Bongo senior
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 757
- 1,526
Habarini za weekend hope mko poa na pole kwa wenye changamoto mbalimbali.
My point kwa wenye uelewa je kuna namna naweza kuzuia namba moja itakaponipigia apate taarifa kuwa sipatikani kwa muda huo ilihali nipo hewani a part from call forwarding au call barring au kumblock mana hii uwa inampa taarifa muhusika kuwa simu inatumika muda wote so ni rahisi kujua kama nimemblock, nitangulize shukrani.
My point kwa wenye uelewa je kuna namna naweza kuzuia namba moja itakaponipigia apate taarifa kuwa sipatikani kwa muda huo ilihali nipo hewani a part from call forwarding au call barring au kumblock mana hii uwa inampa taarifa muhusika kuwa simu inatumika muda wote so ni rahisi kujua kama nimemblock, nitangulize shukrani.