaribu kuendesha kwa speed kubwa na ndogo mlio sijausikia tena ukirudi.

Nimekuja ku conclude kuwa ni uchafu uliblock oil kupita inavotakiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…