Msaada tutani: Kumuota mtu ndotoni mara nyingi ina maana gani? Huyu binti mara nyingi namwona ndotoni

Msaada tutani: Kumuota mtu ndotoni mara nyingi ina maana gani? Huyu binti mara nyingi namwona ndotoni

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Za asubuhi wakuu,

Story inaanza mwaka jana kuna mdada mtaani kwetu nlimgea kizawadi Kidogo kama gia ya kumtongoza ila Baada ya hapo nlibadilisha mawazo, sikuendeleza mazoea nae, niliahirisha kumtongoza, sasa tangu siku hiyo nikilala namwota, unaweza sema namwota sababu nampenda Sana na kumtamani sana, la hasha kuna wadada nliwapenda na kuwatamani kuliko yeye Ila sikuwaona hata mara moja ndotoni kwangu, na kuna wadada nshawahi hadi kuwa nao kwenye mahusiano, lakini hata mara moja sijawahi kuwaona ndotoni.

Maana yake nini hii, kuna mtu asha-experienxe hii kitu? Yani tangu nizaliwe huyu mdada ni mtu wa tatu kutokea sana kwenye ndoto zangu, ukiacha baba na mama yangu, Hata rafiki zangu sijawahi waona ndotoni mara nyingi ivo,

Cha kushangaza in real life sijawahi hata mara moja kuwa na mazoea ya ku-spend mda mrefu nae, wala kupiga story nae.

Kuna watu washaexperience hiki kitu?, ndoto za hivi hua zina maana gani?
 
Za asubuhi wakuu,

Story inaanza mwaka jana kuna mdada mtaani kwetu nlimgea kizawadi Kidogo kama gia ya kumtongoza ila Baada ya hapo nlibadilisha mawazo, sikuendeleza mazoea nae, niliahirisha kumtongoza, sasa tangu siku hiyo nikilala namwota, unaweza sema namwota sababu nampenda Sana na kumtamani sana, la hasha kuna wadada nliwapenda na kuwatamani kuliko yeye Ila sikuwaona hata mara moja ndotoni kwangu, na kuna wadada nshawahi hadi kuwa nao kwenye mahusiano, lakini hata mara moja sijawahi kuwaona ndotoni.

Maana yake nini hii, kuna mtu asha-experienxe hii kitu? Yani tangu nizaliwe huyu mdada ni mtu wa tatu kutokea sana kwenye ndoto zangu, ukiacha baba na mama yangu, Hata rafiki zangu sijawahi waona ndotoni mara nyingi ivo,

Cha kushangaza in real life sijawahi hata mara moja kuwa na mazoea ya ku-spend mda mrefu nae, wala kupiga story nae.

Kuna watu washaexperience hiki kitu?, ndoto za hivi hua zina maana gani?
Unamuota katika mazingira gani?
 
Za asubuhi wakuu,

Story inaanza mwaka jana kuna mdada mtaani kwetu nlimgea kizawadi Kidogo kama gia ya kumtongoza ila Baada ya hapo nlibadilisha mawazo, sikuendeleza mazoea nae, niliahirisha kumtongoza, sasa tangu siku hiyo nikilala namwota, unaweza
Peleka posa uoe ndio Huenda ndio mke uliyepangiwa huyo So why ni wa 3 kumuota baada ya baba na mama
 
Namuota akiwa kwenye mazingira yaa kawaida tu, tena public, sijawahi ota nikifanya naye ngono Mshana Jr
Kuna makutano ya kiroho ni kitu cha kawaida kutokea katika maisha ni kama tu vile
. ulishawahi kutembelea sehemu nyingi Lakini kuna moja tu huwa huishau
. Ulishawahi kukutana na vitu vingi lakini kuna kimoja hukisahau nknk
 
Za asubuhi wakuu,

Story inaanza mwaka jana kuna mdada mtaani kwetu nlimgea kizawadi Kidogo kama gia ya kumtongoza ila Baada ya hapo nlibadilisha mawazo, sikuendeleza mazoea nae, niliahirisha kumtongoza, sasa tangu siku hiyo nikilala namwota, unaweza sema namwota sababu nampenda Sana na kumtamani sana, la hasha kuna wadada nliwapenda na kuwatamani kuliko yeye Ila sikuwaona hata mara moja ndotoni kwangu, na kuna wadada nshawahi hadi kuwa nao kwenye mahusiano, lakini hata mara moja sijawahi kuwaona ndotoni.

Maana yake nini hii, kuna mtu asha-experienxe hii kitu? Yani tangu nizaliwe huyu mdada ni mtu wa tatu kutokea sana kwenye ndoto zangu, ukiacha baba na mama yangu, Hata rafiki zangu sijawahi waona ndotoni mara nyingi ivo,

Cha kushangaza in real life sijawahi hata mara moja kuwa na mazoea ya ku-spend mda mrefu nae, wala kupiga story nae.

Kuna watu washaexperience hiki kitu?, ndoto za hivi hua zina maana gani?
Achana na mambo ambayo hayana backing and reasoning ya science!
 
Jaribu kuwa karibu naye kwa muda fulani(kawaida,sio mahusiano),unaweza ukagundua jambo au dhumuni la kumuota.Naamini tu,kila jambo hutokea kwa sababu fulani.
 
Mbandulie hukohuko ndotoni,si kanajileta.Husababishwa na kumwazia sana mchana ndiyo huota usiku
Kuna wadada nshawawazia Na kuwapenda na kuwatamani sana mchana kuliko yeye, ila sijawahi waota usiku hata mara moja, sijui hako kadada ni kachawi to yeye
 
Back
Top Bottom